Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
So what is it?Hakuna uchawi, huu ni umasikini na ujinga tu.
Eenh bwana, uwe hata Moderator 😄Inabidi Tajiri Max anifikirie kwenye suala la Maokoto! 😂
Cc Mjanja M1tuende mbele turudi nyuma mkuu inabid uongoZi wa jf ukupe hata tuzo au hata malipo unajitahd kutoa taarifa sana Maxence Melo
Kama ulaya upo sembuse Africa.uchawi ni globalHakuna uchawi, huu ni umasikini na ujinga tu.
Uchawi ni global ishu hata ulaya umejaaa hakuna jamii isiyo uchawiKwa hiyo wewe Mjanja M1 na ujanja wote umeamini hao ni wachawi na uchawi upo?
Kuna mtu anatafutwa hapa apigwe hapa. Haya ni maigizo ya kijinga sana, nashangaa hata polisi wanapata wapi muda wa kuongea na watu kama hawa.Kuna msemo niliwahi kuusikia unasema "Siku hizi wachawi sio wazee".
Nadhani huo msemo unaendana na hili tukio la vijana hawa kushikiliwa na jeshi la Polisi kwa Uchawi.
ANGALIA VIDEO HAPA
View attachment 2887164
Nini maoni yako?
Written by Mjanja M1
Ulaya wapo mambwiga tu na ombaomba na homeless kibao isikuchanganye mkuu.Uchawi ni global ishu hata ulaya umejaaa hakuna jamii isiyo uchawi
Hao hawahusihani na uchawi wachawi halisi wa kuruka wamejaaUlaya wapo mambwiga tu na ombaomba na homeless kibao isikuchangenye mkuu.
Police wafanye igizo ili iweje sasaNani mnufaika wa hilo igizo?