Video: Uhuni wa Mfalme Zumaridi umenifikirisha sana juu ya afya ya akili ya watu wengi

Video: Uhuni wa Mfalme Zumaridi umenifikirisha sana juu ya afya ya akili ya watu wengi

Watu wakisha kuwa na matatizo , wanakuwa wepesi kuamini chochote.
 
Ile ndio alimaliza pale MJ mizumu imekuja imecheza na kuondoka. Hapa shida sio MJ ni wale wanaoshangilia hivi kweli uwezo wetu wa watu kufikiri umefikia hapo? hili suala sio la kuliangalia kijuujuu tu ni serious issue wa kizazi kijacho. Haya madhehebu fake wanapata wapi license ya kufanya haya mpaka watu wanakuwa hawawezi tena kujielewa.
Kwani waganga wa kienyeji wanavyochezea akili za watu wasomi wazima kufanywa mandondocha uoni kama ni tatizo.
 
Huyu mtu sidhani Kama Kuna sehemu kasema yeye Ni Mkristu, matendo yake yote na ibada zake hazina hata chembe ya ukristu..inakuwaje watu wanamwita mkistu, pia wengi hapa wanasema anadanganya watu Mara ooh wako brain washed mnajuaje washirika

Yani waumini wake na yeye SI wa design moja wanaabudu wanachojua wao, Hapo hakuna mtu anayesali Hapo bahati mbaya au kwamba kawaroga wote hao Ni kundi moja wanajua mungu wao wanayemwabudu. Nyie mnajitesa tu😂🤣
 
Kwani waganga wa kienyeji wanavyochezea akili za watu wasomi wazima kufanywa mandondocha uoni kama ni tatizo.
Sasa wapi nimesema sio tatizo? hapa tunaongelea huyu mdada sasa wewe unaleta hoja ya kijumla.

Unaona sawa Michael Jackson mizimu yake kuja Tanzania halafu yanasikia kiswahili 😛
 
Nimeangalia hii video kwa umakini Mkubwa na pia nimefatilia mjadala kuhusu mfalme zumaridi nimejikuta nashangaa na kujiuliza vitu vingi sana. Hiyo video hapo chini inamuonesha mfalme Zumaridi akimuamuru Michael Jackson aingie kupitia mtumishi wake atoe show kanisani [emoji23][emoji23][emoji23], na kuna watu wanashangilia wanaona huyu nabii anatupiga na kitu kizito.


Hivi kwa kupitia shuhuda hizi za uongo tena uongo wa wazi wazi nadhani uhitaji kua na degree wala elimu ya form four kujua kabisa huyu Mchungaji ni Muongo na anatupiga.

Kwa matukio kama haya yanayoendelea kwa watumishi wetu tunaowaita "wapakwa mafuta" watu wanaendeleaje kukaa kanisani kila jumapili kushuhudia maigizo kama haya?.

Zamani kidogo niliangalia YouTube nikipata hiyo link ya video nitaituma humu, inahusu yule Mwanahabari Mohammed ambae sasahivi ni Member of parliament alifichua maovu ya mchungaji mmoja huko Kenya jinsi alivyokua anawapanga waumini wake waseme ushuhuda wa uongo.

Nimejaribu kufungulia hizi channel za hawa wachungaji sioni kama wakihubiri kuhusu wokovu, toba, msamaha, kuwasaidia wajane naona wanahubiri sana kuhusu mafanikio na uponyaji yani utasikia toeni sadaka ya mavuno, bahasha ya kufunguliwa n.k

Dini safi isiyo na shaka mbele ya za Mungu ni kuwasaidia wajane na wenye uhitaji kutembelea wagonjwa na kufanya matendo ya huruma.
giphy.gif
 
Na bonge la nyumba wamemjengea. Unaambiwa mama Kanumba kamaliza mamilion kwa huyu dada eti atamfufua Kanumba. Watu wanauza nyumba wanapeleka kwa huyu dada akiwaaminisha atawafufua wapendwa wao waliotangulia mbele ya haki. Hata Biblia hatumii. Yeye ni maneno tu. Eti ni mungu wao. Ana wafuasi kama wote.
Wajinga ndio wali wao au sio?
 
Nimeangalia hii video kwa umakini Mkubwa na pia nimefatilia mjadala kuhusu mfalme zumaridi nimejikuta nashangaa na kujiuliza vitu vingi sana. Hiyo video hapo chini inamuonesha mfalme Zumaridi akimuamuru Michael Jackson aingie kupitia mtumishi wake atoe show kanisani 😂😂😂, na kuna watu wanashangilia wanaona huyu nabii anatupiga na kitu kizito.


Hivi kwa kupitia shuhuda hizi za uongo tena uongo wa wazi wazi nadhani uhitaji kua na degree wala elimu ya form four kujua kabisa huyu Mchungaji ni Muongo na anatupiga.

Kwa matukio kama haya yanayoendelea kwa watumishi wetu tunaowaita "wapakwa mafuta" watu wanaendeleaje kukaa kanisani kila jumapili kushuhudia maigizo kama haya?.

Zamani kidogo niliangalia YouTube nikipata hiyo link ya video nitaituma humu, inahusu yule Mwanahabari Mohammed ambae sasahivi ni Member of parliament alifichua maovu ya mchungaji mmoja huko Kenya jinsi alivyokua anawapanga waumini wake waseme ushuhuda wa uongo.

Nimejaribu kufungulia hizi channel za hawa wachungaji sioni kama wakihubiri kuhusu wokovu, toba, msamaha, kuwasaidia wajane naona wanahubiri sana kuhusu mafanikio na uponyaji yani utasikia toeni sadaka ya mavuno, bahasha ya kufunguliwa n.k

Dini safi isiyo na shaka mbele ya za Mungu ni kuwasaidia wajane na wenye uhitaji kutembelea wagonjwa na kufanya matendo ya huruma.
Wewe unacheza na mambo ya imani,Imani ni kama ukichaa fulani kwa yule asiye wa imani hiyo.

Umewahi kuwaza mtu anajilipua na wanadamu wenzake wanaangamia eti akifanya hivyo anaenda peponi moja kwa moja usicheze na Imani
 
Daah, mbona naona aibu mimi? , hivi kwanini tusirudishwe utumwani tu hadi akili itukae sawa? Nyie mnaonaje eti?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ngoja ninyamaze nisije kuonekana nakashifu imani za watu
 
Daah, mbona naona aibu mimi? , hivi kwanini tusirudishwe utumwani tu hadi akili itukae sawa? Nyie mnaonaje eti?
Kwa hao Russia na Ukraini?? naon wenyew hawajisomi, mara wanatetea ushoga,mara nn. Now wanauana huko.

By the way, Utumwa mbona bado upo, kama muda huu upo kichwani, as wengi tunaona wazi kuwa wao wanaweza kutuamulia kuliko sisi kujiamulia mwenyewe!
 
Back
Top Bottom