DOKEZO VIDEO: Wazazi angalieni Walimu Shule ya Sekondari Majaliwa

DOKEZO VIDEO: Wazazi angalieni Walimu Shule ya Sekondari Majaliwa

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Un maneno machafu sana ukifanikiwa wewe inatosha

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Usikute hata kufanikiwa kwenyewe hajafanikiwa. Ila kwa sababu mada inawahusu walimu, na yeye anajiona yuko juu yao. Maana kuna watu mpaka kesho wanafikiri walimu wote nchini ni maskini wa kipato, akili, fikra, nk! Jambo ambalo siyo sahihi hata kidogo.

Siku zote uwingi wao ndiyo unao waponza. Akifanya kosa mwalimu mmoja, basi walimu wote watahukumiwa kupitia hilo kosa.
 
Mwanao amekushinda hapo home ndo maana umemsukumia maporini huko boarding school...

Wacha afundwe..
Haya, we jifanye mbishi. Ukitimuliwa kazi usilie lie.

Mwenzako wa bukoba ananyea debe muda huu. Kaua mwanafunzi kijinga kwa masifa.

Siku unapiga mtoto marungu anakufa unabaki kujinyea nyea!
 
M ndoningekujua wew punguani unayeona maovu alafu unaishia kurekodi yan kurekodi umeona n kitu cha maana Sana pumbavu kabisa wabongo machanjo yanatusumbua afya ya akili mwalimu chizi na anayerokod chiz
 
Safi sana Nkuu, maana matoto yenyewe baba na mama zao ndio Hawa wanaolialia hapa, kwa nini ujisumbue
Waache wavute bangi wakawapiga ngwara baba zao na kuwakaba mama zao
Na siku zote walimu wanatakiwa kuacha kujishughulisha na watoto wa kizazi cha sasa. Walimu wangetumia muda wao mwingi kwenye kufundisha, na pia kwenye kujiongezea kipato nje ya muda wa kazi. Litoto limeelewa, halijaelewa! Shauri yake!

Wanatakiwa ku work under minimum stress! Mwisho wa mwezi chukua mshahara wao, maisha yanaendelea.
Kisa na mkasa cha kuhangaika na mtoto wa mtu!! Huna watoto wako wa kusimamia maadili yao? Unamuadhibu mtoto wa mtu, mwisho wa siku unaishia tu kunyanyapaliwa, kutishwa, kufukuzwa kazi, kufungwa, nk!! Hovyo kabisa.
 
Nilichopenda jamaa anachapa makalioni hatumii ngumi Wala nn? Hiv ushawahi kupigwa na afande ww au Kwa sababu huwa hawarecord?
 
Na siku zote walimu wanatakiwa kuacha kujishughulisha na watoto wa kizazi cha sasa. Walimu wangetumia muda wao mwingi kwenye kufundisha, na pia kwenye kujiongezea kipato nje ya muda wa kazi. Litoto limeelewa, halijaelewa! Shauri yake!

Wanatakiwa ku work under minimum stress! Mwisho wa mwezi chukua mshahara wao, maisha yanaendelea.
Kisa na mkasa cha kuhangaika na mtoto wa mtu!! Huna watoto wako wa kusimamia maadili yao? Unamuadhibu mtoto wa mtu, mwisho wa siku unaishia tu kunyanyapaliwa, kutishwa, kufukuzwa kazi, kufungwa, nk!! Hovyo kabisa.
Zamani mtoto alikua ni Mali ya jamii, akizingua atakanywa kwa namna inavyofaa na mwanajamii yeyote na akirudi nyumbani pia atakiona, mwalimu alikua anaheshimiwa kama mzazi na kiungo muhimu kwenye jamii, hakuishia kufundisha pekee
Sasa hiki Kizazi cheti cha baba mvaa cheni na mtoboa pua, mama mpaka bleach, mtoto anaitwa Junior ambae akifinywa kwa kutukana inakua nongwa dawa ni kuachana nao.
Mwalimu afundishe, saa tisa ikifika ajirudie zake nyumbani asijipe sonona Bure maana mshahara wenyewe hata tar 15 haufiki
 
