Video: Nape alipoangua kilio hadharani jimboni kwake Mtama

Video: Nape alipoangua kilio hadharani jimboni kwake Mtama

Huyu bwana akiendelea hivi ni wazi 2020 atakataliwa vibaya sana sio na wafuasi wa vyama vya upinzani tu,bali hata wana-CCM wenzake.

Huyu mh. asiposoma alama za nyakati na kujirekebisha,anaweza kuambulia asilimia 40 ya kura zote zitakazopigwa na hata asilimia 35 kabisa.

Ule umati mkubwa uliojitokeza ulikuwa unatuma salam kwake kuwa mbunge wao ni shujaa na zaidi hakutendewa haki.Hii ni dalili mbaya sana kwa mkulu.

Narudia,Bashite ana play role ya Mohamed Bouazizi ya kuleta mabadiliko ya kiutawala nchini kama ambavyo Bouazizi alivyokuwa chanzo cha mabadiliko nchini kwake Tunisia na baadae katika ulimwengu wa nchi kadhaa za kiarabu.

Bahati mbaya sikio la kufa halisikii dawa.

Time will tell.
wewe hujui political analysis. Unasema Mkuu wa Nchi hakubaliki katika jimbo fulani??? Mark my words, mtahangaika sana na kufanya propaganda zozote zile ila JPM ATASHINDA tena uchaguzi ujao na ataongoza hadi 2025.
 
mpumbavu huyu, kwa ujinga wake kaondolewa cheoni analia

ahame chama aende chadema kisha agombee, huwezi kuwa mpinzani wa bosi wako ukaangaliwa, yeye nani??

walijiandaa kuuondoa magufuli amegunduliwa mapema sana

na leo kathibitisha kuwa Magufuli hakukosea kabisa kabisa!

kama alikuwa na majibu ya kamati kwa nini aliunda kamati? alikuwa anampumbaza nani? mpuuzi huyu

na ndio mwisho wake, mark my words

mozes nnauye hakuwa mjinga hivi
.... Si nyie majuzi mlishikwa na mizuka kwamba Halima Mdee kutukana mjengoni? Angalia mnavyomwaga mitusi hapa...
 
... Nimeona ITV wakina mama wamelala chini kwa mstari na kwamba Nape kwa heshima ya kwao apite akiwakanyaga mgongoni, sikuona mpaka mwisho je alipita akiwakanyaga miongoni na makalioni mwao? Kwa aliye ona mpaka mwisho please....
Kakanyaga Hzo nyunguru kapita, siwezi kumruhusu mamangu
 
Daaah..! Ni afadhali hawa aisee  
79a7f2ea4fcec83d7df0b6e89902bed4.jpg
90320ce97e40add4d86e2e5b0ab446e4.jpg
 
Baba sisi waswahili wasahaulifu, 2020 tutakua tushasahau kabisaaa
 
Huyu bwana akiendelea hivi ni wazi 2020 atakataliwa vibaya sana sio na wafuasi wa vyama vya upinzani tu,bali hata wana-CCM wenzake.

Huyu mh. asiposoma alama za nyakati na kujirekebisha,anaweza kuambulia asilimia 40 ya kura zote zitakazopigwa na hata asilimia 35 kabisa.

Ule umati mkubwa uliojitokeza ulikuwa unatuma salam kwake kuwa mbunge wao ni shujaa na zaidi hakutendewa haki.Hii ni dalili mbaya sana kwa mkulu.

Narudia,Bashite ana play role ya Mohamed Bouazizi ya kuleta mabadiliko ya kiutawala nchini kama ambavyo Bouazizi alivyokuwa chanzo cha mabadiliko nchini kwake Tunisia na baadae katika ulimwengu wa nchi kadhaa za kiarabu.

Bahati mbaya sikio la kufa halisikii dawa.

Time will tell.
steve nyerere bora atumie jina lake halisi kuliko kuendelea najina la watu. sasa amejiingiza kwenye ukuwadi kufanya kazi zawapinga maendeleo (reactionaries). ndio ametumwa kuandaa mapokezi ya nape jimboni eti wakapanga nape kutembea kwenye migongo ya akina mama waliyolala kifudifudi eti kuonyesha nape anapendwa sana... what a stupid man. ndio yaleyale ya kudeki barabara.
 
mapokezi si alijiandaa ulitegemea iweje. katumbuliwa katumbuliwa tu akajifunze upya kuheshimu wakubwa zake wa kazi
kwani alitukana au alidharau, na wewe acha ufala km jina la lile shule ya msingi kahama
 
Acha kuchochea, karudi jimboni kwake ulitegemea iweje!?

Tena hao mbona sio wanamtama wote. Ungeona wenzake wa CCM waliokaa meza kuu, walivyokuwa hawampigii makofi kwa mengi aliyoongea ndio ungejua kuwa anachemka na leo kajionyesha zaidi kuwa ni mtu hatari wa mabaya.

Mtanyooka tu
Zero brain
 
Kwahiyo kwa leo nape hafai ccm mnatisha
Sisi watanzania ni mbumbumbu ndio maana wanasiasa wanatuburuza watakavyo, sijui watanzania tulikula maharage ya wapi!? Tukishamchagua mbunge anahamishia makaazi Dar. siku akitumbuliwa ndo anajifanya kukumbuka wapiga kura wake nasi tulivyo manyumbu eti tunampokea kama shujaa! Inasikitisha sana
 
Sijajua ilikuaje hadi mheshimiwa akawa over-came na emotions huko kwao, sijajua ni V.I.P treatment na heroic welcome aliyopipata huko kwao ukilinganisha na alivyokuwa treated Dar na kupuuziwa na mkubwa wake wa kazi au au ni remorse na guilty ya aliyoyafanya zamani au ni vipi......


Kweli mungu analipa hapahapa,jinsi nape alivyopambana kumzuia lowasa,Leo Jpm kamchinjia mbali,maskini alivyompiginia jpm,Leo kitila mkumbo anakula kuku wakati alikua mpinzani nape analia machozi mmmhiii?
 
Nape amekata tamaa u radhi kwa lolote iwe heri ama shari , kitendo cha kumtolea bastola hadharani tena na mtu ambaye hajielewi kisa katumwa na asiye jielewa kina mpa mateso makali sana hasa akikumbuka kazi aliyo ifanya kwamoyo mkunjufu kuwa fitini wengine ili waliopo sasa wapate nafasi wanazo zitumia kumnyanyasa.
yah,unakuta mtu kawekeza time mwisho wasiku mnaalibiana kienyeji,tunakoenda huko itafika hatua watu watatoleana vyuma hadharani.duuh
 
Ccm mmezowea kubeba watu na maroli
Hakuna cha ajabu huko..watu wana njaa sana jimboni kwake..hawana jipya toka nape aingie..wamepewa senti na wamekodishiwa fuso za kuwabeba..hakuna kumbukumbu yoyote kuwa nape amewahi kukubalika jimboni..
B
 
Back
Top Bottom