imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Naomba Definition ya Tapeli.matapeli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba Definition ya Tapeli.matapeli
Chawa wa nguvuC
Chawa!
Sikuizi uwekezaji ni ufisadi mkubwa sana hasa wa kutegemea wageni ...ufisadi unafanyika kwenye mikatabaNi kuwa makini kwenye mikataba lakini uwekezaji ni jambo zuri.
tena amesoma mikataba walioingia? Yawezekana kule wameingia mkataba mzuri usiokuwa wa wizi, ila huku kwenu wakalalia iwapasavyoWazungu unawalinganisha na Waafrica?
That means we are [emoji533][emoji97]edHiyo stori ni ya siku nyingi na Djibouti ameshashindwa kwenye mahakama ya kimataifa.
Wewe jali ajira, kweni mikataba iliyopita wewe umeumbilia nini, si ni hao hao wa juu ndio wanapiga na kujilimbilizia mali.Sikuizi uwekezaji ni ufisadi mkubwa sana hasa wa kutegemea wageni ...ufisadi unafanyika kwenye mikataba
Umeshindwa kunitajia, vizuri sana.Nenda kwenye website ya Brela.
Kusema hautafanya kitu alafu ukakifanya...; hio ni moja ya features ya Utapeli (Katika makubaliano mtu anadhani anapata machungwa lakini badala yake anapata Sungwi let alone Chenza)Naomba Definition ya Tapeli.
Acha uvivu.Umeshindwa kunitajia, vizuri sana.
Hizo ni Mbinu za Biashara "UTAPELI" ni kosa la jinai katika Nchi zote za Dunia.However, the ports were always its key target: Bin Sulayem admitted then that he had limited knowledge of the ferry business that came alongside, but denied he had plans to sell them off. They were however sold to a separate state-owned entity, Dubai World, around the time of the financial crisis, before DP World bought them back for $322m (£244m) in 2019.
Kwenye dunia ya automation unadhani hizo ajira zitatoka wapi ?!!! Hilo tu lingetufanya haya mambo tufanye wenyewe ili kinachopatikana hapo tuweze kuwasaidia ndugu zetu wabangaizaji wanaotemwa na vyuo kila mwaka..., Au hao watu watapata ajira za kwenda kuwauzia mia kadhaa uji wanaoperate hizo machinery ?Wewe jali ajira, kweni mikataba iliyopita wewe umeumbilia nini, si ni hao hao wa juu ndio wanapiga na kujilimbilizia mali.
Ripoti zote za ofisi ya CAG inaupigaji mbona hulalamiki
Katiba mbovu inayowapa CCM mamlaka ya kimungu mbona huibebei bango?
No matter what you call it naangalia outcomes - kuna kipindi hata utumwa ulikuwa legal duniani (does not make it right); kwahio huku umekubaliana nao kwamba mbinu zao za Biashara wataziacha huko huko kwao ?Hizo ni Mbinu za Biashara "UTAPELI" ni kosa la jinai katika Nchi zote za Dunia.
Kuna Dar Port kuna ile Conteiner terminal pale Vigwaza kuna Isaka Dry port zote ajira hizo kumbuka volume ya mizigo ikiongezeka na makampuni ya usafirishaji yataongezeka zote ajira hizo na kuna indirect nyingi sana.Kwenye dunia ya automation unadhani hizo ajira zitatoka wapi ?!!! Hilo tu lingetufanya haya mambo tufanye wenyewe ili kinachopatikana hapo tuweze kuwasaidia ndugu zetu wabangaizaji wanaotemwa na vyuo kila mwaka..., Au hao watu watapata ajira za kwenda kuwauzia mia kadhaa uji wanaoperate hizo machinery ?
Huwezi kula tu kubali nawe uliwe japo kiduchu. Give n take ma nigaNo matter what you call it naangalia outcomes - kuna kipindi hata utumwa ulikuwa legal duniani (does not make it right); kwahio huku umekubaliana nao kwamba mbinu zao za Biashara wataziacha huko huko kwao ?
Huyu mamako ni tapeli sanaHiyo stori ni ya siku nyingi na Djibouti ameshashindwa kwenye mahakama ya kimataifa.
Kwahiyo kupitia mikataba Yao hiyo hiyo unayoisema jibout imeshindwa MAHAKAMANI lakini wewe unataka kujiingiza shauri yenu.Hiyo stori ni ya siku nyingi na Djibouti ameshashindwa kwenye mahakama ya kimataifa.
Yule Chizi wako alikuwa muuaji sana.Huyu mamako ni tapeli sana