Na wewe Pimbi,unashindwa kusema nini kifanyike unaonesha upuuzi wako,unajuwa mangapi yanatokea na huyaoni pimbi wewe?? Lengo ujumbe uwafikie wenye mamlaka ili hii hali istop, ficha upuuzi wako.Fucking life circulation
You never stay strong in fucking peoples
Aliye record ni mjinga
Aliyepost mjinga
Wanafunzi wajinga
Wazazi wajinga the same
Hisia mgando hujui umri na mazingira ya alie record. Hii hali ipo Tanzania nzima,kumbuka na yeye recordr anawatoto wanasoma shule tofauti asingependa yawatokee haya,hujalengwa wewe muuza mahindi ya kuchoma hapa, wenye mamlaka wakiona labda itawaingia imani waondoe hizi adhabu.Hii video haina tofauti na ile ya mzungu aliyempiga picha mtoto wa kiafrica ambaye alikua analiwa na ndege kama mzoga...Priority ilikua ni video sio kumuokoa huyo mtoto..hapa ndio tunaona vichwa vilivyojaa matope badala ya ubongo
Sio kwa ubaya ni hisia zangu tu
Nakufatilia Muda sio mrefu utajua unamtukana Nani utakuwa mfanoNa wewe Pimbi,unashindwa kusema nini kifanyike unaonesha upuuzi wako,unajuwa mangapi yanatokea na huyaoni pimbi wewe?? Lengo ujumbe uwafikie wenye mamlaka ili hii hali istop, ficha upuuzi wako.
Hii ni dhana mbaya sana kuitumia.Kwanza mimi nisingechapwa nisingekuwa nilipo
Umnyang'anye fimbo mwendawazimu lunatic utaweza!! Bora kurekodi ushahidi upatikane. Walimu wengi wana matatizo ya afya ya akili na kufuata mishahara siyo kupenda kazi, waendelee kurekodi ili wahalifu wapatikane na ushahidi uwepo bila kurekodi no evidence, anayekataa kurekodi anaficha uovu usifichuliweMtu unamuona anamchapa mtoto sana au anapitiliza ! Kwanini huo muda wa kumrekodi usitumie kumnyang'anya fimbo huyo mwalimu?
Ili asimuumize mtoto !! Serikali iwe inawafukuza hata wanaorekodi ! Jifunzeni kuonyana na kuelemishana nyie kwa nyie.
Yaani kama una uwezo wa kushuhudia na kurekodi mtoto anapigwa hivyo , maana yake hata wewe ni katili unamrekodi katili mwenzio.
Huku mtandaoni tumewachoka ! Kila siku nyie kurekodiana tu au ndo fashion Walimu
Kazi kwelikweli kizazi cha Nyerere hiki kumbuka alie record anawatoto wanasome somewhere na asingependa hii kitu iwatokee...kuhusu kazi ndio unaona ya msingi kwako wewe mzee you don't put yourself in shoes of this children's...wewe ungekuwa na maisha mazuri ungekuwa na huruma kwa hao watoto sio kumtetea mwalimu..Kuna walimu wana tabia za ki snitch. Maisha yao miaka nenda ni kuwaharibia tu wenzao kwa kuwachongelezea kwa wakuu wao wa shule, ili wapate upendeleo!
Kurekodi upuuzi kama huo wa walimu kuchapa viboko, na kuweka kwenye mitandao ya kijamii, nk. Na mara nyingi watu wa aina hiyo, hata maisha yao ya kila siku huwa ni magumu sana.
Wachache wanaliona hili May Allah bless you brother.Umnyang'anye fimbo mwendawazimu lunatic utaweza!! Bora kurekodi ushahidi upatikane. Walimu wengi wana matatizo ya afya ya akili na kufuata mishahara siyo kupenda kazi, waendelee kurekodi ili wahalifu wapatikane na ushahidi uwepo bila kurekodi no evidence, anayekataa kurekodi anaficha uovu usifichuliwe
Na sio tu somewhere, sometimes wako hapo hapo, ila wanavumilia tu.Kazi kwelikweli kizazi cha Nyerere hiki kumbuka alie record anawatoto wanasome somewhere na asingependa hii kitu iwatokee...kuhusu kazi ndio unaona ya msingi kwako wewe mzee you don't put yourself in shoes of this children's...wewe ungekuwa na maisha mazuri ungekuwa na huruma kwa hao watoto sio kumtetea mwalimu..
Chunguza kwanza hao watoto wanaosoma shule za kata, halafu utakuja kuona ni kwa namna gani walimu wanapambana kuwatengenezea njia ya mafanikio kwa shida na taabu nyingi.Kazi kwelikweli kizazi cha Nyerere hiki kumbuka alie record anawatoto wanasome somewhere na asingependa hii kitu iwatokee...kuhusu kazi ndio unaona ya msingi kwako wewe mzee you don't put yourself in shoes of this children's...wewe ungekuwa na maisha mazuri ungekuwa na huruma kwa hao watoto sio kumtetea mwalimu..
