Kupayuka ni uthibitisho kuwa hakuwa anajisemea ya kwake ya moyoni bali alikuwa anawasemea wananchi.Mbona kapayuka, tatizo liko wapi?
Sasa ulitaka amwambie atashinda wakati hashindi kama nyie mbavyosema mtashinda wakati hamshindi?Katika hali ya kushangazi OCD wa hai ameonekana akimwambia mbowe hadharani kuwa hawezi kushinda uchaguzi.
Ikumbukwe kuwa jeshi la polisi ni miongoni mwa taasisi ambazo zinapaswa kutokuegemea upande wowote katika uchaguzi huu
Link ya video hii hapa:
View attachment 1593384
Ni sahihi au siyo sahihi?Alicho kosea Afisa wa polisi ni kusema ukweli, Ata wenyewe CHADEMA wanajua kuna majimbo machachesana ambayo wanaweza wakashinda ndiomaana hata kwenye kura za urais waneshakata tamaaa kabisa.
Wakupime wewe kwanzawote mnaompongeza huyo afande akili zenu zikapimwe wajinga nyinyi!
Kupayuka ni uthibitisho kuwa hakuwa anajisemea ya kwake ya moyoni bali alikuwa anawasemea
Mbowe asingejifanya mbishi jamaa hakuwa na haja ya kumwelewesha mubashara.Kupayuka ni uthibitisho kuwa hakuwa anajisemea ya kwake ya moyoni bali alikuwa anawasemea wananchi.
Ni sahihi au siyo sahihi according to our constitution (laws) ?Kwani kasema uongo?
Wakupime wewe kwanza mbwa kabisa
Hiyo utajua mwenyewe.In sahihi au siyo sahihi according to our constitution (laws) ?
Ni sahihi askari wa jamhuri ya muungano wa Tanzania kufanya hicho alichikifanya?Kosa lake ni kusema Ukweli, na ukweli siku zote huwa haupendwi!
Mbowe kaambiwa ukweli kuwa hata ajipasue pasue hawezi kumshinda Magufuli [emoji23][emoji23]
Sasa wewe ukitegwa ili uvunje sheria utaingia kingi au utatumia busara ili kukwepa mtego?Mbowe asingejifanya mbishi jamaa hakuwa na haja ya kumwelewesha mubashara.
Natarajia IGP amchukulie hatua za haraka za kinidhamu, yupo katika mavazi rasmi, live na mhusika??? Mchana mbele ya watu!? Pamoja na madhaifu mifumo yetu that's 2 much!!!Tunasafari ndefu sana.
Jiwe ndio ameharibu kila kitu hadi democrasia ya nchi .
IGP nae yupo tu.
Imewasaidia nini CCM na hao mapolisi zaidi ya kumpaisha Lissu tuMbona jana amesoteshwa masaa 9 jua lake na mbu pia!
Jeshi la polisi halipaswi kuegemea upande wowote. OCD hapaswi kusema fulani atashinda wala hapawi kusema fulani hatashinda. Ni kinyume na sheria.Sasa ulitaka amwambie atashinda wakati hashindi kama nyie mbavyosema mtashinda wakati hamshindi?
Aisee nenda kwa Amsterdam kashitaki, si una wakili au?Sasa wewe ukitegwa ili uvunje sheria utaingia kingi au utatumia busara ili kukwepa mtego?
Umejibu vizuri sana..Tatizo humu watu wengi wanachangia hoja kimihemko au hisia(ushabiki) sometimes unaweza dhani kwamba hawakusoma au hawana utashi but wala Ni kujitoa tu ufahamu.Mbowe anaruhusiwa kusema lolote ila mradi asivunje sheria.Mbowe kumwambia Afsa masuala ya mbunge wa CCM hawezi shinda hajavunja sheria yoyote lakini Afsa kusema kuwa mbowe hawezi shinda amevunja sheria.Hiyo ndiyo tofauti ya Mbowe na Afsa.Nani kilaza hapo?