Video: Vurugu zazuka Kinondoni baada ya raia kugoma mwenzao kuchukuliwa na Polisi wakihofia Polisi huyo kuwa mtekaji

Niliwahi kutuma post humu kuwa Black Mamba ana sumu kali sana lakini hapendi kuitumia isipokuwa uhai wake unapokuwa mashakani, tuwe makini jamani black mamba ( wananchi) ameanza kuitumia sumu yake kulinda uhai wake.
Hata bado tumelemaa sana. Kwa sasa haitakiwi hata kidogo kucheka na NYANI.
 
Good
 
Mkuu sheria za hili taifa ni kwa ajili yetu watu wachini waliopo juu haiwahusu. Shangaa yule aliye lawiti binti kachiwa hana hatia
 
Nafutialia kwa ukaribu hapa
 
Wananchi wanarudisha mamlaka mikononi mwao yaliyoporwa na utawala dhalimu wa serikali ya chama dola kongwe ya kibaguzi inayotumia mamlaka zake vibaya kupitia matumizi haramu ya vyombo vya usalama.
Thershold imefikiwa, people are changing , hawana wa kumlaumu bali wenyewe
 
Moe kuna task force za gov, wanapoenda kwenye hizo kazi teeth na vyombo vingine wanajua. Huu ukimya means kuna baraka zao

Angalia namna wahusika wanaendelea na mambo mengine as if suala la utekaji haliwahusu
Wananchi wasiopojitetea hamna wa kuwatetea
 
Nchi imekuwa ngumu kama mawe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…