Carica_papaya
JF-Expert Member
- Nov 22, 2018
- 767
- 1,272
Serikali ni Mimi na wewe au tulidanganywa darasa la Tano?Bado Ney wa Mitego,aendelee tuu kuweka Ligi na Serikali wanaomsifia Leo hatowaona kwenye shida
Hata hivyo wateja unaowaona hapo kiuchumi na kimwonekano ndohao hao kama walioingia wasafi festival tuWabongo bana
Huo ni uwanja open space watu wamesimama kwa mduara, hao watu wakiingia kwenye ukumbi wa Dar live hawataonekena hivyo.
Natamani arudi kwenye game ana kipaji cha utunzi na ni mpangaji mzuri wa mashairiDah nmeona video ikimuonyesha Rich Mavoko namna alivyoishiwa mpaka anapiga show za kimaskini
Kuna wanaosema atakuwa anapata pesa Sababu alipofanya show sjui ni mgodini
Lakini Kama kuna pesa wasanii wenzake siwangeenda Pia
Dah inauma sana ,bora wajitokeze watu wamsaidie
TABLE TURNS!
Nimeambatanisha videoView attachment 2741203
Wabongo tupo vyedi sana kusagiana kunguniDah nmeona video ikimuonyesha Rich Mavoko namna alivyoishiwa mpaka anapiga show za kimaskini
Kuna wanaosema atakuwa anapata pesa Sababu alipofanya show sjui ni mgodini
Lakini Kama kuna pesa wasanii wenzake siwangeenda Pia
Dah inauma sana ,bora wajitokeze watu wamsaidie
TABLE TURNS!
Nimeambatanisha videoView attachment 2741203
Safi sana kwa mfano,kwa mwezi akapiga show tano za laki tano tano,Wasanii wengi usione wako kimya ukajua hawapigi shoo. Wao wanapiga mikoani huko. Uko watu wana hela na msanii mmoja au wawili tu wanajaza ukumbi sio Dar unaita wasanii 30 ndio shoo inaonekana inafana.
Week iliyopita Angela alienda Njombe nikapewa taarifa amefanya vizuri sio haba. Nishawahi panda bus moja na Young D anaenda Malinyi. Nuhu Mziwanda ndio mambo yake ayo.
[emoji23][emoji23][emoji23]Jamaa anatumia mix ya malimba na firimbi tu. Nusu ya nyimbo anatumia salamu tu... Unasikia madehewa nyalombo ngw'ainoko... Yashimba...
Mara malimba tuliluliluuuu
HahaaaaaJamaa anatumia mix ya malimba na firimbi tu. Nusu ya nyimbo anatumia salamu tu... Unasikia madehewa nyalombo ngw'ainoko... Yashimba...
Mara malimba tuliluliluuuu
Dayamond alimwibia nyotaKweli jamaa anastruggle sana kimziki
Mzee wa kifimbo magavilla 🔥🔥🔥🔥Simulia sana omba Yasikukute
View attachment 2741257
Sifa ya marafiki wa karibu ukiwa nazo , ukiwa huna hawaposijaona cha ajabu, jamaa ameamua kukubali na kuanza upya hii kumbeza inatoka wap
We Jamaa Ney alikukosea nini? Anaimbia hadhira ni wananchi mbona serikali yako inapata sana shida?Bado Ney wa Mitego,aendelee tuu kuweka Ligi na Serikali wanaomsifia Leo hatowaona kwenye shida
Ulitaka afanyaje sasa. Ishi kwa code dogo.Dayamond alimwibia nyota
Marioo awe makini na dayamond
Dah nmeona video ikimuonyesha Rich Mavoko namna alivyoishiwa mpaka anapiga show za kimaskini
Kuna wanaosema atakuwa anapata pesa Sababu alipofanya show sjui ni mgodini
Lakini Kama kuna pesa wasanii wenzake siwangeenda Pia
Dah inauma sana ,bora wajitokeze watu wamsaidie
TABLE TURNS!
Nimeambatanisha videoView attachment 2741203
Acha Uoga...Bado Ney wa Mitego,aendelee tuu kuweka Ligi na Serikali wanaomsifia Leo hatowaona kwenye shida