Video | Serikali ya Djibouti yavunja mkataba na DP World kuhusu uendeshaji wa bandari ya Doraleh

Video | Serikali ya Djibouti yavunja mkataba na DP World kuhusu uendeshaji wa bandari ya Doraleh

Hawa watu ni hatari kwa Afrika, wanahonga ili viongozi wasaini mikataba ya kitumwa
20141018_MAP004_0.jpg
 
Hivi hii serikali yetu wanatutakia nini sisi waTanganyika lakini, mnataka hadi damu imwagike ndio muelewe huo mkataba haufai?
 
Hiyo stori ni ya siku nyingi na Djibouti ameshashindwa kwenye mahakama ya kimataifa.
Sawa mkuu, ila habari inafunua madhaifu ya dpw. Ndiyo maana wanasema kesi zisikilizwe S.A. Kama Djibouti wameonja machungu ya dpw na wanatamani kujiondoa sisi tutie maji kichwani kusubiri zamu ya kunyolewa.
 
Inaumiza sana
Generational Trauma!
Kuna wale wenye hisia za kuupinga, tena kwa nguvu zote.
Kuna wale wanaoupinga kwasababu ya madoa yaliyomo kwenye 'sijui niuite nini tena'....Mkataba, MOU, IGA,.
Kuna wale wanaoupinga kwasababu za Uwekezaji tulioufanya Watanzania, Kuna wanaoupinga kwa Sababu ya Uzanzibari na Utanganyika, Kuna wale wanaoupinga kwa sababu ya Historia ya DPW, vilevile Kuna wale wanaoupinga kwasababu kwa sababu wanajua fika kuwa huo mkataba pamoja na Mabilioni ya Dola zinazo zungumziwa kuwekezwa, hazitawafikia kamwe.

Generational Trauma ni athari za kisaikolojia ambazo mateso kinachowapata watu kinawapata vizazi na vizazi vilivyofuata katika Jamii...

Kwa mfano, mateso ya pamoja yaliyoshuhudiwa na waathirika wa mauaji, ukatili, ubakaji, na mateso mengine n.k na baadhi ya makabila ya Watanganyika/Wafrika weusi wakati wa utumwa. Uliofanywa na Waarabu na Wazungu!

Upo uwezekano mkubwa kuwa tuna experience hivi Viwewe sasa hivi.

Inauma kwa kweli.
 
Uwepo wa DP World kule Somaliland au Puntland/Bosaso kinyume na maadhimio ya bunge la Somalia ni uharamia. Hutaki unaacha.
Watajijuwa, siku hizi kigezo chetu cha uchumi ni Somalia? Huko hata USA katoka mbio.

Hizo bandari zote za Somalia ni za watu binafsi., sasa hata sijuwi unataka kusema nini?

Tupe mfano wa mabawana zetu Waingereza.

Sikuelewi.
 
Generational Trauma!
Kuna wale wenye hisia za kuupinga, tena kwa nguvu zote.
Kuna wale wanaoupinga kwasababu ya madoa yaliyomo kwenye 'sijui niuite nini tena'....Mkataba, MOU, IGA,.
Kuna wale wanaoupinga kwasababu za Uwekezaji tulioufanya Watanzania, Kuna wanaoupinga kwa Sababu ya Uzanzibari na Utanganyika, Kuna wale wanaoupinga kwa sababu ya Historia ya DPW, vilevile Kuna wale wanaoupinga kwasababu kwa sababu wanajua fika kuwa huo mkataba pamoja na Mabilioni ya Dola zinazo zungumziwa kuwekezwa, hazitawafikia kamwe.

Generational Trauma ni athari za kisaikolojia ambazo mateso kinachowapata watu kinawapata vizazi na vizazi vilivyofuata katika Jamii...

Kwa mfano, mateso ya pamoja yaliyoshuhudiwa na waathirika wa mauaji, ukatili, ubakaji, na mateso mengine n.k na baadhi ya makabila ya Watanganyika/Wafrika weusi wakati wa utumwa. Uliofanywa na Waarabu na Wazungu!

Upo uwezekano mkubwa kuwa tuna experience hivi Viwewe sasa hivi.

Inauma kwa kweli.
Yamepita mengi, ila hili halitapita hivi hivi
 
Muhtsari
  • Serikali ya Djibouti yavunja Mkataba wa Bandari ya Doraleh na DP World
  • Sababu za kuvunja Mkataba ni kutokuwepo kwa maslahi kwa Taifa la Djibouti na rushwa iliyotolewa na mkuu wa bandari
  • Serikali ya Djibouti yaishtaki DP World kwa madai ya ukiukwaji wa Mkataba

Serikali ya Djibouti imeamua kuvunja mkataba wa uendeshaji wa bandari ya Doraleh iliyokuwa inasimamiwa na kampuni ya DP World kutoka Falme za Kiarabu. Hatua hii imefuatia uchunguzi uliofanywa na serikali hiyo uliobaini kuwa mkataba huo ulikuwa na masharti yasiyo na tija kwa taifa la Djibouti na ulikuwa umeingiwa kwa njia ya rushwa na aliyekuwa mkuu wa bandari.

Serikali ya Djibouti imesema kuwa imefungua kesi dhidi ya DP World kudai fidia na kurejesha mali zake zilizokuwa chini ya usimamizi wa kampuni hiyo. Serikali pia imesema kuwa itatafuta mshirika mpya wa kuendesha bandari hiyo muhimu kwa uchumi wa nchi hiyo na ukanda mzima.

Pia soma |
Unganisha tu dots dp world watu wa Dubai walikuwa wanamsapoti Eritrea wakati 90-95% ya Ethiopia cargo inapita hapo bandarini inayoendeshwa na kampuni ya Dubai na hapo hapo Eritrea na Ethiopia hawako vizuri tegemea tu hayo yatokee.
 
Ule Muungano wa Kisomali uliamuliwa kwa mtutu wa Bunduki.

Sio kama sisi tunaotaka muungano uamuliwe Facebook na Twitter Tiktok nk.
 
Back
Top Bottom