Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Ahahahahahahahahah! Sikutarajia jibu tofauti na hilo! Ahahahahahahah!Akili matope hizo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahahahahahahahahah! Sikutarajia jibu tofauti na hilo! Ahahahahahahah!Akili matope hizo.
Dada unakenua mpaka mitaa ya chini kunafunuka!!!Ahahahahahahahahah! Sikutarajia jibu tofauti na hilo! Ahahahahahahah!
Watu hawataki siasa wapo wanapiga kaziMwenye macho haambiwi tazama
View attachment 1265547
Hakuna haja ya uchaguziSalary Slip Erythrocyte britanicca Pascal Mayalla johnthebaptist Kawe Alumni mng'ato kifinga
CCM yangu nawa sihi... Tusije ingia ktk aibu nyingine, tusichakachue bokisi la msosi, chonde chonde tulizike na kura tutakazo zipata kwa maana tayari tumeshinda hata tukipata kura kumi tumeshinda kwa kishindo... Tusitake kuleta mabokisi yamejaa kura za kupika tuta aibika maana wapinzani wana observe pamoja na wageni wengine, ili waweze kutoa taarifa za uchafuzi ambao utakuwa doa...
Mtu ana weza kaa na kamera kujua idadi ya watu kuanzia asubuhi mpaka jioni na wakawa wamekuja kupiga kura ni kumi lakini tukataka hawa kumi wawe mia au 1000... Hii italeta mtafaluku
Nashauri CCM yangu tuongeze umakini ktk uchaguzi huu...
Hakukuwa na haja ya kufanya kampeni, tungefanya uhamasishaji tu wa wananchi na wanachama waweze kupiga kura...
Huwezi kuzuia mafuriko kwa mkono, Ccm mbele kwa mbele.Mwenye macho haambiwi tazama
View attachment 1265547
😆😆😆😆Huwezi kuzuia mafuriko kwa mkono, Ccm mbele kwa mbele.
Hata watu wenye malori wameahastukia janja ya ccm maana wana wakopa sanaMalori hayakusomba mafuriko?
Naona wenye mafuso wamegoma kuwasomba watu kama magunia ya mkaaMlisusia sasa mnatamani walau muitwe kwa hati maalumu ,kaeni huko huko muwe washangiliaji subulini 24 muone shangwe inch itasimama
State agent
Kaazi kweli kweli. Kukataliwa kubaya sana, CCM bye bye...Magufuli bye bye..!
Malori hayakusomba mafuriko?
Salary Slip Erythrocyte britanicca Pascal Mayalla johnthebaptist Kawe Alumni mng'ato kifinga
CCM yangu nawa sihi... Tusije ingia ktk aibu nyingine, tusichakachue bokisi la msosi, chonde chonde tulizike na kura tutakazo zipata kwa maana tayari tumeshinda hata tukipata kura kumi tumeshinda kwa kishindo... Tusitake kuleta mabokisi yamejaa kura za kupika tuta aibika maana wapinzani wana observe pamoja na wageni wengine, ili waweze kutoa taarifa za uchafuzi ambao utakuwa doa...
Mtu ana weza kaa na kamera kujua idadi ya watu kuanzia asubuhi mpaka jioni na wakawa wamekuja kupiga kura ni kumi lakini tukataka hawa kumi wawe mia au 1000... Hii italeta mtafaluku
Nashauri CCM yangu tuongeze umakini ktk uchaguzi huu...
Hakukuwa na haja ya kufanya kampeni, tungefanya uhamasishaji tu wa wananchi na wanachama waweze kupiga kura...
Mlisusia sasa mnatamani walau muitwe kwa hati maalumu ,kaeni huko huko muwe washangiliaji subulini 24 muone shangwe inch itasimama
State agent