M ndoningekujua wew punguani unayeona maovu alafu unaishia kurekodi yan kurekodi umeona n kitu cha maana Sana pumbavu kabisa wabongo machanjo yanatusumbua afya ya akili mwalimu chizi na anayerokod chiz
Do something dadayangu usiishie kulaumu alie record ni miongoni mwa walimu tena ni mpya hapo shuleni ameweka jina la shule hivi wabongo mbona wajinga kiasi hiki??? Sasa akimstopisha huyo au asingetuma ndio ingezuia hii kitu Tanzania nzima bule kabisa wewe dada.
 
Unajifanya una uchungu na maadili mwenyewe!

We umiza mtoto wa mtu ushughulikiwe na hata hicho kibarua utapoteza pia.

Ukijifanya mjuzi utashughulikiwa tu.

Fanya yanayokuhusu, mengine achana nayo. FUNDISHA, RUDI NYUMBANI.

Usijifanye polisi wa maadili utajiponza. Hakuna aliyewahi kufanikiwa katika hilo.
Kwa kizazi hiki cha kina baba wavaa milegezo,sikushangai kwa comment yako ya kijinga

Sababu hata nywele mmeshindwa kuchana!
 
Huu upuuzi utaisha lini lakini....

Why this!?? Kwanini tunarekodi... Kwanini tusheee....
Sasa iwe hukohuko watu wasione sio,hawa ni helpless they need your help, mwafrica haoni uchungu kama sio ndugu yake au mwanae,wewe angekuwa mwanao huyu ungechukuwa hatuwa badala ya kuona upuuzi..humu kuna mataifa ya nnje yanaona pia mabalozi nk in case wataona hao watoto watapata msaada...na wewe subiri itokee kwa mwanao ili ndio uone huruma.
 
Mtu unamuona anamchapa mtoto sana au anapitiliza ! Kwanini huo muda wa kumrekodi usitumie kumnyang'anya fimbo huyo mwalimu?

Ili asimuumize mtoto !! Serikali iwe inawafukuza hata wanaorekodi ! Jifunzeni kuonyana na kuelemishana nyie kwa nyie.

Yaani kama una uwezo wa kushuhudia na kurekodi mtoto anapigwa hivyo , maana yake hata wewe ni katili unamrekodi katili mwenzio.

Huku mtandaoni tumewachoka ! Kila siku nyie kurekodiana tu au ndo fashion Walimu
NI UJINGA KUMFUKUZA WHISTLE BLOWER! ukiona kamrekodi ujue hata yeye hajapendezwa na hayo yanayofanyika! huyu mwalimu apewe marufuku kuchapa! na apewe adhabu ya kuomba msamaha kwa wazazi wa watoto hao! huu sio upigaji ni unyama! sifa ya kwanza mwalimu ni kuwa rafiki wa mwanafunzi! no wonder wanafunzi wanauaga walimu wakiwakuta mtaan huko
 
Wakipiga marufuku kupiga mashuleni,
Hata ukatili majumbani utapungua pia
Serikali ndio chanzo cha ukatili na wanashindwa kutoa maamuzi magumu

Huwezi kusema tu tutaliangalia
PM hana maamuzi peke yake ni lazima lijadiliwe kwa upana

Kila leo tunasikia ooh nchi ya Amani lakini kuna ukatili zaidi ya nchi zenye vita
Mara baba kamlawiti mwanae, wanawalawiti na watoto wanashindwa kusema kwa sababu na shule wakienda wakishindwa kujibu wanachapwa na hao wapumbavu badala ya kumuuliza mtoto nini kinachokusibu mpaka unakuwa mnyonge hivyo?

