chuma cha reli
JF-Expert Member
- Jul 2, 2012
- 2,764
- 2,559
Mbona ujashangaa kwa:-
-Wakatoliki kubusu sanamu ya Yesu na kupigia magoti sanamu ya Bikira Maria
-Waislamu kubusu kipande cha kimondo na kumpiga mawe shetani
-walokole kunena kwa lugha kama vichaa
-Wakristo kwa ujumla kuamini Yesu alikufa halafu akafufuka (hakuna kiumbe kinachoweza kufa halafu kikafufuka)
Ukimaliza kushangaa haya ndio uje kushangaa na mengine
"Religion was invented by a Con man"
-Wakatoliki kubusu sanamu ya Yesu na kupigia magoti sanamu ya Bikira Maria
-Waislamu kubusu kipande cha kimondo na kumpiga mawe shetani
-walokole kunena kwa lugha kama vichaa
-Wakristo kwa ujumla kuamini Yesu alikufa halafu akafufuka (hakuna kiumbe kinachoweza kufa halafu kikafufuka)
Ukimaliza kushangaa haya ndio uje kushangaa na mengine
"Religion was invented by a Con man"