GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Walaumu 'waliokuzaa' kwanini 'walikuzaa' na 'Upumbavu' ulionao na sasa 'unatuchukia' ambao Mwenyezi Mungu 'alitubariki' na 'Akili' Kubwa sana.We jamaa mbona unajiona mjuaji Sanaa. Since tunakuona kilaza tu na ushamba mwingiii.
Hii brain ya huyu jamaa ni tabu ingine....Lissu is one of the smartest TanzaniansView attachment 1646533
Video hiyo hapo juu ni David McAllister - Deputy Chairperson of International Democratic Union (IDU) & Member of European Parliament akitoa maelezo mafupi kabla ya kumkabidhi tuzo hiyo Mh. Tundu Lissu...
Na katika video hii hapa chini Tundu Lissu akitoa neno la shukrani baada ya kupokea tuzo hiyo...
Hongera sana Mh. Tundu A. Lissu. Binafsi nakutakia kila la kheri...
View attachment 1646534
Hayati Nelson Mandela pamoja na 'Mateso' yote kutoka kwa 'Makaburu' alipambana nao kwa 85% akiwa pale pale na 'hakuwakimbia' Watu Weusi.Hahaha mbona juzi nilisikia wafaransa wamempongeza Magufuli na mliweka picha ya balozi na kabudi akipokea kwa niaba yake na hatukupinga?!
Hahaha punguzeni moshi huko mliko muone vizuri, huyu naye kapongezwa tu.
Anafanana nami 'Kitabia' kuanzia Ubabe, Kujiamini, Unyumbulifu, Uwerevu na ni Mtu mwenye Jicho la Ndege Tai na Mwana Propaganda Mzuri mno.HAHAHA vipi huyo jamaa kwenye avatar yako ndiye beberu wako?!
TL tegemeo kwa Watanzania Wajinga.Lissu tegemeo la Tanzania
Najua Sindano yangu tayari imewashawaingia vyema na tena Kunako kabisa wana CHADEMA wote ndiyo maana sasa mnaweweseka tu nami hapa.Haya ni maneno ya waliokosa akili.
Ukisikia tu mtu anasema kuwa mtu fulani anatumiwa na mabeberu, utambue kuwa mtu huyo hana akili. Ukitaka kuthibitisha, mwulize ni kwa namna gani mtu hutumiwa na mabeberu, haweza kukupa jibu lolote la maana.
Neno hili kwa sasa limekuwa likitamkwa zaidi na wapenzi na mashabiki wa CCM ambao utafiti wa TWAWEZA ulithibitisha kuwa ni watu wajinga.
Sent using Jamii Forums mobile app
Imeweza kuendelea 'Kutawala' na itaendelea 'Kuitawala' Tanzania kwa miaka '10,000' ijayo na uwepo wa Rais Dk. Magufuli una Faida Kimaendeleo.Sasa umefaidika nini na CCM kutawala na Magufuli kuwepo?
Ujinga ni mzigo. Nyerere alipokea tuzo nyingi tu kutoka kwa hao mnaowaita mabeberu,mkashangilia sana,Kikwete alizipokea kutoka kwa haohao mkashangilia na kupongeza. Leo anapokea mtanzania mwenzetu mnawaita madume ya mbuzi. Sisi manyani,unyani utatuisha lini?Baada ya kufeli misheni mabeberu yanaamua kumfariji
Hata Mimi sikujua kuwa nawe ni 'Mpumbavu' kiasi hiki hadi umeshindwa kujua kuwa GENTAMYCINE ni 'Brainiac' wa uhakika Afrika na hadi Duniani.Sikujua kuwa nawe ni mjinga kiasi cha kuandika kwa namna hii kama layman.
Kwa Tanzania yenu tu kuwa na Mtu mwenye 'IQ' kama yangu yenye Mchanganyiko wa Kitutsi, Kizanaki Kimakuwa na ya Kiyao ni Faida Kubwa mno.Unatakiwa ujidharau wewe kwanza,kwani umeuliza swali la kipumbavu sana.
