Video: Rich Mavoko namna alivyoishiwa mpaka anapiga show za kimaskini

Video: Rich Mavoko namna alivyoishiwa mpaka anapiga show za kimaskini

Mavoko ana nyumba 5 za kupangisha hapa dar, ana maduka ya jumla na rejareja. Hawezi ishiwa kirahisi.
Madogo wa mikoani bana 😂😂

Kuna mwenzio alikuwa anawapiga fix wenzake eti nature ana mashamba ya korosho mafuso na daladala kibao mjini. Kibla anakunywa sana barimi mix kisungura mpululumpalala 😂😂
 
Simulia sana omba Yasikukute
IMG_20230903_112111_122.jpg
 
Back
Top Bottom