Video: Nape alipoangua kilio hadharani jimboni kwake Mtama

Video: Nape alipoangua kilio hadharani jimboni kwake Mtama

JPM kuendelea kumkumbatia Bashite ndo anachukiza sana wananchi. Mdharau mwiba guu huota tende. Alidharau ishu ya bashite kufoji vyeti kadiri muda unavyozidi kwenda yanazidi kuibuka mambo mengi in relation to Bashite.
 
.... Si nyie majuzi mlishikwa na mizuka kwamba Halima Mdee kutukana mjengoni? Angalia mnavyomwaga mitusi hapa...

mkuu umenifananisha!! acheni ujinga wa kumuweka mtu upande fulani kisa anawaza tofauti na wewe!! acha

utakuja kumuweka mama yako upande wa wanaume kwa sababu tu kafanya jambo fulani
 
nape ; umekosea; umeshavuka mstari; haupo na sisi tena
 
Nape ashaona uchaguzi wa 2020 utakua mgumu sana kwa CCM ameona bora aanze kujisafishia njia jimboni mwake mapema
 
MTU mzima kulialia hadharani ni dalili za uoga
 
hata haya huna mtoto wakike..mishipa umetoa lkn unaongea utumbo ili uonekane umecomment. .ovyo kbsa

Kama wewe upo ovyo haswaaa, basi sio unipangie mimi niposti wapi. Ishi maisha yako, mtanyooka tu.
 
Wangapi walijua kuwa Mwakyembe baadae angekuja kuwa Senior Minister wa Jk wakati ule wa 2008 kwny Scandle ya Richmond ?

Weka Akiba ya Maneno

2007 Nape alikatwa kwny Mchujo wa Uenykt UV-CCM na alipojaribu kukata Rufaa Katibu Mkuu wa Chama Mzee Makamba akamwambia rufaa yako imefungwa Mbinguni na Ardhini lakin Miaka minne baadae akawa Bosi wa Mzee Makamba.

Siasa hazina' Mtabiri wa Hali ya hewa 'we tembea na Mwamvuli tu Muda wote inaweza kunyesha.
Umejibu vizuri kudos
 
Mbona kwenye mkutano wake hawapigi nyimbo za chama tawala
 
Huyu bwana akiendelea hivi ni wazi 2020 atakataliwa vibaya sana sio na wafuasi wa vyama vya upinzani tu,bali hata wana-CCM wenzake.

Huyu mh. asiposoma alama za nyakati na kujirekebisha,anaweza kuambulia asilimia 40 ya kura zote zitakazopigwa na hata asilimia 35 kabisa.

Ule umati mkubwa uliojitokeza ulikuwa unatuma salam kwake kuwa mbunge wao ni shujaa na zaidi hakutendewa haki.Hii ni dalili mbaya sana kwa mkulu.

Narudia,Bashite ana play role ya Mohamed Bouazizi ya kuleta mabadiliko ya kiutawala nchini kama ambavyo Bouazizi alivyokuwa chanzo cha mabadiliko nchini kwake Tunisia na baadae katika ulimwengu wa nchi kadhaa za kiarabu.

Bahati mbaya sikio la kufa halisikii dawa.

Time will tell.
Wewe ni bure tu! Kwani Tanzania ni Jimbo la Nape? Ubunge wenyewe alipewa kwa mbinu chafu, kweli kesho akiachiwa ataupata?
Nape ana nini zaidi ya bingwa Lowasa? Mbona Lowasa ametulia? Au vipi wakati Zitto anajifaragua kuomndoka CDM, yuko wapi leo hii? Ni mbunge asiye na jukwaa na wenzake wanaanza kuondoka na kupata nafasi serikalini.
 
Mimi huwa sibabaishwi na machozi ya wanasiasa. Ndo zao wanapotaka kupata huruma ya wananchi. Alianza baba yake Pinda naona na yeye kaiga. Hata Obama rais wa taifa lenye nguvu nae analia. Ni unafiki wa hali ya juu ndo maana majuu wanaita [HASHTAG]#WaterWorks[/HASHTAG]

Kama yeye analia kwa sapoti anayopata kwa wananchi wake, mimi nalia kwa kiongozi kama yeye kukubali kutembea juu ya migongo ya kina mama. Nape kwa kile kitambi chake sio wa kutembea hata kwenye tumbo la mtu, achilia mbali mgongo ambako kuna kiungo muhimu na rahisi kuharibiwa-yaani uti wa mgongo. Ni hatari kiafya kutembea juu ya mwili wa mtu. Tulimfukuza mkoloni kwa sababu ya kuamini binadam wote ni sawa na wanapaswa kuheshimiwa. Kukubali kutembea juu ya mwili wa mtu ni kutukumbusha umwinyi na utumwa ambao uliwatesa babu zetu. Iwe mwisho kwa mwanasiasa kubebwa kama maiti au kutembea juu ya miili ya wake za watu. Ni udhalilishaji usio kifani, bila kujali kama wamejitolea wao wenyewe. Mtu akijitolea umuue na wewe ukamuua huwezi kukwepa lawama.
 
Huyu bwana akiendelea hivi ni wazi 2020 atakataliwa vibaya sana sio na wafuasi wa vyama vya upinzani tu,bali hata wana-CCM wenzake.

Huyu mh. asiposoma alama za nyakati na kujirekebisha,anaweza kuambulia asilimia 40 ya kura zote zitakazopigwa na hata asilimia 35 kabisa.

Ule umati mkubwa uliojitokeza ulikuwa unatuma salam kwake kuwa mbunge wao ni shujaa na zaidi hakutendewa haki.Hii ni dalili mbaya sana kwa mkulu.

Narudia,Bashite ana play role ya Mohamed Bouazizi ya kuleta mabadiliko ya kiutawala nchini kama ambavyo Bouazizi alivyokuwa chanzo cha mabadiliko nchini kwake Tunisia na baadae katika ulimwengu wa nchi kadhaa za kiarabu.

Bahati mbaya sikio la kufa halisikii dawa.

Time will tell.


Wachaga wenzako wanaparurana huko akina Ndesamburo wewe umekalia CCM, achana na CCM ni Chama kubwa na inaongoza Dola shughulikia mgogoro wa Wachaga wenzako huko chadema mpate Mwenyekiti!
 
Back
Top Bottom