Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo kama haya peleka huko "makavu live". Huku ni great thinkers - tunajadili na kuchambua ukuaji wa uchumi, demokrasia, utawala bora, wawekezaji kukosa imani na serikali ya sizonje, lakini siyo mambo ya udaku wa watu wanaoshinda wakiongelea mambo ya kitandani. Halafu hata hilo li heading lako, hapo neno "masirahi" ndio nini?Video vixen ambaye pia ni Muigizaji katika kiwanda cha Filamu Bongo, Kidoa Salum, amedai kamwe hawezi kuisahau video ya Rapa na Mbunge Profesa Jay [HASHTAG]#TatuChafu[/HASHTAG], kwani pamoja na kuuza nyago vya kutosha alilipwa shilingi 5000 (Elfu Tano) pekee na Mbunge huyo wa Mikumi.
Kidoa ameiambia Bongo.Home ya Times Fm kuwa, si Yeye pekee bali warembo wote walioonekana kwenye kichupa hicho walilamba 'Buku tano tano'.
Chanzo Times FMView attachment 611013 View attachment 611013
wewe umeshafikili nn kikubwa mkuu?Mambo kama haya peleka huko "makavu live". Huku ni great thinkers - tunajadili na kuchambua ukuaji wa uchumi, demokrasia, utawala bora, wawekezaji kukosa imani na serikali ya sizonje, lakini siyo mambo ya udaku wa watu wanaoshinda wakiongelea mambo ya kitandani. Halafu hata hilo li heading lako, hapo neno "masirahi" ndio nini?
UMEELEWA SO JIBUumeshafikili = umeshafikiri
Ndo mwenyeweHivi ndio huyu ameigiza tamthilia ya HUBA??
Unataka kusema ml 100 ni hela ya mboga tuAnafikiria milion 100 ni bonge ya pesa [emoji23][emoji23]
Milioni mbili ya nini? Laki moja tu, sio kwamba anapiga tu, bali unamtia kwanza halafu ndio anapiga.anazuga tu huyo hata mill 2 anaweza kupiga, halafu atasingizia wamehaki simu yangu, shame on them