Nakubaliana kabisa na wewe mkuu.Chunguza kwanza hao watoto wanaosoma shule za kata, halafu utakuja kuona ni kwa namna gani walimu wanapambana kuwatengenezea njia ya mafanikio kwa shida na taabu nyingi.
Kiufupi watoto wengi hawana adabu, kutokana na malezi mabovu kutoka kwa wazazi wao wa dotcom.
Ingekuwa kutochapa ni ku produce watu wajinga basi Europe wangekuwa mazuzu hata hiyo simu unatumia ingetengenezwa na wabongo. Wanaochapwa ondowa miwani ya mbao nduguyangu,huwezi kutembea kwavile huruhusiwi hata kumilki passport, hebu Google uone how school looks like kwa wenye akili,Huna mtoto sawa je huwezi hata kusikia uchungu wa wenzio??Walimu mnashindwaje kutoa product moja matata sana isijesahulika na taifa yani hamchapi wala hamtukani wala kukemea yani hamjali kwa chochote tupate majinga, malaya, majizi ya taifa kwa awamu moja tu flani iv special
Wanakuambia mchukue mtoto wako nenda naye nyumbani, Mara bod ya shule imemfukuza shule, ili uwabembeleze Kama unatafuta kazi kwao.Wazazi walindeni waoto wenu, mtotot akikushitakia lala mbele na mwalimu mhusika. Kwa sasa hatuna walimu, ni takataka za kutesa watoto. Chukueni sheria mkononi mnusuru watoto wenu! Serikali does not care , wanusuru watoto wenu!
Unaamini kabisa uchapaji huo huyo mwalimu anamapenzi na hao watoto ??? Kwa hali kama hiyo upo uwezekano wa mtoto kupenda shule?? Unajuwa kama watoto Europe wanachukia shule zikifungwa na kufurahiya zikifunguliwa?? Fimbo zipigwe marufuku kupiga mke kuwe marufuku pia au Mke kupiga mume..no excuse.Chunguza kwanza hao watoto wanaosoma shule za kata, halafu utakuja kuona ni kwa namna gani walimu wanapambana kuwatengenezea njia ya mafanikio kwa shida na taabu nyingi.
Kiufupi watoto wengi hawana adabu, kutokana na malezi mabovu kutoka kwa wazazi wao wa dotcom.
Ifike mahala hawa jamaa wawe wanafungwa mambo gani haya katika jamii iliyostaarabika?Mtu unamuona anamchapa mtoto sana au anapitiliza ! Kwanini huo muda wa kumrekodi usitumie kumnyang'anya fimbo huyo mwalimu?
Ili asimuumize mtoto !! Serikali iwe inawafukuza hata wanaorekodi ! Jifunzeni kuonyana na kuelemishana nyie kwa nyie.
Yaani kama una uwezo wa kushuhudia na kurekodi mtoto anapigwa hivyo , maana yake hata wewe ni katili unamrekodi katili mwenzio.
Huku mtandaoni tumewachoka ! Kila siku nyie kurekodiana tu au ndo fashion Walimu
Mpigaji hana shida vipi?Swala hapo ni kukemea adhabu za kikatili kama hiyo bila kujali kama kuna mtu karekodi ama laa ifike mahala haya maswala yakewe kwa nguvu zoteWalimu was Kizazi kipya na wanafunz wa dot com.
Huwez ukamrekodi mwenzio unakuaa unahatarisha kazi yake.
Huwezi ukaacha kuongea tukasikia hapo .. mwambie aache, amchape vi3 tu. Na azungumze na mtoto( amshauri)
Huwezi Kaa ukirekodi, location yako inaonekana, side uliuokaa kwamba hutajulikana. Yaani wewe mchukua video ni abunuasi ..halafu haka ni kadada.
Mwanaume hawez fanya huo upuuzi.
NB.
Hii shule inajitahidi kuomdoa sifuri. Jitahidi I kubaini walimu wapuuz kama mrekodi hii clip.
Walimu wachache mnaangushana huyo mwalimu namlaani Sana na ataishia pabaya. Huyu mrekodi picha. Moigaji Sina shida naye. Watoto hamueajui vzr.. tatizo mchapaji hafuati utaratibu
Hakuna ugomvi hapo,ujumbe uwafikie wahusika hii kitu ipigwe marufuku,try to feel pity for those kids,wana nyama na ngozi kama wewe,teachers must be friends,sio kuwa adui..Inawezekana baadhi ya balozi za nnje zikaona na kuingilia kati ili kuwasaidia hawa watoto.Kama waalimu waligombana staff athari yake ndio hiyo