DOKEZO VIDEO: Wazazi angalieni Walimu Shule ya Sekondari Majaliwa

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Hakika, miaka 5 nyuma mtoto wa dada angu alirudi kutoka shule ana bonge la nundu usoni mama yake akamuuliza umekuwaje akasema mwalimu kanichapa halafu akanipiga teke nikaenda kujigonga ukutani,,, weee dada yangu mashetani yalimpanda akaita bajaji hao tukaenda mpka shule ugomvi uliozuka huko mwalimu alijuta Kimjua huyo mwanafunzi na hakuwahi kurudia kumchapa tena hata kwa mfano.
 
Halafu sasa mwalimu anaapply nguvu ya kutosha kwa mtoto mdogo !! Wanaadhibu kupitiliza
 
Adui wa Mtanzania ni Mtanzania mwenzake.

Aliyerekodi kafanya sahihi kabisa

Tukiendekeza kumezeana ipo siku watoto watauliwa mashuleni
 
Hata hao wanaorekodi video serikali iwafukuze kazi , yan ikivuja waanze na aliyeshika camera .
Naona watu wanawatetea eti ni whistleblower wasifukuzwe kazi ! Yan mtu upo tayari kurekodi mtu anaungua moto labda kutokana shoti za umeme zilizotokana na Uzembe wa Tanesco eti badala ya kwenda kumuokoa mtu (ni mfano) au barabara mbovu gari imepinduka uko busy kurekodi eti oneni uzembe wa serikali , barabara zina mashimo badala usaidie kisa unataka watanzania na viongozi wakubwa wakubwa waone !! Video itrend.

Walimu wasituaminishe kwamba hawawezi kuzuiana wao kwa wao hizi tabia za kuadhibu kupitiliza watoto eti mwalimu mwenzako hatakusikiliza wakati kuna viongozi wa shule wapo hapo haiwezekani walimu wote shule nzima wasupport kupiga watoto kikatili ! Ikishindikana kuna kamati ya shule !! Ikishindikana kuna vikao vya wazazi !! Umeshindwa kuwa whistleblower kwa wakuu wako wa kazi kuna Maafisa Elimu nenda useme tatizo lako ! Unataka privacy kuna Sanduku la maoni shuleni hamasisha wanafunzi waweke maoni kuhusu mwalimu anayepiga kupitiliza. Hizi njia zote mwalimu mkorofi akiendeleza kuumiza watoto anakua ana Bipolar
 
Kiujumla ninyi mnaorusha hizi video hamfikirii vyema. Nasema hivi kwa sababu zifuatazo:
1. Kuna sababu gani ya kuzirusha mtandaoni wakati mnakuwa na nafasi kubwa ya kumkemea huyo mchapaji?
2. Je mna chuki binafsi na mchapaji
3. Lengo lenu ni kufikisha ujumbe upi na kwa nani?
 
Viboko vipigwe marufuku shuleni
Kila mwanafunzi afaulu kwa uwezo wake
Jukumu la mwanafunzi kwenda shule liwe mzazi wake
 
Asiyetaka shule asilazimishwe
 
Hiyo mbona kawaida sana hiyo enzi zetu Amnaga na smart phone unapigwa na marungu sio fimbo ikafika mahali wanafunzi wakawa wanaenda na mapanga shuleni ubabe ubabe tu unyama kwa unyama mbona tulieshimiana tu
 
Hiyo mbona kawaida sana hiyo enzi zetu Amnaga na smart phone unapigwa na marungu sio fimbo ikafika mahali wanafunzi wakawa wanaenda na mapanga shuleni ubabe ubabe tu unyama kwa unyama mbona tulieshimiana tu
This is COGNITIVE DISSONANCE.

Wewe unaona ni sawa wanafunzi kubeba mapanga shuleni? Na kupigwa marungu?

Hapa kumbe tuna shida kubwa kuliko viboko!

Tatizo lipo vichwani!
 
Hii video haina tofauti na ile ya mzungu aliyempiga picha mtoto wa kiafrica ambaye alikua analiwa na ndege kama mzoga...Priority ilikua ni video sio kumuokoa huyo mtoto..hapa ndio tunaona vichwa vilivyojaa matope badala ya ubongo
Sio kwa ubaya ni hisia zangu tu
 
Fucking life circulation
You never stay strong in fucking peoples

Aliye record ni mjinga
Aliyepost mjinga
Wanafunzi wajinga
Wazazi wajinga the same
 
Dada yangu alie record kumbuka ana watoto pia wanasoma shule nyingine asingependa wapitie haya,kupoteza kazi sio issues chamsingi kwake huu ushenzi unawafikia wenye mamlaka na kuondoa hizi adhabu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…