aliekatakamba humutuu
JF-Expert Member
- Feb 1, 2024
- 341
- 714
huyu jamaa mjinga kweli.sijui akitaka milady aripoti ndio aamini?Hakuna cha vyanzo vingi.
Ili awe bilionea ulitaka aandikwe Forbes na majarida kama Entrepreneur ndo uamini.
Uko in denial state.
Kuna watanzania ambao wameanza from the scratch and they made it. Hicho ndo kitu hamtaki kuamini.
Kuna habari nyingi humu una-comment na kuziamini hata kama zimetoka kwenye source moja na sijawahi kukuona unalamika ni za uongo, why this?
Kiingereza kingi ila point sifuri 😂😂
Buckle up
Ila Watanzania ni washamba halafu wabishi.Sisi ndo wabongo bana.
kwahio alichokieleza hapo kuhusu utajiri wake hujamuamini?Hapana,hujaelewa hoja na pengine huna uwezo wa kuelewa hoja.
Wala sijamuongelea huyo jamaa tu.
Nakwambia tu a general rule, habari yoyote inatakuwa kuwa na chanzo zaidi ya kimoja ili kuwa credible.
Na wala sijauongelea huo ubilionea wa pesa ya madafu ambao ukiuweka kwenye viwango vya kimataifa kwenye Forbes hata hauitwi ubilionea.
Naongelea habari nzima ya alivyoanzia mpaka kufika hapo, haijahakikiwa na vyanzo tofauti.
Mtu kuwa yeye ndiye source ya habari yake, tena source pekee ya hiyo habari, kunaifanya habari kuwa na low credibility.
Inatakiwa kuwe na sources tofauti ambazo hazihusiani ili kuifanya habari kuwa ya kuaminika.
Wabongo mbona mnakuwa washamba wa mambo ya kawaida tu kama haya?
huyu jamaa mjinga kweli.sijui akitaka milady aripoti ndio aamini?
Habari isiyo na source zaidi ya moja haina credibikity.Unanipotezea muda.
Usini-quote tena kama haujaja na ushahidi wa mambo haya mawili
1. Niletee ushahidi kwamba jamaa hajawahi kuwa mchoma CD
2. Niletee ushahidi kama jamaa sio bilionea.
Hayo matusi mengine uliyoweka hapo nitaya-ignore same way nitaku-ignore kama hutaleta ushahidi wowote.
Ni aibu kubwa sana, stori za kina Zuckerberg mnaziamini ila watanzania wenzenu hamtaki kuzisikia mpaka forbes na media zaidi ya 10 ziripoti.
It's lame and pathetic.
jamaa nibiliinea hata asipo hojiwa na chanzo chochote kama unavyo taka.Ila Watanzania ni washamba halafu wabishi.
Unamwambia mtu habari ya mtu kutika kwa mtu mwenyewe, isiyo na vyanzo tofauti, ina low credibility.
Mtu haelewi, anabisha kishamba.
Mtu mshamba, sawa tutaeleweshana.
Lakini mshamba halafu mbishi.
Kwa hiyo vijana nao wachome cd?Wakuu,
Kuna muda kama vijana inabidi muwe serious na maisha.
Kuna huyu kijana nimemuona huko Azam TV anasema alianza kwa kuchoma CD yaani nyimbo moja alikuwa anaweka kwa Tsh 100 aka-fight sana.
Anasema alikuwa kwa siku alikuwa anatumia 1000 mpaka 1500 tu kuna kipindi mpaka akaumwa vidonda vya tumbo.
Sasa hivi ni Bilionea mkubwa tu. Ana duka kubwa la hardware na anafanya mambo ya usafirishaji na ameajiri watu wengine 71
Sasa vijana mnakwama wapi kuwa kama huyu? Kuweni serious
Nyuma ya mafanikio kuna kanuni na taratibu nyingi sana za kibinadamu kazivunja. Wala hawezi aka inspire watu wenye utimamu na wanaoamini michakato ya maishaWakuu,
Kuna muda kama vijana inabidi muwe serious na maisha.
Kuna huyu kijana nimemuona huko Azam TV anasema alianza kwa kuchoma CD yaani nyimbo moja alikuwa anaweka kwa Tsh 100 aka-fight sana.
Anasema alikuwa kwa siku alikuwa anatumia 1000 mpaka 1500 tu kuna kipindi mpaka akaumwa vidonda vya tumbo.
