Kwa hiyo wajanja ni nyie mnaojifanya DP World wakati tunajua ndio ninyi akina JK, Makamba, Rostam na Sa100.!? Wapumbavu sana nyie.Mwabukusi alinunuliwa na wapingaji wa mkataba wa Bandari wale akina Karamagi kwa Tsh 400 Millioni.
Bahati mbaya ameshindwa kuzuia mkataba na wapambe wake akina Dr Slaa na Mdude_Nyagali . Sasa anatafuta kuwa relevant tena. Huyo ni mlevi mbwa tu mpuuzeni
ng"an"ana na ghadhabu na mihemko yako, hata uwe na jambo zuri namna gani, ukilosea kwenye lugha tu, unahamisha mjadala kwenye kuchunguza uadilifu na malezi yako...Kwahiyo unapuuza mambo ya msingi na kuzidi kupuyanga kwakuwa tu mzungumzaji/mshauri katumia lugha isiyo ya staha? Unafikiri atakayeonekana mpuuzi zaidi machoni pa watu wanaojitambua ni nani?
sawa,Huu upumbavu kamuambie huyo mnayemuita mama Kila kukicha nyie wajinga wa ccm. Samia na viroboto wake wanakula Kodi ya wananchi na hawana hata senti Moja wanayotumia kutoka mifukoni mwao. Wakitaka kunyenyekewa wakaendeshe biashara zao, wafanyakazi wao waliowaajiri watawanyenyekea.
Wewe endelea kuwa kirobotosawa,
ng"ang"ana na gubu na mihemko yako...
wenye dhamana waendelee kuchapa kazi ya kuwatumilia wanainchi
Lucas MwashambwaNchi ya one man show.
Haya yalianzia kwa Kikwete, akaja Magu akayapalilia, na sasa Mama ndo imekuwa mwongozo rasmi.
Hakuna anayeheshimi Katiba na Sheria tena. Rais amekuwa ndiye Katiba, Sheria na Utawala Bora.
View attachment 2960403
Tafakari
Chukua hatua...
Duh kumbe ni mipasho! Sawa dada wa buza, nimekuelewa.ng"an"ana na ghadhabu na mihemko yako, hata uwe na jambo zuri namna gani, ukilosea kwenye lugha tu, unahamisha mjadala kwenye kuchunguza uadilifu na malezi yako...
na by the way,
utadeal nalo wewe na huyo mwenye mihemko mwenzie kwasababu ndivyo mlovyolelewa, watulivu na wastaarabu na wenye maadili tunandelea kuchapa kazi kadiri invyowezekana ili wanainchi wapate maendeleo
Huihui2Unatuagiza kama nani
Hata Mwabukusi ni kirobotoViroboto mumeguswa
Hana hoja ya kujibiwa mlevi huyoJibu hoja.Acha kujificha kwenye mambo yasiyotuhusu kwasababu ya ujinga wako.
Mwabukusi kakugawia shilling ngapi ?Kwa hiyo wajanja ni nyie mnaojifanya DP World wakati tunajua ndio ninyi akina JK, Makamba, Rostam na Sa100.!? Wapumbavu sana nyie.
Yeye mwenyewe hapo anaongelea "mama".Nchi ya one man show.
Haya yalianzia kwa Kikwete, akaja Magu akayapalilia, na sasa Mama ndo imekuwa mwongozo rasmi.
Hakuna anayeheshimi Katiba na Sheria tena. Rais amekuwa ndiye Katiba, Sheria na Utawala Bora.
View attachment 2960403
Tafakari
Chukua hatua...
Hilo jipya lilete wewe.Yeye mwenyewe hapo anaongelea "mama".
Hana jipya.
Lucas Mbwa Wa Shamba
Utatekwa ooh!!!watu msiojulikana mpoooo????mmemsikia huyu jamaa??Nchi ya one man show.
Haya yalianzia kwa Kikwete, akaja Magu akayapalilia, na sasa Mama ndo imekuwa mwongozo rasmi.
Hakuna anayeheshimi Katiba na Sheria tena. Rais amekuwa ndiye Katiba, Sheria na Utawala Bora.
View attachment 2960403
Tafakari
Chukua hatua...
Huyo ana stress ,watu wanampuuzaNchi ya one man show.
Haya yalianzia kwa Kikwete, akaja Magu akayapalilia, na sasa Mama ndo imekuwa mwongozo rasmi.
Hakuna anayeheshimi Katiba na Sheria tena. Rais amekuwa ndiye Katiba, Sheria na Utawala Bora.
View attachment 2960403
Tafakari
Chukua hatua...
Bwawa la Arusha limefunguliwa maji yameleta ...Hilo jipya lilete wewe.
Ngosha ndo muasisi wa ujinga huuWakati wa Kikwete ujinga huo haukuwepo ulianza wakati wa Magu.
Kama Katiba haiheshimiwi toka wakati wa Kikwete, Magufuli na sasa hivi...Nani aliewaambia wapinzani Katiba mpya ndo suluhu na itaheshimiwa??
Huyo mzee uliyemtaja kwa kumtetea ndiye muasisi wa yote haya yanayoendelea nchini.Utawala wa Kikwete haukuwahi kuwa na ujinga huu.
Mwanzilishi wa huu upumbavu ni mshenzi jiwe. .Mungu amuongezee adhabu huko aliko.