Video: Wakili Msomi Mwabukusi ana hoja. Haya yalianzia enzi za Kikwete

Watu waliingizwa mjini kwenye siasa za hadaa sijui 4Rs, wakawa wanapotezwa maboya wafanye siasa za kistaarabu na maoni yao yatafanyiwa kazi. Na kweli mabwege wakajaa mara sijui kikosi kazi, vikao vya maridhiano, kumbe wenzao wanawadanganya Ili wapate political mileage kuwa ni wastaarabu.

Umefika wakati wa kudhibitisha huo wa utapeli wa 4Rs, wamejikuta vinaletwa vitu tofauti na mapendekezo ya wengi. Machafuko ama mapinduzi ya kijeshi tu ndio yataondoa hili genge la majizi na matapeli ya ccm
 
Apuuzwe kwa sababu ya historia yake au akichokisema.Mbona hueleweki??
 
Natamani nikutukane ila naogopa burn,

Kwahiyo ww unachoelewa akilini mwako ni KING NEVER D0 WRONG?? Au sio??

Hiv nyie walimu mliingiaje huku jf?
sasa mama akiyafanya mazuri yasisemwe ndugu? kwa ni mapata mfadhaiko kwa mema ya mama yetu kipenzi
 
chama cha mapinduzi kimekua kinara wa kutoa viongozi makini nchi hii ndugu

magufuli alifanya mengi makubwa na matunda yake yanaonekana na huyu mama anaendeleza mazuri akiongozwa na ilani ya chama pendwa mkombozi wa mataifa mengi afrika
Viongozi makini hawatokei kwenye kubebwa na mbeleko ya vyombo vya Dola. Nchi hii haijawahi kutawaliwa na chama kingine, sasa unaposema Bora ni kulinganisha na rais wa chama gani?
 
Viongozi makini hawatokei kwenye kubebwa na mbeleko ya vyombo vya Dola. Nchi hii haijawahi kutawaliwa na chama kingine, sasa unaposema Bora ni kulinganisha na rais wa chama gani?
vyama vya upinzani bado havijawa tayari
 
Umeandika kama mjinga..kumbe kweli ni mjinga.


Wee ni kizazi Cha Akina Makamba ,nape.... Productivity yenu kama viongozi ni SIFURI.


Ila mnapenda mnapokosea, muambiwe Kwa kubembelezwa.
 
vyama vya upinzani bado havijawa tayari
Kwa mujibu wa mtazamo wa kiccm. Huu ujinga hata chawa wa KANU hapo Kenya walikuwa wanajazana. Leo hii KANU Iko kaburini na Kenya ina uchumi mzuri kuliko wa Tanzania iliyo chini ya mikono ya majizi ya CCM.
 
Kama Katiba haiheshimiwi toka wakati wa Kikwete, Magufuli na sasa hivi...Nani aliewaambia wapinzani Katiba mpya ndo suluhu na itaheshimiwa??
Kama. hadi wewe huelewi maana ya katiba mpya basi Kuna shida mahala kama taifa.
Mosi katiba si ya wapinzani pekee ni Haki ya kila mwananchi
Pili katiba mbovu hujidharaulisha yenyewe na katiba nzuri hujiheshimisha yenyewe, hii panga pangua anayofanya mama kila. Siku na kurudia watu wale wale ni matokeo ya katiba mbovu.
 
Umeandika kama mjinga..kumbe kweli ni mjinga.


Wee ni kizazi Cha Akina Makamba ,nape.... Productivity yenu kama viongozi ni SIFURI.


Ila mnapenda mnapokosea, muambiwe Kwa kubembelezwa.
atakuskiza nani na malalamiko yako ata kama yana mashiko πŸ’

ni completely useless presentation zenye mihemko...
 
nawe uliingizwa right?πŸ’

continue dreaming your none sense dreamings πŸ’
 
sasa kama mnakunywa na kuvuta pamoja mnavyovuta ni Lazima muelewane kwa mihemko na matusi yenu πŸ’

haiwezekani walio na dhamana ya kuongoza na kutumikia wanainchi, kubabaika wala kupoteza focus ya kuchochea maendeleo ya wanainchi na kuskiza makelele, mihemko na ghadhabu za yoyote yule zulizojaa utovu wa kimaadili πŸ’

That one I must put it very clear to everyone of you πŸ’
 
Kwa staili hii ya mama,Mamaa kila mtu mama tunafeli aiseee
 
Kama Katiba haiheshimiwi toka wakati wa Kikwete, Magufuli na sasa hivi...Nani aliewaambia wapinzani Katiba mpya ndo suluhu na itaheshimiwa??
Kwa maana hiyo ni kuwa katiba ifutwe? Kwani tofauti na wapinzani hakuna wananchi waliohitaji katiba mpya.
 
Wananchi gani mnawatumikia nyie majizi? Hayo mnayofanya hata wakiingia watu kwa kupindua serekali watafanya, na watafanya kwa ubora kuliko nyie majizi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…