Video: Wananchi wakimlilia Hayati Magufuli baada ya kuchoshwa na uonevu

Sasa Kama uligushi vyeti vyako hasira za Nini kwa Mwendazake!? Magu yeye alikua anasimamia Sheria za Nchi hana kosa lolote lile!!
Niwe na chuki na shetani linalooza kuzimu? Unachekesha kweli. Soma threads za humu JF watu walishamtabiria kifo tokea 2017, machozi ya watu hayawezi kwenda Bure. Hivi unadhani familia ya mawazo au Saanane zinajiskiaje.
 
Niwe na chuki na shetani linalooza kuzimu? Unachekesha kweli. Soma threads za humu JF watu walishamtabiria kifo tokea 2017, machozi ya watu hayawezi kwenda Bure. Hivi unadhani familia ya mawazo au Saanane zinajiskiaje.
Haya matusi na kashifa kubwa hii kwa muumbaji wako, una moyo sana,

Sina hakika iwapo unakuwa akiyaandika huku moyo haukushitaki,

Sababu, si hata wewe njia ni ileile?
 
Haya matusi na kashifa kubwa hii kwa muumbaji wako, una moyo sana,

Sina hakika iwapo unakuwa akiyaandika huku moyo haukushitaki,

Sababu, si hata wewe njia ni ileile?
Ndio na Mimi nitaondoka siku Moja ila sidhani kama nitaondoka nikiwa nimeacha majonzi kwa Roho zisizo na hatia zaidi nitakumbukwa kwa mema niliyofanya. Sasa mtu amesababisha kifo cha mama yake kabendera, kamuua Saanane, kamuua kaka yake Heche na Wenje, kamshambulia Lissu na risasi kisa tu mpinzani wake alafu unadhani Mungu anachekelea tu??

JPM aliyataka mwenyewe Wala asimlaumu mtu.
 
Ndugu yangu, yaliyokwisha kufanyika, yashafanyika, tulie ama tugalagale, bado haibadirishi kitu, yatubidi tuyasahau na tuendelee mbele!

Tuyafanye kama rejea kutenda mema zaidi, tumwachieni Mungu ajuaye viumbe vyake
 
Ndiyo maana yuko motoni
 
Wewe binafsi umewahi pita hapo Kimara karibuni?

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
 
Ndiyo.
1. Wewe binafsi uliwahi kufika Mtwara na kuwaona wakulima wa korosho?
2. Wewe binafsi ulikuwepo eneo ambalo hao wananchi walikuwa wakimlilia jpm?!!
Ya mtwara, haina maana kuzuia wananchi kumkumbuka
 
Umefanya wema gani so far?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…