Wakuperuzi
JF-Expert Member
- Mar 31, 2023
- 2,348
- 5,841
Niko paleee na nitachangia piaMavoko ana nyumba 5 za kupangisha hapa dar, ana maduka ya jumla na rejareja. Hawezi ishiwa kirahisi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niko paleee na nitachangia piaMavoko ana nyumba 5 za kupangisha hapa dar, ana maduka ya jumla na rejareja. Hawezi ishiwa kirahisi.
Wabongo bhn hamuishiwagi maneno [emoji23]Dah nmeona video ikimuonyesha Rich Mavoko namna alivyoishiwa mpaka anapiga show za kimaskini
Kuna wanaosema atakuwa anapata pesa Sababu alipofanya show sjui ni mgodini
Lakini Kama kuna pesa wasanii wenzake siwangeenda Pia
Dah inauma sana ,bora wajitokeze watu wamsaidie
TABLE TURNS!
Nimeambatanisha videoView attachment 2741203
Mchanganyiko au Mchango gani? Umesikia anaoa? Mkiambiwa 'Barnaba' ana nyumba 2 za ndoto yake ambazo ametangaza mwenyewe redioni mnanuna wabongo acheni uchawiNgoja wakati wa mchango ufike tuone
achaje uchawi na umetukuzaMchanganyiko au Mchango gani? Umesikia anaoa? Mkiambiwa 'Barnaba' ana nyumba 2 za ndoto yake ambazo ametangaza mwenyewe redioni mnanuna wabongo acheni uchawi
Kweli uchawi umewakuza ngoja mpitiwe na 'kamchape' akili ziwakae sawaTuna
achaje uchawi na umetukuza
za hukoKweli uchawi umewakuza ngoja mpitiwe na 'kamchape' akili ziwakae sawa
'H Baba' ana nyumba 12 hio pia bisha mchawi
Ndio huko huko wahi ukachapweMwan
za huko
Bora nifanye mwenyewe tu....Dah nmeona video ikimuonyesha Rich Mavoko namna alivyoishiwa mpaka anapiga show za kimaskini
Kuna wanaosema atakuwa anapata pesa Sababu alipofanya show sjui ni mgodini
Lakini Kama kuna pesa wasanii wenzake siwangeenda Pia
Dah inauma sana ,bora wajitokeze watu wamsaidie
TABLE TURNS!
Nimeambatanisha videoView attachment 2741203
Ulimbukeni ndio unao kutesa.Dah nmeona video ikimuonyesha Rich Mavoko namna alivyoishiwa mpaka anapiga show za kimaskini
Kuna wanaosema atakuwa anapata pesa Sababu alipofanya show sjui ni mgodini
Lakini Kama kuna pesa wasanii wenzake siwangeenda Pia
Dah inauma sana ,bora wajitokeze watu wamsaidie
TABLE TURNS!
Nimeambatanisha videoView attachment 2741203
Nature nasikia ana bangaloo kilungule na ule mtaa wote unaitwa kwa NechaMadogo wa mikoani bana 😂😂
Kuna mwenzio alikuwa anawapiga fix wenzake eti nature ana mashamba ya korosho mafuso na daladala kibao mjini. Kibla anakunywa sana barimi mix kisungura mpululumpalala 😂😂
Angeimba nyimbo za kuwasifia, haki ya nani mngekenua mpaka magego yangeonekana. Ila kwa sababu anawachana ukweli, eti mnamuombea njaa. Watu wa hovyo kabisa.Bado Ney wa Mitego,aendelee tuu kuweka Ligi na Serikali wanaomsifia Leo hatowaona kwenye shida
Wewe endelea kuimba mapambio ya kusifu na kuabudu kwa ccm na sshBado Ney wa Mitego,aendelee tuu kuweka Ligi na Serikali wanaomsifia Leo hatowaona kwenye shida
kabisa yani,watu wamekalili mpaka mastage makubwa,wanasuburi mpaka waitwe fiesta ama wasafi ndo wapate hela ila watu huku wanaenda chaka kwa chaka kuzisaka helaAm sure hizi video zinazosambaa zitamwongezea maokoto,
Bado Ifakara nao watamwita,
All the best Mavoko
Anakubalika uko balaaIlikuwa ni shoo ya msanii wa kisukuma hiyo,Anaitws KISIMA NYANDA MAJABALA,sasa,TINY WHITE,RICH WAVOKO NA MKOJANI ndo walikuwa wanasindikiza,pia mavoko aliimba kidogo tu,msimponde sana,lazima amepiga hela pale,shoo za migodini zina hela nyingi mno yani sema watu hawajui tu