imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Tena sisi ndio tunabahati sana ya kujifunza kuwa wenzetu walishindwa wapi sio tuwe kama nyumbu bila hata ya kufikiri.Kwahiyo kupitia mikataba Yao hiyo hiyo unayoisema jibout imeshindwa MAHAKAMANI lakini wewe unataka kujiingiza shauri yenu.