Video: Tuacheni utani, Kabendera anatia huruma

Video: Tuacheni utani, Kabendera anatia huruma

Ndio maana nashangaa eti Kabendera atie huruma. Huko lockup Ni sehemu kama sehemu nyingine zenye ugumu wa maisha, je huyo Kabendera katoka kwenye maisha mazuri sana kiasi huko lockup kumchanganye?
Kwaiyo anavuna alichopanda?

Ila kule sio sehemu mzuri maana atakuwa anafikiria mengi anayoyamiss uraiani na kujutia pia.
 
Ninapenda kutumia wasaa huu kumuombea msamaha kijana Erik Kabendera kwa wote wenye mamlaka ya kikatiba na kisheria ambao kwa nanna moja walikwazwa, kujeruhiwa, kutofurahishwa ama kuumizwa na maandiko ya kijana huyu.
Ni kweli Kabendera alikengeuka aidha kwa kushawishika kwa fedha au kwa kutokuwa na taarifa kamili za kumuwezesha kufanya uchambuzi yakinifu na naamini lengo la wenye mamlaka lilikuwa ni kumfungua macho kijana huyu aone upande wa pili wa shilingi.
Natumai atakaporudi uraiani atakuwa amebadilika na kuwa na mtazamo chanya juu ya jitihada zinazofanywa na viongozi na Watanzania wengi wanaokesha wakifanya kazi kuhakikisha changamoto za wananchi zinatatuliwa na taifa letu kupiga hatua mbele.
Viongozi wetu ni watu waliopitia changamoto nyingi na mitihani mingi ya maisha na kuivuka ndio maana tumewaamini na kuwapa nafasi ya kutuvusha sisi kama taifa pale tulipokuwa tumekwama hivyo naamini kama watu wenye busara, huruma na upendo kwa wananchi wote watatafuta muafaka na kulimaliza jambo hili kwa moyo wa upendo ukizingatia kuwa Kabendera ni sawa tu na mtoto wao wa kumzaa.
 
Cristu Yesu alisema mtu akikukosea akakuomba msamaha musamehe.Wapo wanaochongea wenzao wabaki kwenye mateso.Tumuombe Mwenyezi ,Mungu wa rehema tuepukane na chuki tupendane badala yakufuraia mateso ya wenzetu.
 
mimi niambiwe nikae ndani kwangu kwa muda wa siku mbili tu siwezi. leo nikae gerezani ntaweza wapi
 
Unashindwa kumlea mama nababa ako kwenu huko ,wamechakaa kegete zinawamaliza ,unakuja kuleta upumbavu wako kuhusu mwanaume wakweli...namfananisha LA Rambo au damme wakiwa ktk operation ngumu....kabendera yuko ktk operesheni ngumu yaukombozi wa wa Tanganyika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom