EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 10,576
- 16,644
Wakiambiwa wenye akili timamu watoke mbele nawe utatoka,mada inasema nini na wewe unajadili nini,jamaa wameongea ukweli mtupu sasa wewe mlumumba unavuruga madaPale Kenya sasa hivi ni kama hamna mkubwa! Kila mtu ni kambare! Wamejaa ukabila, hayo ndio waliyoendelea hakuna kingine.
Fikiria uchaguzi bado miaka 2 lakini ofisi ya rais Kenyata ina mgogoro wa kugombea madaraka ya 2022
Sahihi kabisa. Sasa nimekuelewa, kumbe demokrasia ya vyama vingi unaijua na hata yanayokwenda kinyume unayajua. Tume isichaguliwe na mwenyekiti wa chama kimoja wapo wa vyama tulivyonavyo na baadaye vyote vikaingia kwenye kinyang'anyilo, refa akiwa ni tume mteuliwa. Umejibu vizuri.Kukidhi haja ya mfumo wa vyama vingi.
KWANI HUJUI HAO NI MABEBERUCCM hawapendi kusikia haya. Wataanza kuwashambulia Wakenya kwa kueleza ukweli.
Ubaguzi kuliko wa Tanzania? Unaota wewe! Rais anakusanya kodi za wote lakini maendeleo ni kwao na kwa wapenzi wao! Hii ni zaidi ya ubaguzi.Siasa za Kenya ni za ubaguzi wa kikabila.
Unatumia jina lenye heshima Ila wewe sasa empty setKenya hawana lolote la kutufundisha, labda ukabila
ccm ndo imekuletea uhuru kuku wewe, na sio tanzania tu nchi nyingiCCM wanairudisha Tanzania nyuma mno!! CCM hawana nia njema na taifa letu, hawa ni lazima waondolewe tu for the better tomorrow.
Katiba inampa haki Rais kuteuwa tume.Sahihi kabisa. Sasa nimekuelewa, kumbe demokrasia ya vyama vingi unaijua na hata yanayokwenda kinyume unayajua. Tume isichaguliwe na mwenyekiti wa chama kimoja wapo wa vyama tulivyonavyo na baadaye vyote vikaingia kwenye kinyang'anyilo, refa akiwa ni tume mteuliwa. Umejibu vizuri.
Among best constitution is in KenyaSiasa za Kenya ni za ubaguzi wa kikabila.
Kenya wapambane kwanza waondoe hili kabla ya wao kukosoa wengine.
Kuna yule system analyst wa mfumo wa computa wa NEC ya Kenya ambaye alikuwa ameweka password ya kiganja chake ili mtu yeyote asiingilie mfumo huo wa uchanguzi. Aliuawa, na inasemekana mkono wa password ulikatwa! Hatuna cha kujifunza kizuri katika masuala ya uchaguzi huko Kenya!Kuna nchi ambayo watu hawauwawi? Mbona munakuwa watu wa bei powa kiasi hiki? Jilazimishe akili yako ipende kujisomea. Makamishna wa tume wanauwawa wewe unasifia tume ya Kenya? Kamishna Chebukati alitoroka akiwa Dubai siku chache kabla ya uchaguzi, hiyo ni nini? Au ndo uhuru wa tume yenyewe? Mtu anakuja kujivunia ujinga eti Kenya ilishatoka huko siku nyingi, lini hiyo?
πππ Upinzani bwana.
Watanzania wa wapi unawasemea? Pesa ipi wapinzani wataenda kuitafuna wakati tayari trilion- 1.5 imepigwa na CCM na zingine wanaendelea kukomba sufuriaUpinzani wa aina hii ni hasara tu! Hawatusaidii watanzania maana malengo yao ni tofauti kabisa. Sasa nina imani wanachokitafuta ni kuingia madarakani ili watafune pesa ya nchi kwa amani. Eti wanaitwa makamanda! Bungeni miaka 5 bila kususia bunge ili kutafuta haki ya utawala na mpangilio mzuri wa utawala serikalini, wao wanasubilia Tume inayowapa Ubunge ili waendelee kupata posho. Wakisusia ujue ni show tu! Wanasusia Corona halafu wanaumia usiku kwenye matanuzi. Lissu anafika Nairobi na kulaani nchi eti imejaa Corona na vifo halafu anaingia na kuanza mizunguko bila woga wa hiyo corona. Just show off!
Wewe ndiyo hutumwa kuwabambikia kesi kuwapiga risasi?πππ Upinzani bwana.
Hakuna haha ya kujifanya unajua Kiingereza wakati hukijui.Kwa mashudu uliyoandika hapo πnapata wasiwasi Sana kuamini kwamba umeisoma katiba ya Kenya na kuielewa au ndo ushabiki tu.Among best constitution is in Kenya
Kuwabambikia kesi kuwapiga risasi wapinzani umejifunzia Uganda au Rwanda?Kenya hawana lolote la kutufundisha, labda ukabila
Huna hoja yoyote, ila Kama mzalendo halisi wa taifa la Tz ningepewa nafasi hiyo,nisingefanya makosa.Umeridhika sasa.Wewe ndiyo hutumwa kuwabambikia kesi kuwapiga risasi?
KenyaKuwabambikia kesi kuwapiga risasi wapinzani umejifunzia Uganda au Rwanda?
Uzalendo ni kuwabambikia kesi kesi kuwapiga risasi wapinzani?Huna hoja yoyote, ila Kama mzalendo halisi wa taifa la Tz ningepewa nafasi hiyo,nisingefanya makosa.Umeridhika sasa.