Video: Uhuni wa Mfalme Zumaridi umenifikirisha sana juu ya afya ya akili ya watu wengi

Video: Uhuni wa Mfalme Zumaridi umenifikirisha sana juu ya afya ya akili ya watu wengi

Nimeangalia hii video kwa umakini Mkubwa na pia nimefatilia mjadala kuhusu mfalme zumaridi nimejikuta nashangaa na kujiuliza vitu vingi sana. Hiyo video hapo chini inamuonesha mfalme Zumaridi akimuamuru Michael Jackson aingie kupitia mtumishi wake atoe show kanisani 😂😂😂, na kuna watu wanashangilia wanaona huyu nabii anatupiga na kitu kizito.


Hivi kwa kupitia shuhuda hizi za uongo tena uongo wa wazi wazi nadhani uhitaji kua na degree wala elimu ya form four kujua kabisa huyu Mchungaji ni Muongo na anatupiga.

Kwa matukio kama haya yanayoendelea kwa watumishi wetu tunaowaita "wapakwa mafuta" watu wanaendeleaje kukaa kanisani kila jumapili kushuhudia maigizo kama haya?.

Zamani kidogo niliangalia YouTube nikipata hiyo link ya video nitaituma humu, inahusu yule Mwanahabari Mohammed ambae sasahivi ni Member of parliament alifichua maovu ya mchungaji mmoja huko Kenya jinsi alivyokua anawapanga waumini wake waseme ushuhuda wa uongo.

Nimejaribu kufungulia hizi channel za hawa wachungaji sioni kama wakihubiri kuhusu wokovu, toba, msamaha, kuwasaidia wajane naona wanahubiri sana kuhusu mafanikio na uponyaji yani utasikia toeni sadaka ya mavuno, bahasha ya kufunguliwa n.k

Dini safi isiyo na shaka mbele ya za Mungu ni kuwasaidia wajane na wenye uhitaji kutembelea wagonjwa na kufanya matendo ya huruma.
  1. Mbona huyo kijana anaona aibu wakati wa kuingiwa?
  2. Nilidhani mfalme anakuwa mwanamme, huyu ni mfalme gani wa kike
 
Yaani Mimi sijashangaa Sana hicho kitu..sema huyu suala lake linavuma saiv kutokana na kesi yake polisi lakini wachungaji na manabii wengi wanafanya uogo na vituko vingi. Ukikaa ukijiuza hivi waumini Ni shida ya akili au desperate ya maisha au wametupiwa nguvu fulani wasione etc.....mtu na akili yako timamu unaweza kwenda kusali hata kwa nabii billionaire shillah kweli...

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
😂😂😂 This evil generation seek for signs ........boss hapo ndo wengi wanaokotwa hujajiuliza kwanini wengi wanaongozana kwa kina mwamposa na so on wanafata miujuza tu ukiweza kudanganya at miujuza miwili tu sadaka unazo 😁😁😁
 
Hahaha, Mkuu unamuona Michael Jackson wa mchongo? Ningekua kanisani ningeondoka mda huo huo.
Na kwanini uingie sehemu ya kijinga kama hiyo?

Mwanamke anapanda mimbari kwa kivuli cha kuongoza ibada hii imetoka wapi,obviously wanaoingia humo ni wapumbavu wasiojua wanachoamini.
 
Nimeangalia hii video kwa umakini Mkubwa na pia nimefatilia mjadala kuhusu mfalme zumaridi nimejikuta nashangaa na kujiuliza vitu vingi sana. Hiyo video hapo chini inamuonesha mfalme Zumaridi akimuamuru Michael Jackson aingie kupitia mtumishi wake atoe show kanisani 😂😂😂, na kuna watu wanashangilia wanaona huyu nabii anatupiga na kitu kizito.
Hivi kwa kupitia shuhuda hizi za uongo tena uongo wa wazi wazi nadhani uhitaji kua na degree wala elimu ya form four kujua kabisa huyu Mchungaji ni Muongo na anatupiga.

