n-propanol
JF-Expert Member
- Apr 7, 2019
- 5,349
- 7,000
Watatue matatizo yao ukabila na Corona kwanza.Hawa ni wachambuzi wa kisasa nchini Kenya wakishangazwa na namna Tanzania ilipo bado kwenye ukoloni japo ni wa watu weusi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watatue matatizo yao ukabila na Corona kwanza.Hawa ni wachambuzi wa kisasa nchini Kenya wakishangazwa na namna Tanzania ilipo bado kwenye ukoloni japo ni wa watu weusi.
Wewe ni kabila lile mliokuwa mnafikir tz haiji kupata wasomi ila nyie pekee?Ukabila na "Undugunaizesheni" kipi kibaya zaidi? Mtoto wa dada kuwa paymaster umeiona wapi kama si kwa madikteta? Kwenye ukabila kiukweli kabisa Magufuli anaongoza afrika nzima. Angalia wakuu wa taasisi zote nyeti hapa nchini, ni kabila gani? Kisha fananisha na wakati wa Nyerere, Mwinyi, Mkapa na Kikwete ndiyo utaelewa. Kilangila.
Tatizo imefikia hatua munasifia hata kichaa aliyefanikiwa kusema ukweli kwa siku moja. Niambie hali ya Malawi na Kenya ikoje? Ni nzuri leo hii? Yaani mahakama ikitengua siku moja tu inapewa sifa za maendeleo. Hii yote ni sababu kuna watu munataka hiyo itokee TZ kwa faida munayohisi mutaipata. Mbona hamtamani kufungiwa Corona kama Kenya?Sasa utasema waliotengua ule uchaguzi ni wahuni ?!. Mpaka leo kumbukumbu zinasomeka ulitenguliwa na mahakama . Je kwetu utafanyaJe ukifanyiwa uhuni ?!. Tumeona Malawi waliokolewa na mahakama . Nia ya kuunda muundo huu ulikuwa na hila za kuzuia wananchi kujiamulia mustkbali wao.
Ulishawahi kujiuliza kwanini Lumumba Fc wana majina ya kijingakijinga na mfano ukiwa kama jina lako au jingalao hapo sijamtaja Bia yetuKama wanavyosema.
Unaulizaje maswali ya kitoto bwashee!
Zanzibar ipo Kenya?
minachosema hata Kenyata kauwa waisilamu nikatoa mfano wa Shekhe Abood Rogo na wengine wengi tu waliowawa na serikali ya kenya.
Na hiii mada yenu mmetembea nayo tangu 2015 mkasahau hata mambo ya tume huru na mazingira mengine wezeshi ya nyie kushinda!Huyu mtu alipata bachelor Kwa kiingereza, masters Kwa kiingereza, PhD Kwa kiingereza. Wewe umewahi kufanya research? Masters na PhD ni research tupu, na ikifika dissertation ndiyo unachanganyikiwa kabisa. How many people you meet and how many journals you read and reference ? Halafu kiingereza hajui!
Hivi corona kashitakiwa mahakamani?Tatizo imefikia hatua munasifia hata kichaa aliyefanikiwa kusema ukweli kwa siku moja. Niambie hali ya Malawi na Kenya ikoje? Ni nzuri leo hii? Yaani mahakama ikitengua siku moja tu inapewa sifa za maendeleo. Hii yote ni sababu kuna watu munataka hiyo itokee TZ kwa faida munayohisi mutaipata. Mbona hamtamani kufungiwa Corona kama Kenya?
Mamuzi ya mahakam kwa kesi moja ya uchaguzi hayawezi kuwaonesha kwamba wameendelea, ni nchi nzuri, n.k. hawa bado ni wanyonge tu kwa ukabila wao hadi kesho!
Watavuna walichopanda!Upinzani wa aina hii ni hasara tu! Hawatusaidii watanzania maana malengo yao ni tofauti kabisa. Sasa nina imani wanachokitafuta ni kuingia madarakani ili watafune pesa ya nchi kwa amani. Eti wanaitwa makamanda! Bungeni miaka 5 bila kususia bunge ili kutafuta haki ya utawala na mpangilio mzuri wa utawala serikalini, wao wanasubilia Tume inayowapa Ubunge ili waendelee kupata posho. Wakisusia ujue ni show tu! Wanasusia Corona halafu wanaumia usiku kwenye matanuzi. Lissu anafika Nairobi na kulaani nchi eti imejaa Corona na vifo halafu anaingia na kuanza mizunguko bila woga wa hiyo corona. Just show off!
Hongera sana, inaonekana kiwango chako cha ukabila ni kikubwa kuliko wanyarwanda. Bado uko kwenye ukabila tu? Kilangila.Wewe ni kabila lile mliokuwa mnafikir tz haiji kupata wasomi ila nyie pekee?
Nimekwambia siungi mkono lakini nchi zote zinafanya hivi Tanzania,Uganda,Kenya na nchi zingine.Umesahau yule Imam M .Ilyas aliyeuliwa msikitini na polisi au waliomuuwa walikuwa askari wa Kenya ?
Nimekwambia siungi mkono lakini nchi zote zinafanya hivi Tanzania,Uganda,Kenya na nchi zingine.
Patriot .Tatizo imefikia hatua munasifia hata kichaa aliyefanikiwa kusema ukweli kwa siku moja. Niambie hali ya Malawi na Kenya ikoje? Ni nzuri leo hii? Yaani mahakama ikitengua siku moja tu inapewa sifa za maendeleo. Hii yote ni sababu kuna watu munataka hiyo itokee TZ kwa faida munayohisi mutaipata. Mbona hamtamani kufungiwa Corona kama Kenya?
Mamuzi ya mahakam kwa kesi moja ya uchaguzi hayawezi kuwaonesha kwamba wameendelea, ni nchi nzuri, n.k. hawa bado ni wanyonge tu kwa ukabila wao hadi kesho!
Hapana siungi mkono nchi yoyote ile kuuwa watu wa dini yeyote ile.Kwa hivyo kwa sababu nchi zote zinauwa waislamu na Tanzania nayo iuwe?
Hapana siungi mkono nchi yoyote ile kuuwa watu wa dini yeyote ile.
Ila nachokwambia hata huyo Kenyata wako ameuwa waisilamu.
Unalingine bwashee?
kenya bana wananifurahishaga sana hasa ule uchaguzi sijui chungwa, ndizi nimeusahau
Wanavuna hapaWatavuna walichopanda!
kila siku siyo jumapiliNoo! Usipoteze muda. Jamii na serikali ina tabia ya kuwalazimisha kutawaliwa watu wenye uelewa mdogo kama unavyoona mbuzi mkorofi anaburuzwa kupelekwa majungoni. Tutakuburuza tu, ukiziona nyasi utakula na kushukuru.
Siasa za Kenya ni za ubaguzi wa kikabila.
Kenya wapambane kwanza waondoe hili kabla ya wao kukosoa wengine.