Video: Uhuni wa Mfalme Zumaridi umenifikirisha sana juu ya afya ya akili ya watu wengi

Duh
 
Huko jela akaombe aingiwe na roho ya El Chapo Joaquin Guzman ili naye atoroke jela
 
Hahahaa Yule dogo ni mpigaji tu kwa style yake ya dini.

Eti kuna waumini wanamskiliza yule pumbavu.

Njaa mbaya sana.

Yule mvuta bangi kweli mtu unaenda unawahi asubuhi kumsikiliza.

Angekua Rwanda tu angeambiwa aende mwenyewe kituoni ajisalimishe.
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ Umezungumzia jambo la umuhimu sana, "afya ya akili". Katika hali yakawaida umwambie mtu nimechukua MJ nimemuweka kwa kijana huyu atupe burudani, na mtu mwenye akili timamu akae kukusikiliza?

Ule utafiti unazidi kusogea juu Kwa Kasi sana. Naogopa sana usijefika 10/10
 
kinacho niuma, Ex wangu ndio Mfalme na Mungu wa wengine.
Mungu ana vaa pedi!
 
Zumarid anaongoza hadi wasomi hali yeye ajasoma.
 
Acha mamburula yapigwe na kuliwa vichwa unayastua ya nini?
 
Na waumini wao huwaambii kitu yaani[emoji1787][emoji1787]
 
Hao "manabii" na "mitume" wa namna hiyo ni WACHAWI. Wanatumia mapepo ya mvuto, ukishaingia kanisani kwake anakamata akili yako inabaki huko huko. Akikwambia utoe kiasi chochote cha pesa utatoa tu maana ameshafungia akili yako ndani ya chungu anakuwekea ya kipepo.

Wewe hujaona wengine wanalala kifudifudi halafu huyo "nabii" anawakanyaga migongoni?

Kuna clip niliona ya "nabii" mmoja anapaka wasichana wazuri tu mafuta mwili mzima (pamoja na "ikulu") baada ya kuwaambia wakaoge. Wanarudi wamejifunika taulo tu halafu wanaichia wazi ndio "nabii" anampaka mafuta.

Hayo yanafanyika mahali panapoitwa "kanisani" kwa huyo "nabii" Kuna ushetani mkubwa kuliko huo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…