Mwalimu hana ukaribu na mwanafunzi anamuona kama adui yaani kama mfungwa na gereza au mgonjwa na nesi au doctor yaani wote wamoja

Hii ni kwa sababu hatuongei kwa kutaka kujua tatizo na kutatua bali ni matusi, kufoka, adhabu na fimbo na hata kuuwa kabisa

Poleni sana kama hamtabadilika mtaishi kama wanyama tu
💯 per
Wakipiga marufuku kupiga mashuleni,
Hata ukatili majumbani utapungua pia
Serikali ndio chanzo cha ukatili na wanashindwa kutoa maamuzi magumu

Huwezi kusema tu tutaliangalia
PM hana maamuzi peke yake ni lazima lijadiliwe kwa upana

Kila leo tunasikia ooh nchi ya Amani lakini kuna ukatili zaidi ya nchi zenye vita
Mara baba kamlawiti mwanae, wanawalawiti na watoto wanashindwa kusema kwa sababu na shule wakienda wakishindwa kujibu wanachapwa na hao wapumbavu badala ya kumuuliza mtoto nini kinachokusibu mpaka unakuwa mnyonge hivyo?

Mwalimu hana ukaribu na mwanafunzi anamuona kama adui yaani kama mfungwa na gereza au mgonjwa na nesi au doctor yaani wote wamoja

Hii ni kwa sababu hatuongei kwa kutaka kujua tatizo na kutatua bali ni matusi, kufoka, adhabu na fimbo na hata kuuwa kabisa

Poleni sana kama hamtabadilika mtaishi kama wanyama tu
Umeongea ukwel mtupu mtupu,n.
Wakipiga marufuku kupiga mashuleni,
Hata ukatili majumbani utapungua pia
Serikali ndio chanzo cha ukatili na wanashindwa kutoa maamuzi magumu

Huwezi kusema tu tutaliangalia
PM hana maamuzi peke yake ni lazima lijadiliwe kwa upana

Kila leo tunasikia ooh nchi ya Amani lakini kuna ukatili zaidi ya nchi zenye vita
Mara baba kamlawiti mwanae, wanawalawiti na watoto wanashindwa kusema kwa sababu na shule wakienda wakishindwa kujibu wanachapwa na hao wapumbavu badala ya kumuuliza mtoto nini kinachokusibu mpaka unakuwa mnyonge hivyo?

Mwalimu hana ukaribu na mwanafunzi anamuona kama adui yaani kama mfungwa na gereza au mgonjwa na nesi au doctor yaani wote wamoja

Hii ni kwa sababu hatuongei kwa kutaka kujua tatizo na kutatua bali ni matusi, kufoka, adhabu na fimbo na hata kuuwa kabisa

Poleni sana kama hamtabadilika mtaishi kama wanyama tu
Ukweli mtupu na inaoneka upo nnje ya bongo,walio bongo wanaishia kulaumu hapa tu,either kwa mleta post kwanini kaileta,hawaoni huu ni unyama kama ulivoufafanuwa.
 
Dah

Ukatili, Vitisho, Mateso, Adhabu kinaweza kuwa chanzo cha kumharibu mtoto badala ya kumjenga.

Fimbo itumike kwa mpangilio na kiasi
Zifutwe kabisa mwalimu anatakiwa awe rafiki wa mwanafunzi sio Adui kama ilivo hii leo.
 
Sasa nimeamini adui namba 1 wa mwalimu, ni mwalimu mwenzake. Sijaona mantiki ya kurekodi hizo videos na kuziweka mtandaoni.

Ilikuwa ni rahisi tu kwa mwalimu kumshauri mwalimu mwenzake kuacha kutoa adhabu iliyopitiliza kwa mwanafunzi. Na kama hashauriki, bado kuna uongozi wa shule! Vikao vya staff, nk. Ifikie wakati baadhi ya walimu waache mambo ya kitoto.
Baadhi ya walimu hawajitambui .kwanini wanachomeana utambi?
 
Back
Top Bottom