pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,422
- 6,108
Hataki watu walipe kodi, hataki bodaboda walipe kodi, hataki bandari ibinafsishwe, anadhani kila mtu anweza kuuza kama yeye? Inawezekana labda yeye ana anachouza ndio maana hana adabu kwa rais?
Mshamba kama washamba wengine tu
Mama ni mpaka 2030 Mungu akipenda umri ukiwepo
Hata mkazane vipi, wagalatia subirini tu kwanza
Mshamba kama washamba wengine tu
Mama ni mpaka 2030 Mungu akipenda umri ukiwepo
Hata mkazane vipi, wagalatia subirini tu kwanza