Kwa matukio kama haya yanayoendelea kwa watumishi wetu tunaowaita "wapakwa mafuta" watu wanaendeleaje kukaa kanisani kila jumapili kushuhudia maigizo kama haya?.

Zamani kidogo niliangalia YouTube nikipata hiyo link ya video nitaituma humu, inahusu yule Mwanahabari Mohammed ambae sasahivi ni Member of parliament alifichua maovu ya mchungaji mmoja huko Kenya jinsi alivyokua anawapanga waumini wake waseme ushuhuda wa uongo.

Nimejaribu kufungulia hizi channel za hawa wachungaji sioni kama wakihubiri kuhusu wokovu, toba, msamaha, kuwasaidia wajane naona wanahubiri sana kuhusu mafanikio na uponyaji yani utasikia toeni sadaka ya mavuno, bahasha ya kufunguliwa n.k

Dini safi isiyo na shaka mbele ya za Mungu ni kuwasaidia wajane na wenye uhitaji kutembelea wagonjwa na kufanya matendo ya huruma.
Mbona ujashangaa kwa:-

-Wakatoliki kubusu sanamu ya Yesu na kupigia magoti sanamu ya Bikira Maria

-Waislamu kubusu kipande cha kimondo na kumpiga mawe shetani

-walokole kunena kwa lugha kama vichaa

-Wakristo kwa ujumla kuamini Yesu alikufa halafu akafufuka (hakuna kiumbe kinachoweza kufa halafu kikafufuka)

Ukimaliza kushangaa haya ndio uje kushangaa na mengine

"Religion was invented by a Con man"

Tofautisha dini na imani, dini ni chombo Cha ushirika na jinsi ya kutekeleza ibada kwa Mungu, lakini Imani Ni mahusiano ya mtu binafsi na Mungu, ndio maana kila dini inakataza maovu na kuzishika amri kumi za Mungu Kama kutoiba Wala kuzini na kusema uongo nk. Ukiingia kwenye dini deal na imani sio mapokeo ya dini.

Nakumbuka kipindi Cha Jim Jones mwaka 1975 kauli Kama hizi za kwako zilikuwepo kumtetea Jim jones, lakini alivyokuja kuleta maafa mwaka 1978 kwa kuwaua wafuasi wake wote wapatao 900 huko Johnstown, dunia yote ilibaki inashangaa. Hivyo hivyo ni kama leo, tutamtetea Sana Zumaridi ila mwishoni likitokea baya tutakuja kuilaumu serikali. Serikali iendelee kushughulika na huyu Zumaridi mpaka mwisho yasije yakatokea ya kibwetele.
 
Kumbuka dini haikupeleki kwa Mungu Bali matendo mema na utakatifu. Kuendelea kutenda dhambi kisa Zumaridi haotakusiadia. Dunia ya Sasa ni kujisimamia wewe binafsi, maana siku ya kufa utazikwa pekee yako Zumaridi hatakuwepo.
 
Hivi kwanini ukirsto ndio unachezewa sana?

Yesu Kristo alitamka maneno ya kwamba, Wewe ndiwe Petro na katika mwamba huu nitalijenga kanisa langu na milango ya kuzimu haitalishinda.

Hii inamaanisha milango ya kuzimu itajitahidi kupambana na kanisa kupitia njia nyingi Kama manabii wa uongo ili kulichafua na kujishusha hadhi lakini mwisho wa siku litabaki imara. Akina Zumaridi watapita Kama akina kibwetere, Jim Jones na David koreishi au Applewhite walivyopita.
 
Nimejaribu kufungulia hizi channel za hawa wachungaji sioni kama wakihubiri kuhusu wokovu, toba, msamaha, kuwasaidia wajane naona wanahubiri sana kuhusu mafanikio na uponyaji yani utasikia toeni sadaka ya mavuno, bahasha ya kufunguliwa n.k

Dini safi isiyo na shaka mbele ya za Mungu ni kuwasaidia wajane na wenye uhitaji kutembelea wagonjwa na kufanya matendo ya huruma.

