Video: Nape alipoangua kilio hadharani jimboni kwake Mtama

Video: Nape alipoangua kilio hadharani jimboni kwake Mtama

Acha kuchochea, karudi jimboni kwake ulitegemea iweje!?

Tena hao mbona sio wanamtama wote. Ungeona wenzake wa CCM waliokaa meza kuu, walivyokuwa hawampigii makofi kwa mengi aliyoongea ndio ungejua kuwa anachemka na leo kajionyesha zaidi kuwa ni mtu hatari wa mabaya.

Mtanyooka tu
Mkuu siku hizi mtu wa kumshikia akili hayupo, tunajua nyeusi na nyeupe, wewe teteaaaaaa saaaana pondaa sana kwa wanaotaka haki itendeke, mwisho ukweli haubadiliki hasa kwa huyo umteteae
 
Huyo halilii madaraka,anauchungu namna alivyotendewa na mwenyekiti wa chama ..Hasa alipokumbuka nikiasi gani alipigania chama chake uchaguzi ulo pita 2015.. mungu akutangulie Nape..Umepigana vilivyo..Tunaojua ulifanya yaliyo makuu kwa kusimamia haki..Tuna sema you are a hero..God protect you....
Alikuwa analipwa kwa kazi hiyo
 
Alikuwa analipwa kwa kazi hiyo
Tena pesa nyingi tu hadi akawaambia wafuasi wa lowasa kuwa anawapa millioni 5 pale pale lowasa akiongea dk 15..INA maana hiyo ni pocket money tu aliyokuwa anatembea nayo.. Si kwamba alikuwa muajiriwa wa serikali au binafsi au mfanyabiashara..ni mpiga domo tu wa chama ana pocket ya zaidi ya mill 5.. Teh
 
Mh sana alikuwa anashambuliwa na makombora ya kutoka mbali kwa sasa anapigwa na makombora yanayopigwa kutokea sebuleni kwake.
 
Acha kuchochea, karudi jimboni kwake ulitegemea iweje!?

Tena hao mbona sio wanamtama wote. Ungeona wenzake wa CCM waliokaa meza kuu, walivyokuwa hawampigii makofi kwa mengi aliyoongea ndio ungejua kuwa anachemka na leo kajionyesha zaidi kuwa ni mtu hatari wa mabaya.

Mtanyooka tu

We sibure
 
Nyie bavicha ni vituko sana, hivi kwenye jimbo lake mlitegemea wawe watu kumi kumpokea?
Usidhani kwamba kila anayepigania haki na usawa kwa mujibu wa katiba ya nchi ni wa kambi ya upinzani
 
Sijajua ilikuaje hadi mheshimiwa akawa over-came na emotions huko kwao, sijajua ni V.I.P treatment na heroic welcome aliyopipata huko kwao ukilinganisha na alivyokuwa treated Dar na kupuuziwa na mkubwa wake wa kazi au au ni remorse na guilty ya aliyoyafanya zamani au ni vipi......


Tuhabarishe jinsi alivyopambana kuwaondolea umasikini watu wa jimbo lake!
 
Sisi watanzania ni mbumbumbu ndio maana wanasiasa wanatuburuza watakavyo, sijui watanzania tulikula maharage ya wapi!? Tukishamchagua mbunge anahamishia makaazi Dar. siku akitumbuliwa ndo anajifanya kukumbuka wapiga kura wake nasi tulivyo manyumbu eti tunampokea kama shujaa! Inasikitisha sana
 
hahaha machozi ya samaki amelia kama Lissu.
 
Inakuwaje wenye hofu ya kushindwa kwa Magufuli ni vijana wa Bavicha tu? Sasa kama atashindwa huoni kama ni advantage kwenu? Vitu vingine vinachekesha. Huoni ulivyomstua sasa atabadili uelekeo. Yaani hamuachi kumtaja taja kama vile ana wanyima usingizi😀😀
 
Wantanzania leo munamwita Nape kuwa alikuwa jembe kaw lipi alilolifanya tangu amekuwa mwanasiasa?
Moja ya watu ambao ni mizigo kwa ccm japo walibebeka sana.
Kafanya nini jimboni kwake cha kujivunia kwetu sisi wananchi wake tuliomchagua?

"Ukiona adui anakusifia geuka nyuma uone umekosea wapi".
 
Back
Top Bottom