Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliposepa mliona ana matatizo ila boss ndio yupo sahihi.Alipofanya maamuzi ya kipumbavu mlimsifia haya sasa hivi mmetelekeza
We mbena vipi wewe sindio democracy inayoililiaga kule nigerBado Ney wa Mitego,aendelee tuu kuweka Ligi na Serikali wanaomsifia Leo hatowaona kwenye shida
Sawa Messenger ushakula Chuma cha kichwa tayari pumzika hapoSio kila kitu Chakuja Juu ,mimi nimewasilisha kama mjumbe
Hapana ,Demokrasia yenye kulinda maadili sio uhuni na matusi kama huyu ,Mdude na wavuta bangi wengineWe mbena vipi wewe sindio democracy inayoililiaga kule niger
Sijawahi kumsikia hata mara moja.Dah nmeona video ikimuonyesha Rich Mavoko namna alivyoishiwa mpaka anapiga show za kimaskini
Kuna wanaosema atakuwa anapata pesa Sababu alipofanya show sjui ni mgodini
Lakini Kama kuna pesa wasanii wenzake siwangeenda Pia
Dah inauma sana ,bora wajitokeze watu wamsaidie
TABLE TURNS!
Nimeambatanisha videoView attachment 2741203
chaiWewe unasema hivyo ukiwa wapi nyuma ya keyboard? Mwenzako huyo ana maduka yana chata la Billionaire Kid rejareja na jumla, wewe una nini?
ChaiMavoko ana nyumba 5 za kupangisha hapa dar, ana maduka ya jumla na rejareja. Hawezi ishiwa kirahisi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe unasema hivyo ukiwa wapi nyuma ya keyboard? Mwenzako huyo ana maduka yana chata la Billionaire Kid rejareja na jumla, wewe una nini?
Mmmmh huu uongo sasa khaaahMavoko ana nyumba 5 za kupangisha hapa dar, ana maduka ya jumla na rejareja. Hawezi ishiwa kirahisi.
Wivu tu.Dah nmeona video ikimuonyesha Rich Mavoko namna alivyoishiwa mpaka anapiga show za kimaskini
Kuna wanaosema atakuwa anapata pesa Sababu alipofanya show sjui ni mgodini
Lakini Kama kuna pesa wasanii wenzake siwangeenda Pia
Dah inauma sana ,bora wajitokeze watu wamsaidie
TABLE TURNS!
Nimeambatanisha videoView attachment 2741203
Yeye ni chaww anawatawadha wakubwaMwenzako anafurahia duara lake limetema wewe unasemaje?
Mbongo kazi yake kumponda mwenzake wakati yeye hali yakeWewe unasema hivyo ukiwa wapi nyuma ya keyboard? Mwenzako huyo ana maduka yana chata la Billionaire Kid rejareja na jumla, wewe una nini?
Unajifungua ndani km utumbo utaona nini wewe tembea Uone sio kila kitu ni chai zingine ni juice za ukwajuchai
Ngoja wakati wa mchango ufike tuoneWewe unasema hivyo ukiwa wapi nyuma ya keyboard? Mwenzako huyo ana maduka yana chata la Billionaire Kid rejareja na jumla, wewe una nini?