Kwanza jiulize wewe unafaida gaani kwa watanzania?
Utaka kutuambia wewe una akili nyingi kuwazidi walioanzisha hiyo Tunzo na kuamua kumpa tundulilisu?
Mimi nimesema mara nyingi ingekuwa si Njaa isiyokwisha, Pascal Mayalla angeita beleshi beleshi kama leo siyo Kijiko kikubwa kama wanaCCM wenzie. MaCCM humu JF yanaloloma kuwa Tundu Lissu anachafua nchi kumbe ni viongozi wa Serikali ya Awamu ya Tano ndo wanafanya hivyo ndo maana hawasafiri nje kwa kuogopa kuzomewa na lughà mayolo. Hongera sana Pascal ila ingependeza zaidi ungehama hilo Chama!Tuzo muhimu sana , hongera zake.
P
Kundi la Wakata viunoView attachment 1646533
Video hiyo hapo juu ni David McAllister - Deputy Chairperson of International Democratic Union (IDU) & Member of European Parliament akitoa maelezo mafupi kabla ya kumkabidhi tuzo hiyo Mh. Tundu Lissu...
Na katika video hii hapa chini Tundu Lissu akitoa neno la shukrani baada ya kupokea tuzo hiyo...
Hongera sana Mh. Tundu A. Lissu. Binafsi nakutakia kila la kheri...
View attachment 1646534
Au nawewe ni kundi la Wakata viuno, Tundu Antipas Lissu amemtetea nani au ni kukurupuka tuuu. Huu ni Mchezo wa kikundi cha Mashg wameiandaa fake partyMimi nimesema mara nyingi ingekuwa si Njaa isiyokwisha, Pascal Mayalla angeita beleshi beleshi kama leo siyo Kijiko kikubwa kama wanaCCM wenzie. MaCCM humu JF yanaloloma kuwa Tundu Lissu anachafua nchi kumbe ni viongozi wa Serikali ya Awamu ya Tano ndo wanafanya hivyo ndo maana hawasafiri nje kwa kuogopa kuzomewa na lughà mayolo. Hongera sana Pascal ila ingependeza zaidi ungehama hilo Chama!
Ni wewe tu ndio unajua ingawa hujawahi kutoka nje ya Chato toka kuzaliwa wala lughà yao hujui hata ya kuombea maji.Si Robert Amsterdam na wenzake ndio wandaaji? Au hujui hilo?
It seems to me that you are empty-headed. It's better shutting up when you do not have anything sensible or worth reading/listeningMwambieni atazoa 'Tuzo' sana tu za hao 'Mabeberu' wake wanaomtuma ila Tanzania 'Rais' ni Dk. Magufuli na Chama Tawala ni cha 'CCM' tu pekee.
Hata kidonda kibichi hadi kilichooza kuna wanao kipenda. Una haki ya kukipenda chama chako na mpumbavu wako yo yote.Imeweza kuendelea 'Kutawala' na itaendelea 'Kuitawala' Tanzania kwa miaka '10,000' ijayo na uwepo wa Rais Dk. Magufuli una Faida Kimaendeleo.
Ni wachache sana watakuelewa...wengi humu wako kishabiki na ki-chama.Wazungu ni wajanja sana katika kuwatumia watu wapuuzi kama Lissu na Lema.
Siyo tuzo tu,watampa vingi baadaye wakikamilisha au kushindwa mipango yao basi watamtosa
Una umri gani kwani??? Ulikuwa unanyonya nini wakati anawatetea watu wa Nyamongo dhidi ya unyanyasaji wa serikali ya Mkapa??Au nawewe ni kundi la Wakata viuno, Tundu Antipas Lissu amemtetea nani au ni kukurupuka tuuu. Huu ni Mchezo wa kikundi cha Mashg wameiandaa fake party