Inawezekana wakawa wapo kimaslahi. Lakini kuhubiri mafanikio pia ni sehemu ya wokovu kwani unakuwa umewaokoa na umaskini. Mtu mwenye kiu ya mwili wokovu wake ni maji. Pia mwenye njaa wokovu wake ni chakula. Mwenye dhambi wokovu wake ni toba.

Haiwezekani kuitekeleza dini ya kweli kuwasaidia maskini, wajane na yatima ikiwa huna mafanikio. Maskini hamsaidiu maskini. Lazima tufanikiwe na mafanikio kiuchumi ni baraka.
 
😂😂😂 This evil generation seek for signs ........boss hapo ndo wengi wanaokotwa hujajiuliza kwanini wengi wanaongozana kwa kina mwamposa na so on wanafata miujuza tu ukiweza kudanganya at miujuza miwili tu sadaka unazo 😁😁😁
Nabii Shila ana muujiza wake mmoja huo wa maombezi mkiwa wawili ofisini kwake ambao inabidi amuue kuku kimya-kimya katikati ya sala kabla muumini hajafungua macho.
Yani muumini kabla hajafunga macho akiwa anaombewa anaonyeshwa kuku mzima anadanganywa kuwa anatolewa mapepo ya hatari sana na yanahamishiwa kwa kuku.
Akimaliza kuombewa akifungua macho anakuta kuku amekufa anadanganywa mapepo yaliyohamishiwa kwa kuku kutoka kwake na yalikusudia kumuua lakini nabii ameyawahi yameishia kumuua kuku kumbe nyuma ya pazia Nabii Shila anamdunga kuku sindano yenye sumu kali saana bila muumini kumuona na inabidi sala iwe ndefu kweri-kweri.
 
Nimeangalia hii video kwa umakini Mkubwa na pia nimefatilia mjadala kuhusu mfalme zumaridi nimejikuta nashangaa na kujiuliza vitu vingi sana. Hiyo video hapo chini inamuonesha mfalme Zumaridi akimuamuru Michael Jackson aingie kupitia mtumishi wake atoe show kanisani [emoji23][emoji23][emoji23], na kuna watu wanashangilia wanaona huyu nabii anatupiga na kitu kizito.


Hivi kwa kupitia shuhuda hizi za uongo tena uongo wa wazi wazi nadhani uhitaji kua na degree wala elimu ya form four kujua kabisa huyu Mchungaji ni Muongo na anatupiga.

Kwa matukio kama haya yanayoendelea kwa watumishi wetu tunaowaita "wapakwa mafuta" watu wanaendeleaje kukaa kanisani kila jumapili kushuhudia maigizo kama haya?.

Zamani kidogo niliangalia YouTube nikipata hiyo link ya video nitaituma humu, inahusu yule Mwanahabari Mohammed ambae sasahivi ni Member of parliament alifichua maovu ya mchungaji mmoja huko Kenya jinsi alivyokua anawapanga waumini wake waseme ushuhuda wa uongo.

Nimejaribu kufungulia hizi channel za hawa wachungaji sioni kama wakihubiri kuhusu wokovu, toba, msamaha, kuwasaidia wajane naona wanahubiri sana kuhusu mafanikio na uponyaji yani utasikia toeni sadaka ya mavuno, bahasha ya kufunguliwa n.k

Dini safi isiyo na shaka mbele ya za Mungu ni kuwasaidia wajane na wenye uhitaji kutembelea wagonjwa na kufanya matendo ya huruma.
wapumbav hawawez kuisha dunian so zumarid kaksannya wapumbav wenzie acha awpge ela wajinga flan ivi ww na akil zako unaweza kwenda kushlik ujnga km huo...
 
Back
Top Bottom