Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
.... Si nyie majuzi mlishikwa na mizuka kwamba Halima Mdee kutukana mjengoni? Angalia mnavyomwaga mitusi hapa...
Watumwa ili waweze kuisha mjini[emoji23] [emoji23]Huyo dada nahisi kuna namna ameweka alert thread ikianzishwa huyoo keshajibu fasta...
yuko Fasta kumshinda Bashite mwenyewe
Utawala dhalimu utaondoka baada ya kujifitinisha wenyewehahahah Bawacha bhana... Rafiki Nape umeshakatwa bora utulie tuu huko ni kupoteza muda
Mh. Nape namna alivyopokelewa na akina mama ambao walikubali kulala chini ili apite juu yao kuelekea sehemu iliyoandaliwa mkutano.
View attachment 492931View attachment 492933
usahaulifu na woga ndo tabia na dhambi, respectively, ya watanzania tulio wengi!Wa tz wasahaulifu sana watasahau muda mchache ujao
hata haya huna mtoto wakike..mishipa umetoa lkn unaongea utumbo ili uonekane umecomment. .ovyo kbsa
Umejibu vizuri kudosWangapi walijua kuwa Mwakyembe baadae angekuja kuwa Senior Minister wa Jk wakati ule wa 2008 kwny Scandle ya Richmond ?
Weka Akiba ya Maneno
2007 Nape alikatwa kwny Mchujo wa Uenykt UV-CCM na alipojaribu kukata Rufaa Katibu Mkuu wa Chama Mzee Makamba akamwambia rufaa yako imefungwa Mbinguni na Ardhini lakin Miaka minne baadae akawa Bosi wa Mzee Makamba.
Siasa hazina' Mtabiri wa Hali ya hewa 'we tembea na Mwamvuli tu Muda wote inaweza kunyesha.
Mbona we hukulipwa mkuuAlikuwa analipwa kwa kazi hiyo
unaona ht hujielewi ww..yan bac umeongea tu..Kama wewe upo ovyo haswaaa, basi sio unipangie mimi niposti wapi. Ishi maisha yako, mtanyooka tu.
Dah! Hai click kwenye akili yani. Cjui huwa wanapewa nn kabla ya kufanya hayo matukio?Mara nYingine naona UKIMWI ulikuja kutuonea tu Afrika akiri zetu mbona Tayar kush neh
Wewe ni bure tu! Kwani Tanzania ni Jimbo la Nape? Ubunge wenyewe alipewa kwa mbinu chafu, kweli kesho akiachiwa ataupata?Huyu bwana akiendelea hivi ni wazi 2020 atakataliwa vibaya sana sio na wafuasi wa vyama vya upinzani tu,bali hata wana-CCM wenzake.
Huyu mh. asiposoma alama za nyakati na kujirekebisha,anaweza kuambulia asilimia 40 ya kura zote zitakazopigwa na hata asilimia 35 kabisa.
Ule umati mkubwa uliojitokeza ulikuwa unatuma salam kwake kuwa mbunge wao ni shujaa na zaidi hakutendewa haki.Hii ni dalili mbaya sana kwa mkulu.
Narudia,Bashite ana play role ya Mohamed Bouazizi ya kuleta mabadiliko ya kiutawala nchini kama ambavyo Bouazizi alivyokuwa chanzo cha mabadiliko nchini kwake Tunisia na baadae katika ulimwengu wa nchi kadhaa za kiarabu.
Bahati mbaya sikio la kufa halisikii dawa.
Time will tell.
Huyu bwana akiendelea hivi ni wazi 2020 atakataliwa vibaya sana sio na wafuasi wa vyama vya upinzani tu,bali hata wana-CCM wenzake.
Huyu mh. asiposoma alama za nyakati na kujirekebisha,anaweza kuambulia asilimia 40 ya kura zote zitakazopigwa na hata asilimia 35 kabisa.
Ule umati mkubwa uliojitokeza ulikuwa unatuma salam kwake kuwa mbunge wao ni shujaa na zaidi hakutendewa haki.Hii ni dalili mbaya sana kwa mkulu.
Narudia,Bashite ana play role ya Mohamed Bouazizi ya kuleta mabadiliko ya kiutawala nchini kama ambavyo Bouazizi alivyokuwa chanzo cha mabadiliko nchini kwake Tunisia na baadae katika ulimwengu wa nchi kadhaa za kiarabu.
Bahati mbaya sikio la kufa halisikii dawa.
Time will tell.