Video: Tundu A. Lissu apewa tuzo ya Bush - Thatcher Award (BTA) ya kupigania Uhuru, Haki na Utawala bora toka IDU

Video: Tundu A. Lissu apewa tuzo ya Bush - Thatcher Award (BTA) ya kupigania Uhuru, Haki na Utawala bora toka IDU

Hongera Belgium kwa kupata tuzo...huyo ni mbelgiji sasa inatusaidia nini sisi tuzo yake?
 
kumbe Lisu ni mkimbizi!! huyo mzungu kasema wazi kuwa Lisu mkimbizi
Huo ndio ukweli, si unakumbuka jinsi alivyoondoka mpaka pale airport alikua under escort. Picha ilishatengenezwa iwe hivyo. Huko ndio masela huita kujilipua...
 
Hivi huyu ndugu hafai kuwa Rais wa JMT just because he's from Opposition Party - CHADEMA, hana uwezo wala sifa za kuwa Rais na mkuu wa nchi au tatizo lake ni nini hasa?

Na kama tatizo ni kwa sababu yuko chama cha upinzani, I suggest ajiunge haraka sana CCM na John Pombe Magufuli immediately ampishe jamaa kwenye kiti chake maana huyu ndiye mshindi wa kiti cha Uraia ktk sanduku la kura kwenye uchaguzi uliopita...!!

Jamani eeeh, we don't care anatoka chama gani. Sisi tunamhitaji mtu na mtu wa kufaa kuwa Rais wa nchi hii ni huyu haijalishi ni mCCM au mCHADEMA or whatsoever....

Hundiye Mr President Tundu Antipas Mughway Lissu aliyechaguliwa na watu whether some people like to hear it or they don't...!!
Hivi huyu ndugu hafai kuwa Rais wa JMT just because he's from Opposition Party - CHADEMA, hana uwezo wala sifa za kuwa Rais na mkuu wa nchi au tatizo lake ni nini hasa?

Na kama tatizo ni kwa sababu yuko chama cha upinzani, I suggest ajiunge haraka sana CCM na John Pombe Magufuli immediately ampishe jamaa kwenye kiti chake maana huyu ndiye mshindi wa kiti cha Uraia ktk sanduku la kura kwenye uchaguzi uliopita...!!

Jamani eeeh, we don't care anatoka chama gani. Sisi tunamhitaji mtu na mtu wa kufaa kuwa Rais wa nchi hii ni huyu haijalishi ni mCCM au mCHADEMA or whatsoever....

Hundiye Mr President Tundu Antipas Mughway Lissu aliyechaguliwa na watu whether some people like to hear it or they don't...!!
Una kichaa cha mbwa mwehu! Kura hampigi halafu mnataka ushindi!
Wazungu ni wajanja sana katika kuwatumia watu wapuuzi kama Lissu na Lema.
Siyo tuzo tu,watampa vingi baadaye wakikamilisha au kushindwa mipango yao basi watamtosa kama condom.
 
View attachment 1646533
Video hiyo hapo juu ni David McAllister - Deputy Chairperson of International Democratic Union (IDU) & Member of European Parliament akitoa maelezo mafupi kabla ya kumkabidhi tuzo hiyo Mh. Tundu Lissu...

Na katika video hii hapa chini Tundu Lissu akitoa neno la shukrani baada ya kupokea tuzo hiyo...

Hongera sana Mh. Tundu A. Lissu. Binafsi nakutakia kila la kheri...
View attachment 1646534
Bahati mbaya sana viongozi wa CCM, wanachama wao na wananchi wengi hawaelewi lughà iliyotumika kwenye Videos kwa hiyo hawataelewa kilichosemwa. Bora elimu!
 
Wazungu wanajua kucheza na akili za wajinga!

Wahenga walisema, ''wajinga ndio waliwao''.
Mungu alivyo Mkuu acha tu! Juzi umekuja na kiuzi chako uchwara eti wazungu wamemtupa Lissu, leo Mungu kakujibu kuwa huna lolote na hujui unalowaza.

Polee sana!! Mlidhani mnaweza kuwadanganya wazungu kwa maigizo yenu na kuwarubuni wapinzani uchwara kwa pesa!! Safari hii wamegoma kudanganywa na CCM. Jiandaeni tu
 
Ni kweli wanacheza na akili hata za kwako

Leo mnasubiria chanjo ya corona toka kwa mzungu

Mzungu anawatengenezea mpaka simu

Unatumia magari ya mzungu

Wewe unachojua maishani mwako ni kulala na kuamka basi

Mchana unapiga pambio za kusifu, Hufikirii uvumbuzi na ugunduzi

Ahaaa unawaza mabeberu wamsaidie dawa za presha Baba yako huko kijijini kwa kushusha bei ili NHIF waingize kwenye dawa za msingi

Kuna muda mwanangu akichoka kuangalia katuni huwa nampa simu asome vichekesho vya kwako unavyoandika hapa JF
Umempa za uso hadi nafikiri atakuwa kachanganyikiwa huko😂😂😂😂
 
View attachment 1646533
Video hiyo hapo juu ni David McAllister - Deputy Chairperson of International Democratic Union (IDU) & Member of European Parliament akitoa maelezo mafupi kabla ya kumkabidhi tuzo hiyo Mh. Tundu Lissu...

Na katika video hii hapa chini Tundu Lissu akitoa neno la shukrani baada ya kupokea tuzo hiyo...

Hongera sana Mh. Tundu A. Lissu. Binafsi nakutakia kila la kheri...
View attachment 1646534
Hawa IDU si ndo marafiki kindakindaki wa chandimu? Hatudanganyiki!
 
Back
Top Bottom