Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Ndo progaganda mnazolishana huko Lumumba sio??? Kakojoe ukalaleNi wachache sana watakuelewa...wengi humu wako kishabiki na ki-chama.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo progaganda mnazolishana huko Lumumba sio??? Kakojoe ukalaleNi wachache sana watakuelewa...wengi humu wako kishabiki na ki-chama.
Umempa za uso???😂😂😂Ni wewe tu ndio unajua ingawa hujawahi kutoka nje ya Chato toka kuzaliwa wala lughà yao hujui hata ya kuombea maji.
Huyo anayekuongoza amekusaidia nini??Kama unamhitaji mpeleke nyumbani kwako akuongoze na familia yako.
I have never ever been 'threatened' by a 'CERTIFIED MORON' of your type. I actually urge you right now to just keep your 'Pig Mouth' shut okay?It seems to me that you are empty-headed. It's better shutting up when you do not have anything sensible or worth reading/listening
Kuna watu wana wivu uliopitiliza au saa zingine ujinga tu. Hiyo tuzo angepewa Magufuli na hao hao wanaita mabeberu pasingekalika humu. Mwaka jana mabeberu wametu-upgrade kuwa uchumi wa kati kiwango kile cha chini kabisa. Tambo zilikuwaje! Vigezo wamepanga hao hao mabeberu tunashangilia ka mazuzu. Ujinga wa namna hiyo unatisha. Lissu ni Mtanzania kupata hiyo award ni credit si kwake bali hata kwa nchi. Watu wanazoza kutukana ili hali wao hata tuzo za darasani tu walikosoma hawakuwahi kupata. Tuache mambo ya aibu.mamako!.
Mandela alikuwa anapambana na Makaburu wazungu hata alipokuwa Rais Makamu wake alikuwa Kaburu, ole wake anayepambana na Kiongozi Mwafrika mweusi muuaji,mtesaji, mtekaji, mnyanyasaji akae naye mbali la sivyo ataliwa nyama kama Watutsi na Wahutu. Mh. Lissu na Lema wameonja joto la jiwe!Hayati Nelson Mandela pamoja na 'Mateso' yote kutoka kwa 'Makaburu' alipambana nao kwa 85% akiwa pale pale na 'hakuwakimbia' Watu Weusi.
Bila wewe kumpiga risasi angefikaje Belgium? Mkienda kuomba omba misaada ulaya huwaita wazungu wafadhili wahisani lakini hao hao wazungu wakikataa ujinga upumbavu uonevu unyanyasaji uovu mateso manyanyaso yenu kwa wapinzani mnageuka na kuwaita wanaume wenzenu mabeberu utazani nyinyi CCM ni mbuzi jikeBaada ya kumtumia mabeberu yameamua kumpoza mwenzao.. To hell Lissu msaliti
Aliyekutuma uulawiti kuubaka kuunajisi uchaguzi mkuu ni nani? iweje uogope ICC wakati unatenda uovu dhidi ya ubinadamuKwa kufungua kesi ICC! Ahahahahahahahah!!!
Kwa mara ya kwanza nakuunga mkono leoTuzo muhimu sana , hongera zake.
P
Kwani wewe kujua hilo unanufaika na nini huko CCM?Kwahiyo Chadema imenufaikaje hapo?
Ni kama tuseme polepole ndiyo waandaji wa wewe kuandika haya unayoandika sasaSi Robert Amsterdam na wenzake ndio wandaaji? Au hujui hilo?
CCM ndiyo chama omba omba misaada kwa wazungu kuliko vyama vyote Duniani lakini cha ajabu ndiyo chama kisicho na shukrani na chama chenye Gubu hakuna mfano DunianiUnaposema 'Wajinga' unamaanisha wanaopokea misaada kutoka kwao?
Ni vyema kuwa umetumia haki yako ya kikatiba kutoa maoni yako...
Lakini honestly, sijaelewa umeandika nini...
Sijaona counter argument yoyote zaidi ya kusoma maneno yasiyo na mpangilio wala maana ya kimantiki...
Hebu rudia tena kusoma ulichokikwoti na kisha njoo tena kujibu kama utapenda...
Ushoga upo CCM hata makonda Bashite alipiga kelele juu ya ushoga ni wabunge hao hao wa CCM walimpinga Bungeni wakiongozwa na kange lugola aliyekuwa waziri wa mambo ya ndani, hakuna mwenyezi mungu mpumbavu hivyo aje kuwa na wewe shetani, wewe ulipo ndipo shetani alipo huna mfano wa kuigwa hata na mbwa kokoCCM hatuna 'Wendawazimu' na 'Mashoga' kama Wewe tafadhali. Ukiona hadi GENTAMYCINE naipenda CCM jua hata Mwenyezi Mungu anakipenda.
Wanangoja teuzi bado zipo sana.Hizi ndio degree za St Augustine na Mzumbe
Yule mwezako wa vyuo vya kata ameshindwa kusoma kiapo lakini tungesema asifie angeimba na kujigaraza chini
Ahaaa dunia ina mambo mengi sana
Huwezi kufikiri nje ya aliyokudanganya mwalimu wako
Unachojua wewe ni kupiga taarabu na mapambio
Mimi ni mwana ccm lakini sikubaliani na watu mnaojitoa ufahamu
Hamuwezi kujenga hoja kazi ni kusifu na kusifia huku hamjui mtakula kitu gani kesho