Let me tell you! The reality sounds bitter!Mmezoea vya kunyonga. Chaguzi za marudio mmepora mpaka baaas. Uchaguzi wa serekali za mitaa mkajimegea kwa raha zenu. Hamnaga uzoefu wa uchaguzi huru na wa haki alioahidi Magu kwa dunia nzima
Aisee huu msafara nlipishana na hapa gachima ni hatari sanaMeko atakufa kwa pressure mwaka huu.
Anajuta sana kwanini aliwaziba wenzie midomo kwenye masuala ya kisiasa kwa miaka minne na nusu.
Alipokuwa anatamba peke yake alidhani watanzania wanampenda kumbe alikuwa anajidanganya.
Ona sasa mgombea wa CHADEMA anavyopokelewa kifalme kila apitapo.
Lowassa alidekiwa barabara huko na kura wakamyima.
October sio mbali, mungu atupe uzima na afya, tunaona kama hizi mbio zenu za sakafuni, zitaishia ukingoni. Nyie bado mnalialia na kupiga kelele za kijinga Peoples, huku watu weshamaliza mikakati yao, na wamo kwenye majaribio na kuzidi kujijenga kwa ushindi wa kishindo.Mmezoea vya kunyonga. Chaguzi za marudio mmepora mpaka baaas. Uchaguzi wa serekali za mitaa mkajimegea kwa raha zenu. Hamnaga uzoefu wa uchaguzi huru na wa haki alioahidi Magu kwa dunia nzima
Soma uliyoyaandika na jaribu kuyaelewaLazima afe kwa presha. Watanzania wamemfanyia kama ya wajumbe kigamboni.
Kumbe zile tambo zote wananchi waliuwa wanamcheki tu.
Apana, watu wengi wanataka kumuona aliyepigwa risasi 16 na akapona, ni sawa kama mtu angekuwa na mikono minne, umati mwingi ungejitokezaDuh [emoji134][emoji3601]. Sijawahi kuona mwanasiasa anapendwa kiasi hiki. Mungu ni Mkubwa sana kwa kweli.
Napale Rais anapopita na msafara na kuwaambia mlikosea kuchagua Mb mpinzani imekaje?Kuna muda wa uchaguzi na muda wa campaign.
Uchaguzi unapoisha mshindi akipatikana mambo ya siasa za kuitana barabarani unakwama mpaka campaign zijazo ndio ilivyo sio Tanzania duniani kote.
Kwa kipindi icho cha kazi raisi kukutana na watu anaowatumikia either kwa kufungua miradi au akiamua kusimamia njiani anapokuwa safarni kutatua kero zao all is within his duties.
Nchi inayoruhusu vyama vya siasa kuishi kama msimu wa campaign muda wote labda inatafuta anarchy; hakuna anaefanya ivyo duniani kama kuna nchi ipo ‘I dare you’ itaje.
Magufuli watamuona kwa kipi? Wanamuangalia mtu aliyepigwa risasi 16 akapona kisha wanamsujudia Mungu kwa ukuu wake. Hayo maombi omba sana Mungu asije akakasirika siku moja! Nasema omba sana!Apana, watu wengi wanataka kumuona aliyepigwa risasi 16 na akapona, ni sawa kama mtu angekuwa na mikono minne, umati mwingi ungejitokeza
Huyu ndugu bana amefunga ubongo kweli kweli.Napale Rais anapopita na msafara na kuwaambia mlikosea kuchagua Mb mpinzani imekaje?
walinyima ndiyoLowassa alidekiwa barabara huko na kura wakamyima.
Mwache asubirie wamtafuteRais anatafuta wadhamini au wadhamini wanamtafuta Rais?
CCM kuvunja sheria ni jadi yaoKwani NEC wanasemaje?!?
CIAHii style ya Mhe. Tundu Lissu ya kuchomoza nje ya gari inanitia mashaka kama haijatathminiwa vya kutosha.