Sasa hivi ni Bilionea mkubwa tu. Ana duka kubwa la hardware na anafanya mambo ya usafirishaji na ameajiri watu wengine 71
Sasa vijana mnakwama wapi kuwa kama huyu? Kuweni serious
sijui anataka ahojiwe zaidi ili agundue nini😁😁😁Inashangaza sana
Mtu anaongelea historia ya maisha yake watu wanakataa wanataka "sources"
Hawaamini kuwa Mtanzania anaweza kuwa nobody na akawa somebody huko baadae 😂
Hii ndio Tanzania mkuu.
Sitaki kuamini, nataka habari yenye multiple sources ili iweze kuhakikika zaidi.kwahio alichokieleza hapo kuhusu utajiri wake hujamuamini?
Safari hatua nae amepiga ya kwake,vijana wa leo hawataki struggle wameridhika na kidogo wapatacho wakiona vyakuwazidi wanakuja na ujuaji mwingi....hukawii kuskia ni freemason
Bahati ina play part kubwa sana kwenye mafanikio ya hustlers😄! Kama huna kismati unaweza ukasugua mpaka ukapaua na mvi kibao.Jamaa kwa sasa pesa kweli anazo ila. Sio kwa stories anazoleta, nawafahamu washkaji kibao mbinga ambao hustle zao kwenye kutafita ni heavy duty kuliko yeye na bado hawajashika mkwanja kama alioshika.
Kwenye kutafuta pesa kuna swala la bahati pia, do not underestimate the mini!!
kumchoma cd nikianzio tu.ukipata kidogo unawekeza kwingine hadi unatoboa.Kwa hiyo vijana nao wachome cd?
Habari isiyo na source zaidi ya moja haina credibikity.
Nyie wabongo wengi ni washamba washamba tu hilo ndilo tatizo lenu na mkifundishwa ni wabishi.
Sita ku quote tena kwa sababu nimekupeleka ignore list. Sitaona chochote utakachoandika.
Sitaki kubishana na watu washamba wasiojua kuwa habari inatakiwa kuwa na multiple sources ili kuwa na credibility.
Mnaangusha viwango vya mazungumzo yangu JF.
Nyie washamba, wabishi, hamjii na hamjui kuwa hamjui.
Mtu katika kuangaika unapitia shughuli mbalimbali lakini kuna shughuli fulani miongoni mwa zile ulizopitia ndiyo inakuwa msingi wa mafanikio yako,sasa kwa huyo jamaa angesema kilichompa mafanikio,siyo aseme kilichompa mafanikio ni kuchoma CD.Ameleta arguments mbili.
Kwamba alianza kwa kuuza CD na sasa ana Bilioni 2 na ameajiri watu 71.
Hajasema kwenye hiyo video kwamba kuna vitu hafichi au hajafanya vitu vingine kutajrika.
Wewe unachobisha hapo ni nini? Yeye kuuza CD au kuwa Bilionea?
Ushahidi wako uko wapi?
Kwani wapi nimesema jamaa si bilionea?jamaa nibiliinea hata asipo hojiwa na chanzo chochote kama unavyo taka.
kubali kataa
Mzee kwahio alikuwa tayari kutoa washel🤣Maisha ya siri nzito sana sanaa kuna mahala wakati fulani nilikuwa nafanya kazi kuna mzee ni age of 50's ilikuwa kwenye mabishano tu ya kawaida tu huku tukiwa tunafanya kazi.
Kuna mwenzetu aliuza je unaweza toa ndogo kwa mara moja kisha upewe milion 200 yule mzee akiwa serious kabisa akadai hizo milion 200 ni nyingi kwake yeye hata ziwekwe 50 au 100 anatoa lakini na yeye kwa hizo hizo anaweza kuja kuwadungua wengine ni hoja ambayo inaonyesha ilimgusa sana na kama kweli kungekuwa na fursa alikuwa analiwa mana aliishikiria sana karibu wiki nzima, so kuna wanajisacrifice maisha leo kesho ghafla mnashangaa kaibuka kawa tajiri anaanza kubwabwaja ovyo mtandaon anawatukana wanaume wenzie sio wapambanaji sometimes ni hasira tu za namna walivyopata hizo pesa.
Kama hio kazi inawafanya watu mabilionea mbona mimi sikuwahi kuwa billionea.
Niliifanya hio mishe 2009-2010 ila zaidi ya kupata mademu hamna nilichofaidika nacho. Hela ya kula tu.