Video: Suala la Steve Nyerere na Shirikisho la Muziki vita kubwa ya kisiasa nyuma ya pazia

Video: Suala la Steve Nyerere na Shirikisho la Muziki vita kubwa ya kisiasa nyuma ya pazia

BigTall

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2022
Posts
525
Reaction score
1,257
Sakata la Steve Nyerere kuibua zengwe baada ya kuteuliwa kuwa Msemaji wa Shirikisho la Muziki nyuma yake kuna siasa ambayo inaendelea kuutafuna mgogoro huo.

Hii hapa ni video jinsi ambavyo Bushoke ameonyesha wazi kuna tatizo kubwa la kisiasa katika suala hilo.



Video: Global TV
 
Steve anachotaka ni kucontrol makundi yote ya sanaa ili awatumie vizuri kujipatia pesa kwa wadau mbali mbali huwezi jua na rambi rambi misibani[emoji23][emoji23][emoji23]
Wakazi nje ya kuimba ila Ana ufahamu mzuri kichwan s umeona kasimama na kuuliza maswali yenye tija.
.
Kiufupi vijana wanataka mtu mwenye shule kichwani ili kuweza kutengeneza mipango ya muda mrefu kuliko Steve ambae Ana ushawishi wa kwenda mahala kuwezesha kupatikana pesa kwa matajir

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Steve yuko karibu na Mama Rais Samia sasa waliomteua wanawaza karibu mno kwa kigezo hicho wanaamini steve atamfikia Mama kirahisi na mambo yatarahisika lakini ukiangalia pia ajenda yao kuu ni ili kuwacontrol wasanii wote wawe chini ya ccm lakini steve sio mweledi kias hicho hapana
 
Steve yuko karibu na Mama Rais Samia sasa waliomteua wanawaza karibu mno kwa kigezo hicho wanaamini steve atamfikia Mama kirahisi na mambo yatarahisika lakini ukiangalia pia ajenda yao kuu ni ili kuwacontrol wasanii wote wawe chini ya ccm lakini steve sio mweledi kias hicho hapana
Kwani mama ndo mwimbaji au msanii huyu Did q alihongwa la Mana kumchagulisha Steve ni uhuni tu
 
Steve yuko karibu na Mama Rais Samia sasa waliomteua wanawaza karibu mno kwa kigezo hicho wanaamini steve atamfikia Mama kirahisi na mambo yatarahisika lakini ukiangalia pia ajenda yao kuu ni ili kuwacontrol wasanii wote wawe chini ya ccm lakini steve sio mweledi kias hicho hapana
Mmmh!
 
Wakazi nje ya kuimba ila Ana ufahamu mzuri kichwan s umeona kasimama na kuuliza maswali yenye tija.
.
Kiufupi vijana wanataka mtu mwenye shule kichwani ili kuweza kutengeneza mipango ya muda mrefu kuliko Steve ambae Ana ushawishi wa kwenda mahala kuwezesha kupatikana pesa kwa matajir

Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wa hip hop vichwan wako sawa
Kuliko hawa wanyoa viduku

Ova
 
Sakata la Steve Nyerere kuibua zengwe baada ya kuteuliwa kuwa Msemaji wa Shirikisho la Muziki nyuma yake kuna siasa ambayo inaendelea kuutafuna mgogoro huo.

Hii hapa ni video jinsi ambavyo Bushoke ameonyesha wazi kuna tatizo kubwa la kisiasa katika suala hilo.

View attachment 2159363

Video: Global TV
Hii attachment haifunguki

Ova
 
Watu wa hip hop vichwan wako sawa
Kuliko hawa wanyoa viduku

Ova

Always uwezo wa kufikiri wa mtu wa hip hop uko vizuri zaidi kuliko waimbaji kwani waimbaji wao ni washereheshaji wakati muziki wa kufokafoka unakufanya ujifunze kufikiri kwa kina na hasa upande wa falsafa mbali mbali za maisha
 
Always uwezo wa kufikiri wa mtu wa hip hop uko vizuri zaidi kuliko waimbaji kwani waimbaji wao ni washereheshaji wakati muziki wa kufokafoka unakufanya ujifunze kufikiri kwa kina na hasa upande wa falsafa mbali mbali za maisha
Nliona video moja nik mbish anafundisha physics jamaa yko vzr hesabu, na maformula

Ova
 
Wakazi nje ya kuimba ila Ana ufahamu mzuri kichwan s umeona kasimama na kuuliza maswali yenye tija.
.
Kiufupi vijana wanataka mtu mwenye shule kichwani ili kuweza kutengeneza mipango ya muda mrefu kuliko Steve ambae Ana ushawishi wa kwenda mahala kuwezesha kupatikana pesa kwa matajir

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kifupi Steve ni chawa wa ccm
 
Lkn Stive huwa wanaona umuhimu wake kwenye kampeni.

Kuna upande umekosa maslahi, kuna upande hatujui nini kinaendelea, na kuna wala bora yeshee.

Binafsi na shauku yakujua nguvu/ushawishi aliyonayo Stive Nyerere.
 
Nliona video moja nik mbish anafundisha physics jamaa yko vzr hesabu, na maformula

Ova

Yes hua wana knowledge sana mimi hip hop hua ni shule kila mstari unafunzo wewe angalia kwa wasanii kiasi wenye msimamo ni wao hata mapinduzi na amsha amsha kwenye struggle zote walifanya wana hip hop
 
Back
Top Bottom