Video: Uhuni wa Mfalme Zumaridi umenifikirisha sana juu ya afya ya akili ya watu wengi

Video: Uhuni wa Mfalme Zumaridi umenifikirisha sana juu ya afya ya akili ya watu wengi

Hamna jipya hapo,,,hayo mambo yanafanywa na manabii wote Wana vituko vyao na wanawafuasi..huyu Ni mbuzi wa kafara
 
Wamuache zumaridi ana kosa gani hapo?
 
MJ Tena!...ingia MJ, na jamaa MJ feki katumwa kazi kweli,unakuta hapo daaah Hana ajira Mr MJ wa uongo alafu katoka chuo juzi kapewa mchongo karuka nao,daaaah...
 
MJ Tena!...ingia MJ, na jamaa MJ feki katumwa kazi kweli,unakuta hapo daaah Hana ajira Mr MJ wa uongo alafu katoka chuo juzi kapewa mchongo karuka nao,daaaah...
Angeimba basi tusikie na sauti 😄
 
Na bonge la nyumba wamemjengea. Unaambiwa mama Kanumba kamaliza mamilion kwa huyu dada eti atamfufua Kanumba.

Watu wanauza nyumba wanapeleka kwa huyu dada akiwaaminisha atawafufua wapendwa wao waliotangulia mbele ya haki.

Hata Biblia hatumii.

Yeye ni maneno tu. Eti ni mungu wao.

Ana wafuasi kama wote.
 
Nisaidie kuuliza mkuu! Inasikitisha! Natamani iwekwe sheria kali ya kuzuia haya makanisa uchwara
Kwanza serkali ikubali ni mlinz wa raia hata dhid yake mwenyewe. Mtu kuamini kwa namna inayodhuru ustawi wake mwenyewe ni aina ya kujidhuru.

Walau Rwanda waliona mbali, ili ufungue kanisa lazma ukuwe na degree ya theolojia. Watu kama Tito na huyu Zumaridi yatakuja kutokea ya Kibwetere.

Ipatkane court precedent inayoweka tafsir nzur yenye afya kuhusu haki ya kuabudu na wajibu wa waamini. Serkali ishikirie katika kulinda raia wake. Ipandkize waumin wa tiss kila kanisa.

Pia ije sheria ya taasisi za dini kulipa kodi. Msingi wa kodi ni tozo kwa unachovuna, na Mungu hapokei sadaka popote!
Serkali itambue mitaala yetu ina nyufa za kutoa elim na maarifa kwa mpigo. Watu wakifikwa na changamoto wanadhan kuna wa kutatua kimiujiza!

Pia viongoz wapunguze ubinafs. Ustawi mbovu wa jamii unazalisha wapigaj na mazombi kama ya Mwanza.

Hakuna haki bila wajibu!
 
Kwanza serkali ikubali ni mlinz wa raia hata dhid yake mwenyewe. Mtu kuamini kwa namna inayodhuru ustawi wake mwenyewe ni aina ya kujidhuru.
Walau Rwanda waliona mbali, ili ufungue kanisa lazma ukuwe na degree ya theolojia. Watu kama Tito na huyu Zumaridi yatakuja kutokea ya Kibwetere.
Ipatkane court precedent inayoweka tafsir nzur yenye afya kuhusu haki ya kuabudu na wajibu wa waamini. Serkali ishikirie katika kulinda raia wake. Ipandkize waumin wa tiss kila kanisa.
Pia ije sheria ya taasisi za dini kulipa kodi. Msingi wa kodi ni tozo kwa unachovuna, na Mungu hapokei sadaka popote!
Serkali itambue mitaala yetu ina nyufa za kutoa elim na maarifa kwa mpigo. Watu wakifikwa na changamoto wanadhan kuna wa kutatua kimiujiza!
Pia viongoz wapunguze ubinafs. Ustawi mbovu wa jamii unazalisha wapigaj na mazombi kama ya Mwanza.
Hakuna haki bila wajibu!

Watunga sheria walitafakari hili
 
Mbona ujashangaa kwa:-

-Wakatoliki kubusu sanamu ya Yesu na kupigia magoti sanamu ya Bikira Maria

-Waislamu kubusu kipande cha kimondo na kumpiga mawe shetani

-walokole kunena kwa lugha kama vichaa

-Wakristo kwa ujumla kuamini Yesu alikufa halafu akafufuka (hakuna kiumbe kinachoweza kufa halafu kikafufuka)

Ukimaliza kushangaa haya ndio uje kushangaa na mengine

"Religion was invented by a Con man"
Nimecheka kwa sauti japo sikutakiwa kucheka.
 
Zumarid alidai mwaka jana atamrejesha Kanumba hadi alimualika mama Kanumba kanisani kwake.

Kanumba yupo jela ya ulimwengu usioonekana kwa kukiuka masharti, zumarid atawezaje kumtoa kumtoa jela.
 
ndoushangae watu wanajitoa kabisa kuruka ruka kama mazombi na bado wanaona ni sawa
Achana kabisa na kitu kinaitwa brainwash ya imani,we unaona watu wanajitoa ufahamu kabisa wanapigana kuuwa wasio na hatia kwa ahadi ya kupewa bikira
 
Na bonge la nyumba wamemjengea. Unaambiwa mama Kanumba kamaliza mamilion kwa huyu dada eti atamfufua Kanumba. Watu wanauza nyumba wanapeleka kwa huyu dada akiwaaminisha atawafufua wapendwa wao waliotangulia mbele ya haki. Hata Biblia hatumii. Yeye ni maneno tu. Eti ni mungu wao. Ana wafuasi kama wote.
Kuna video moja alikuwa anasema, Yesu ,yesu ni wizi mtupu, Aiseeee
 
Hahaha, Mkuu unamuona Michael Jackson wa mchongo? Ningekua kanisani ningeondoka mda huo huo.
Ile ndio alimaliza pale MJ mizumu imekuja imecheza na kuondoka. Hapa shida sio MJ ni wale wanaoshangilia hivi kweli uwezo wetu wa watu kufikiri umefikia hapo? hili suala sio la kuliangalia kijuujuu tu ni serious issue wa kizazi kijacho.

Haya madhehebu fake wanapata wapi license ya kufanya haya mpaka watu wanakuwa hawawezi tena kujielewa.
 
Back
Top Bottom