Video: Vijana wakamatwa kwa uchawi

Video: Vijana wakamatwa kwa uchawi

Mjanja M1

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2018
Posts
4,058
Reaction score
14,382
Kuna msemo niliwahi kuusikia unasema "Siku hizi wachawi sio wazee".

Nadhani huo msemo unaendana na hili tukio la vijana hawa kushikiliwa na jeshi la Polisi kwa Uchawi.

ANGALIA VIDEO HAPA


Nini maoni yako?

Written by Mjanja M1
 
Kuna msemo niliwahi kuusikia unasema "Siku hizi wachawi sio wazee".

Nadhani huo msemo unaendana na hili tukio la vijana hawa kushikiliwa na jeshi la Polisi kwa Uchawi.

ANGALIA VIDEO HAPA
View attachment 2887164

Nini maoni yako?

Written by Mjanja M1
Kuna mtu anatafutwa hapa apigwe hapa. Haya ni maigizo ya kijinga sana, nashangaa hata polisi wanapata wapi muda wa kuongea na watu kama hawa.
 
Back
Top Bottom