DOKEZO VIDEO: Wazazi angalieni Walimu Shule ya Sekondari Majaliwa

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Fucking life circulation
You never stay strong in fucking peoples

Aliye record ni mjinga
Aliyepost mjinga
Wanafunzi wajinga
Wazazi wajinga the same
Na wewe Pimbi,unashindwa kusema nini kifanyike unaonesha upuuzi wako,unajuwa mangapi yanatokea na huyaoni pimbi wewe?? Lengo ujumbe uwafikie wenye mamlaka ili hii hali istop, ficha upuuzi wako.
 
Hisia mgando hujui umri na mazingira ya alie record. Hii hali ipo Tanzania nzima,kumbuka na yeye recordr anawatoto wanasoma shule tofauti asingependa yawatokee haya,hujalengwa wewe muuza mahindi ya kuchoma hapa, wenye mamlaka wakiona labda itawaingia imani waondoe hizi adhabu.
 
Na wewe Pimbi,unashindwa kusema nini kifanyike unaonesha upuuzi wako,unajuwa mangapi yanatokea na huyaoni pimbi wewe?? Lengo ujumbe uwafikie wenye mamlaka ili hii hali istop, ficha upuuzi wako.
Nakufatilia Muda sio mrefu utajua unamtukana Nani utakuwa mfano
 
Kwanza mimi nisingechapwa nisingekuwa nilipo
Hii ni dhana mbaya sana kuitumia.
Si kila mabadiliko yanahitaji adhabu ya fimbo.
Na mbaya zaidi, walimu wengi wanatumia hiyo dhana. Kwakuwa wao walieleshwa kwa adhabu ya fimbo basi wanaamini na wanaowafundisha sasa wataelewa kwa fimbo.

Na huenda ndio maana wengi wao wana msongo wa mawazo. Wanalipizia kwa wanafunzi. Adhabu itolewe kwa kujali utu.
 
Umnyang'anye fimbo mwendawazimu lunatic utaweza!! Bora kurekodi ushahidi upatikane. Walimu wengi wana matatizo ya afya ya akili na kufuata mishahara siyo kupenda kazi, waendelee kurekodi ili wahalifu wapatikane na ushahidi uwepo bila kurekodi no evidence, anayekataa kurekodi anaficha uovu usifichuliwe
 
Kazi kwelikweli kizazi cha Nyerere hiki kumbuka alie record anawatoto wanasome somewhere na asingependa hii kitu iwatokee...kuhusu kazi ndio unaona ya msingi kwako wewe mzee you don't put yourself in shoes of this children's...wewe ungekuwa na maisha mazuri ungekuwa na huruma kwa hao watoto sio kumtetea mwalimu..
 
Wachache wanaliona hili May Allah bless you brother.
 
Na sio tu somewhere, sometimes wako hapo hapo, ila wanavumilia tu.

Wakati mwingine wakati wa kuadhibiwa wanatoka nje. Utakuta kosa lenyewe la kawaida tu ambalo unaweza kutumia zaidi ushauri.

Na wanafunzi wakizoea fimbo yaani wanakuwa kam mang'ombe au punda, hawafanyi chochote hadi wastuliwe na kiboko.
 
Chunguza kwanza hao watoto wanaosoma shule za kata, halafu utakuja kuona ni kwa namna gani walimu wanapambana kuwatengenezea njia ya mafanikio kwa shida na taabu nyingi.

Kiufupi watoto wengi hawana adabu, kutokana na malezi mabovu kutoka kwa wazazi wao wa dotcom.
 
Nakubaliana kabisa na wewe mkuu.
Wanafunzi wengi wa hizo shule wazazi wao ni waendesha boda au akina mama wajasiriamali ambao muda mwingi wanakuwa mbali na nyumbani. Na hivyo malezi ya watoto hutegemea zaid jamii wanayoishi nayo.

Hivyo basi, adhabu ya viboko sio suluhisho. Badala yake zitafutwe mbinu sahihi za kubadilisha mienendo ya watoto hao kwa mstakabali wa kizazi cha sasa na baadae. Ama sivyo, watazidi tu kujenga chuki kati walimu na wanafunzi
 
Walimu mnashindwaje kutoa product moja matata sana isijesahulika na taifa yani hamchapi wala hamtukani wala kukemea yani hamjali kwa chochote tupate majinga, malaya, majizi ya taifa kwa awamu moja tu flani iv special
Ingekuwa kutochapa ni ku produce watu wajinga basi Europe wangekuwa mazuzu hata hiyo simu unatumia ingetengenezwa na wabongo. Wanaochapwa ondowa miwani ya mbao nduguyangu,huwezi kutembea kwavile huruhusiwi hata kumilki passport, hebu Google uone how school looks like kwa wenye akili,Huna mtoto sawa je huwezi hata kusikia uchungu wa wenzio??
 
Wazazi walindeni waoto wenu, mtotot akikushitakia lala mbele na mwalimu mhusika. Kwa sasa hatuna walimu, ni takataka za kutesa watoto. Chukueni sheria mkononi mnusuru watoto wenu! Serikali does not care , wanusuru watoto wenu!
Wanakuambia mchukue mtoto wako nenda naye nyumbani, Mara bod ya shule imemfukuza shule, ili uwabembeleze Kama unatafuta kazi kwao.
 
Walimu tupo nyuma yenu msiache kuwanyoosha ao watoto wasiojitambua dawa ya mjinga ni kiboko huyu mtoa Mada ni mpumbavu tu watoto hawana Adabu wanafanya ngono darasani then mnataka mwalimu aawaangalie
 
Unaamini kabisa uchapaji huo huyo mwalimu anamapenzi na hao watoto ??? Kwa hali kama hiyo upo uwezekano wa mtoto kupenda shule?? Unajuwa kama watoto Europe wanachukia shule zikifungwa na kufurahiya zikifunguliwa?? Fimbo zipigwe marufuku kupiga mke kuwe marufuku pia au Mke kupiga mume..no excuse.
 
Ifike mahala hawa jamaa wawe wanafungwa mambo gani haya katika jamii iliyostaarabika?
 
Mpigaji hana shida vipi?Swala hapo ni kukemea adhabu za kikatili kama hiyo bila kujali kama kuna mtu karekodi ama laa ifike mahala haya maswala yakewe kwa nguvu zote
 
Kama waalimu waligombana staff athari yake ndio hiyo
Hakuna ugomvi hapo,ujumbe uwafikie wahusika hii kitu ipigwe marufuku,try to feel pity for those kids,wana nyama na ngozi kama wewe,teachers must be friends,sio kuwa adui..Inawezekana baadhi ya balozi za nnje zikaona na kuingilia kati ili kuwasaidia hawa watoto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…