Video | Serikali ya Djibouti yavunja mkataba na DP World kuhusu uendeshaji wa bandari ya Doraleh

Video | Serikali ya Djibouti yavunja mkataba na DP World kuhusu uendeshaji wa bandari ya Doraleh

Kuna Dar Port kuna ile Conteiner terminal pale Vigwaza kuna Isaka Dry port zote ajira hizo kumbuka volume ya mizigo ikiongezeka na makampuni ya usafirishaji yataongezeka zote ajira hizo na kuna indirect nyingi sana.

Mimi ni mdau ndio maana nakuambia.
Wewe ni dereva wa Lori, dereva wa Lori ni mdau? Wewe kazi yako ni kusafirisha mzigo kutoka point A kwenda point B
 
Sio kweli hajashindwa leta ushahid

DP World wins latest judgement in Hong Kong Court over Djibouti concession​


Dubai, UAE,
20
September
2022


DP World has won the latest in a string of court rulings, as it defends its rights as shareholder and concessionaire in Djibouti’s Doraleh Container Terminal.
 
Unamkashifu mwenzako kwamba ana akili finyu ilhali umesahau ukweli kwamba kule Uingereza kampuni la DP World limesajiliwa kwa sheria za nchi ile na kuitwa DP World London Gateway. Huku kwetu hilo kampuni limesajiliwa lini kule BRELA na kupewa A CERTIFICATE OF COMLIANCE ?

Halafu ambalo hufahamu ni kwamba DP World kule Uingereza amepewa bandari moja tu ya London Gateway, bandari nyingine ambazo ziko kwenye mfumo wa PORT OF LONDON zinaendeshwa na mashirika mengine makubwa. Huku kwetu bandari zote kuanzia Mtwara hadi Tanga kapewa DP World. Hivi ninyi watu huwa mna akili gani hadi kukaza shingo kushabikia huu upumbavu ?​
Broda hawa jamaa ukiwasikiliza utaionea huruma uzao wao. Wao wanadhan hawa jamaa wakija Dar port itageuka kimiujiza kufanana na Dubai port
 

DP World wins latest judgement in Hong Kong Court over Djibouti concession​


Dubai, UAE,
20
September
2022


DP World has won the latest in a string of court rulings, as it defends its rights as shareholder and concessionaire in Djibouti’s Doraleh Container Terminal.
Then Nan anarun hiyo Port muda huu
 
Watajijuwa, siku hizi kigezo chetu cha uchumi ni Somalia? Huko hata USA katoka mbio.

Hizo bandari zote za Somalia ni za watu binafsi., sasa hata sijuwi unataka kusema nini?

Tupe mfano wa mabawana zetu Waingereza.

Sikuelewi.
You lack writer's congruence and consistency. Unaandika hiki, unaandika kile, huna mtiririko!
Kwahiyo kama ni za watu binafsi ndiyo DP World wanapata uhalali wa kuwepo ?
 
Hebu tuwekee hapa nasi tujiridhishe.
Huu wa hapa sisi tumeona..Na tumeshaona mapungufu...tumejiridhisha vya kutosha mkataba hauko sawa; Wewe unaosifia hao jamaa kupitia mikataba ya UK - ndio tuwekee huo mkataba unaoisifia wa DPW na UK, tuuone - kisha tufananishe na wa hapa.
 
Somalia ni muungano wa Nchi mbili Somali British Protectorate na Somali Italiana wametengana baada ya vita vya muda mrefu

DPWORLD wamewekeza Somaliland, South Somalia wakakataa nadhani utakuwa umeelewa japo kiduchu.
Na hao wamewakataa kisa ni waarabu au kisa mkataba hauelewek ?
 
Muhtsari
  • Serikali ya Djibouti yavunja Mkataba wa Bandari ya Doraleh na DP World
  • Sababu za kuvunja Mkataba ni kutokuwepo kwa maslahi kwa Taifa la Djibouti na rushwa iliyotolewa na mkuu wa bandari
  • Serikali ya Djibouti yaishtaki DP World kwa madai ya ukiukwaji wa Mkataba

Serikali ya Djibouti imeamua kuvunja mkataba wa uendeshaji wa bandari ya Doraleh iliyokuwa inasimamiwa na kampuni ya DP World kutoka Falme za Kiarabu. Hatua hii imefuatia uchunguzi uliofanywa na serikali hiyo uliobaini kuwa mkataba huo ulikuwa na masharti yasiyo na tija kwa taifa la Djibouti na ulikuwa umeingiwa kwa njia ya rushwa na aliyekuwa mkuu wa bandari.

Serikali ya Djibouti imesema kuwa imefungua kesi dhidi ya DP World kudai fidia na kurejesha mali zake zilizokuwa chini ya usimamizi wa kampuni hiyo. Serikali pia imesema kuwa itatafuta mshirika mpya wa kuendesha bandari hiyo muhimu kwa uchumi wa nchi hiyo na ukanda mzima.

Pia soma |
Acheni chokochoko mwacheni Mama aifungue nchi.,
 
Hii ni kawaida hata kocha nabi kwenye timu yake kabla yakuja yanga alikua amevunjiwa mkataba wake yanga wakamchukua majibu mnayo wenyewe acheni mihemko
 
Hawa watu ni hatari kwa Afrika, wanahonga ili viongozi wasaini mikataba ya kitumwa
Kam. Hi hbr Ni ya Kweli Basi Hawa jmaa wameonga watu wengi sna kupata hi bandari nduo maan watu wananyanyua midomo sna kuitetea
 
Back
Top Bottom