Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wewe hujui political analysis. Unasema Mkuu wa Nchi hakubaliki katika jimbo fulani??? Mark my words, mtahangaika sana na kufanya propaganda zozote zile ila JPM ATASHINDA tena uchaguzi ujao na ataongoza hadi 2025.Huyu bwana akiendelea hivi ni wazi 2020 atakataliwa vibaya sana sio na wafuasi wa vyama vya upinzani tu,bali hata wana-CCM wenzake.
Huyu mh. asiposoma alama za nyakati na kujirekebisha,anaweza kuambulia asilimia 40 ya kura zote zitakazopigwa na hata asilimia 35 kabisa.
Ule umati mkubwa uliojitokeza ulikuwa unatuma salam kwake kuwa mbunge wao ni shujaa na zaidi hakutendewa haki.Hii ni dalili mbaya sana kwa mkulu.
Narudia,Bashite ana play role ya Mohamed Bouazizi ya kuleta mabadiliko ya kiutawala nchini kama ambavyo Bouazizi alivyokuwa chanzo cha mabadiliko nchini kwake Tunisia na baadae katika ulimwengu wa nchi kadhaa za kiarabu.
Bahati mbaya sikio la kufa halisikii dawa.
Time will tell.
Ingekuwa kuna mke wangu hapo ni abakie huko huko shughulini, asitie mguu nyumbani.Duh makubwa. Nape anawakanyaga makalio hao wakinamama.
.... Si nyie majuzi mlishikwa na mizuka kwamba Halima Mdee kutukana mjengoni? Angalia mnavyomwaga mitusi hapa...mpumbavu huyu, kwa ujinga wake kaondolewa cheoni analia
ahame chama aende chadema kisha agombee, huwezi kuwa mpinzani wa bosi wako ukaangaliwa, yeye nani??
walijiandaa kuuondoa magufuli amegunduliwa mapema sana
na leo kathibitisha kuwa Magufuli hakukosea kabisa kabisa!
kama alikuwa na majibu ya kamati kwa nini aliunda kamati? alikuwa anampumbaza nani? mpuuzi huyu
na ndio mwisho wake, mark my words
mozes nnauye hakuwa mjinga hivi
Kakanyaga Hzo nyunguru kapita, siwezi kumruhusu mamangu... Nimeona ITV wakina mama wamelala chini kwa mstari na kwamba Nape kwa heshima ya kwao apite akiwakanyaga mgongoni, sikuona mpaka mwisho je alipita akiwakanyaga miongoni na makalioni mwao? Kwa aliye ona mpaka mwisho please....
steve nyerere bora atumie jina lake halisi kuliko kuendelea najina la watu. sasa amejiingiza kwenye ukuwadi kufanya kazi zawapinga maendeleo (reactionaries). ndio ametumwa kuandaa mapokezi ya nape jimboni eti wakapanga nape kutembea kwenye migongo ya akina mama waliyolala kifudifudi eti kuonyesha nape anapendwa sana... what a stupid man. ndio yaleyale ya kudeki barabara.Huyu bwana akiendelea hivi ni wazi 2020 atakataliwa vibaya sana sio na wafuasi wa vyama vya upinzani tu,bali hata wana-CCM wenzake.
Huyu mh. asiposoma alama za nyakati na kujirekebisha,anaweza kuambulia asilimia 40 ya kura zote zitakazopigwa na hata asilimia 35 kabisa.
Ule umati mkubwa uliojitokeza ulikuwa unatuma salam kwake kuwa mbunge wao ni shujaa na zaidi hakutendewa haki.Hii ni dalili mbaya sana kwa mkulu.
Narudia,Bashite ana play role ya Mohamed Bouazizi ya kuleta mabadiliko ya kiutawala nchini kama ambavyo Bouazizi alivyokuwa chanzo cha mabadiliko nchini kwake Tunisia na baadae katika ulimwengu wa nchi kadhaa za kiarabu.
Bahati mbaya sikio la kufa halisikii dawa.
Time will tell.
kwani alitukana au alidharau, na wewe acha ufala km jina la lile shule ya msingi kahamamapokezi si alijiandaa ulitegemea iweje. katumbuliwa katumbuliwa tu akajifunze upya kuheshimu wakubwa zake wa kazi
Mkuu, haya machadema ni majinga sana
Hv aliwakanyaga kwenye makalio yao???Loooh huo nao ni ubashite khaa mapenz gani haya ya .......![]()
Zero brainAcha kuchochea, karudi jimboni kwake ulitegemea iweje!?
Tena hao mbona sio wanamtama wote. Ungeona wenzake wa CCM waliokaa meza kuu, walivyokuwa hawampigii makofi kwa mengi aliyoongea ndio ungejua kuwa anachemka na leo kajionyesha zaidi kuwa ni mtu hatari wa mabaya.
Mtanyooka tu
Hahahahahahahahahahahah vijana wa ufipa wanapambana lakini kwenye nafasi za kugombea mwenyekiti anakuja na majina ya Wagombea mfukoniDaaah..! Ni afadhali hawa aisee  
![]()
![]()
Maneno ya wivu hayoHahahahahahahahahahahah vijana wa ufipa wanapambana lakini kwenye nafasi za kugombea mwenyekiti anakuja na majina ya Wagombea mfukoni
Sisi watanzania ni mbumbumbu ndio maana wanasiasa wanatuburuza watakavyo, sijui watanzania tulikula maharage ya wapi!? Tukishamchagua mbunge anahamishia makaazi Dar. siku akitumbuliwa ndo anajifanya kukumbuka wapiga kura wake nasi tulivyo manyumbu eti tunampokea kama shujaa! Inasikitisha sana
Sijajua ilikuaje hadi mheshimiwa akawa over-came na emotions huko kwao, sijajua ni V.I.P treatment na heroic welcome aliyopipata huko kwao ukilinganisha na alivyokuwa treated Dar na kupuuziwa na mkubwa wake wa kazi au au ni remorse na guilty ya aliyoyafanya zamani au ni vipi......
yah,unakuta mtu kawekeza time mwisho wasiku mnaalibiana kienyeji,tunakoenda huko itafika hatua watu watatoleana vyuma hadharani.duuhNape amekata tamaa u radhi kwa lolote iwe heri ama shari , kitendo cha kumtolea bastola hadharani tena na mtu ambaye hajielewi kisa katumwa na asiye jielewa kina mpa mateso makali sana hasa akikumbuka kazi aliyo ifanya kwamoyo mkunjufu kuwa fitini wengine ili waliopo sasa wapate nafasi wanazo zitumia kumnyanyasa.
BHakuna cha ajabu huko..watu wana njaa sana jimboni kwake..hawana jipya toka nape aingie..wamepewa senti na wamekodishiwa fuso za kuwabeba..hakuna kumbukumbu yoyote kuwa nape amewahi kukubalika jimboni..