Buenos Aires
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 1,894
- 1,622
Hao viongozi wa Zanzibar waendelee kupandikiza chuki watapata wasichokitarajia
Nimekuona bhna si unevaa kofia Mkuu ππAcha kuzingua wewe πππ. Hukuwepo hapo
KWa sababu kimeandikwa kwa wale wanaoelewa sio lazma wote tuwe na Uwezo na Fikra kubwa..Kingereza mingi hakuna kitu hapa.
Kubali umechemka acha ubishi usio na tija
Kama wanaleta vurugu uwaache tu!! Sometimes msiwe mnaangalia upande mmoja! Leo mzanzibari akifanya vurugu mtamuelewa! Au ndio kuitana gaidi?Hawa jamaa wakija Dar wanaishi kwa uhuru ila hawataki wamasai waishi kwao kwa uhuru
Mchukua video mwoga mwoga βΊοΈβΊοΈπππHili tukio limetokea jana, ambapo Wamasai wamepigana na Walinzi na kujeruhi.
Nini kifanyike kuepusha matukio kama haya kwenye jamii yetu?
Written by Mjanja M1 βοΈ
Mbona wazanzibar kibao tu wanafanya vurugu huku Bara na tunawavumilia?Kama wanaleta vurugu uwaache tu!! Sometimes msiwe mnaangalia upande mmoja! Leo mzanzibari akifanya vurugu mtamuelewa! Au ndio kuitana gaidi?
True,Kwakuwa hauko zanzibar hauwezi kuelewa kinachotekea kati ya wamasai na walinzi wa mahoteli, wamasai wamekuwa wanagasi sana wageni, siyo kila mgeni anataka kununua shanga, lakini masai wakielezwa hawaelewi kwa kila kilichowekwa na sheria ya utalii zanzibar kwamba beach ama fukwe ni maeneo ya watu wote. Hii ni changamoto sana na kupitia haya matukio nadhani kuna cha kujifunza hapa.
Sheria zao nyingi zimetungwa kuwabeba wazanzibar lakini kutokana na muingiliano wa watu wanaonufaika ni watu wa kuja na si Zanzibar tena.
Beach boys na Beach girls majority siyo Zanzibarian ni watu wa kutoka bara na hata nchi za jirani.
Kamisheni ya utalii wanatakiwa kureview miongozo yao na izingatie fargha za wageni ( Privacy) tofauti na hapo fukwe za kusini nazo zinaenda kuwa kama zile za kaskazini ( Nungwi).
Upo vizuri mkuu πβΊοΈππIla nimemuelewa Mzungu uyo mwenye Pichu Black..View attachment 2897037
Unatumia nguvu nyingi. Haya bana mchana mwema kwakoKWa sababu kimeandikwa kwa wale wanaoelewa sio lazma wote tuwe na Uwezo na Fikra kubwa..
kama Unaona kitu hujakielewa bhasi ujue kuwa Rasmi kwamba hakikuandikwa kwa sababu yako...
na usikiQuote..
Kuna vitu Vingi vya kuchangia Jf
Unaweza ukaenda hata kuchangia kuhusu Diamond katoa nyimbo mpya..
Au alikiba kafanya shoo Kenya ..sio mbaya..
Ila vitu vinavyotumia Akili kuchambua ,Kama diplomacy,And intelligency nafikiri unaviavha vipite tu..
Hakuna sehemu nimeonyesha ubishi Kijana..
Tatizo la vijana wa siku hizi wengi wanajiona wanajua halfu kumbe kichwani Zero..
Unashindwa Kuchambua Kesi ya Minority Swod Discord halafu upo kuchangia Uzi unaohusisha serial Domestic Violence...
Nachofurahi ni Jf Kutuweka pamoja na kitupa Uhuru wa kikatiba kuchangia..
Lakini tumia vizuri Mchango wako kutoa hoja kama huna hoja ni vyema ukakaa kimya narudia tena ni vyema ukakaa kimya
Na huwezi kuelewa kwanini walifukuzwa ngoro ngoro sasa wamehamia zenjihuwezi kuelewa kama haujui kinachosababisha ugomvi wa masai na walinzi wa mahoteli, Huwezi kuelewa ikiwa hauko jirani na sector ya utalii hususani znz, huwezi kuelewa kama hajui sheria na miongozo ya kamisheni ya utalii znz inaelekeza nini. Huwezi kuelewa ikiwa hauelewi kundi kubwa la beach boys na beach girls wanatokea maeneo gani kwa wingi. Hauwezi kuelewa ikiwa haujafika fukwe za Nungwi kuanzia Pwani mchangani na kuendelea, Hauwezi kuelewa ikiwa haujafika fukwe za Michamvi, Bwejuu, Paje, Jambiani, Kizimkazi na kwingineko. Na kama umefika na bado hujaelewa basi wewe utakuwa na shida mahali fulani upstairs.
Muda si mrefu itaanzishwa kampeni kabambe ya kuwahamisha Wamasai wote kutoka Zanzibar na kuwapeleka Handeni, kama walivyowafanyia kule Ngorongoro.Hili tukio limetokea jana, ambapo Wamasai wamepigana na Walinzi na kujeruhi.
Nini kifanyike kuepusha matukio kama haya kwenye jamii yetu?
Written by Mjanja M1 βοΈ
Ahahahahahahahahahahah...Hapaaa tufunge mjadala...UshapoteanaπNimekuona bhna si unevaa kofia Mkuu ππ
Wamasai wanawagonga hao wazungu bifu ndio lipo hapo hapo wazungu wanapenda miti ya Wamasai kwa hio kuna bifu sababu wazungu wanaliwa na WamasaiIla nimemuelewa Mzungu uyo mwenye Pichu Black..View attachment 2897037
ππNilipo Mkuu sasa hivi Ni saa moja na Dakika 53 Asbuhi.. ..07:53 AM..Unatumia nguvu nyingi. Haya bana mchana mwema kwako
πππππππ Sawa!.Lazima maisha ili yanoge vijivita kama hivi muhimu
Kitu kimoja nimekuelewa ila, unaposema tourist commission ndiyo inahusika na beach plot sidhani but ni SMZ, kweli lengo ni kuwa na usawa wa matumizi ya fukwe kwa watu wote.Kwakuwa hauko zanzibar hauwezi kuelewa kinachotekea kati ya wamasai na walinzi wa mahoteli, wamasai wamekuwa wanagasi sana wageni, siyo kila mgeni anataka kununua shanga, lakini masai wakielezwa hawaelewi kwa kila kilichowekwa na sheria ya utalii zanzibar kwamba beach ama fukwe ni maeneo ya watu wote. Hii ni changamoto sana na kupitia haya matukio nadhani kuna cha kujifunza hapa.
Sheria zao nyingi zimetungwa kuwabeba wazanzibar lakini kutokana na muingiliano wa watu wanaonufaika ni watu wa kuja na si Zanzibar tena.
Beach boys na Beach girls majority siyo Zanzibarian ni watu wa kutoka bara na hata nchi za jirani.
Kamisheni ya utalii wanatakiwa kureview miongozo yao na izingatie fargha za wageni ( Privacy) tofauti na hapo fukwe za kusini nazo zinaenda kuwa kama zile za kaskazini ( Nungwi).