Video ya kuogofya: Jambazi alivyopigwa risasi shingoni wakati alipovamia benki.

Video ya kuogofya: Jambazi alivyopigwa risasi shingoni wakati alipovamia benki.

Askari yuko njema aisee, katumia medani za kijeshi.
Jambalika hata halijilindi linaenda kindezi as if linadeal na mtoto mdogo asie na siraha, movie zimemuharibu.

Hawa dada zetu tipwatipwa tunaowakuta kama walinzi benki wanaweza hizi mbanga au nchi yetu ni ya amani wao kazi yao ni kama watu wa reception tu!!
 
Response ya Mlinzi ilikua very fast, kilichomsaidia ni kuwa at the right place with right tools and Right Mind, najaribu kuimagine hawa walinzi Bongo Darisalaam unamkuta kabeba kirungu, filimbi na smartphone kubwa anaangalia tiktok tungetoboa kweli ?
Majambazi bongo ukwamishwq na miundombinu
 
Askari yuko njema aisee, katumia medani za kijeshi.
Jambalika hata halijilindi linaenda kindezi as if linadeal na mtoto mdogo asie na siraha, movie zimemuharibu.

Hawa dada zetu tipwatipwa tunaowakuta kama walinzi benki wanaweza hizi mbanga au nchi yetu ni ya amani wao kazi yao ni kama watu wa reception tu!!
Jambazi Teja lishe duni,gun skills hana unategemea nini.
Bank haivamiwi na jambazi mmoja ni kuanzia watano wote wameshiba na wana AK.
 
Bank haivamiwi kichwa kichwa hivi! Lazima wawe zaidi ya 6 tena proffessionals wenye ujuzi mkubwa mf. wanajeshi wazoefu au wastaafu wenye skills za kutumia silaha tena silaha nzito nzito! unakuta kuna mastermind wa kuchora mchoro mahali safe ilipo, jinsi ya kufika, umbali, muda, kiasi cha pesa kilichopo kwa wakati specific n.k unakuta tukio linapigwa ndani ya 10 minutes haoo washasepa na mzigo! Na wanajua what's next aftermath.

Sasa huyo kajikuta kijogoo kashika kishort gun kashajikuta Rambo 😀😀😀
 
CCTV Crime News

View attachment 2951527

Mwisho wa Video ya pili utamuona namna alivyoingia benki kama mlemavu vile.

View attachment 2951544
................

Hii ilikuwa San Mateo, huko Maranhao, Brazil na huyu ndiye mhusika lakini alikufa.
Jina ni: Nilton César Silva Aguiar.

View attachment 2951517
....
Hapa aliingia Benki kama mlemavu

View attachment 2951556
.....
Hili hapa pigo la kwanza, askari alipigwa risasi ya kifua, bahati nzuri askari alikua amevalia bulletproof ya kuzuia risasi, hivyo haikumpiga

View attachment 2951561
....
Pigo la pili, askari alirudisha mapigo na kumpiga jambazi sehemu ya kifua.

View attachment 2951574
................
Baada ya jambazi kupigwa ya kifua akainama kisha akapigwa nyingine ya shingo

View attachment 2951596
........
Jambazi kipindi anapiga alikua akimsogelea askari, ndipo askari akainama chini ya meza ili afanye counter kumzungukia kwa nyuma, lakini jambazi lilisogea hadi usawa wa meza na likampiga askari risasi ya uti wa mgongo ili kumpa-paralysis. Ambapo hata hivyo haikumpata ila ilimchubua mkono wa kushoto.

View attachment 2951627

Jambazi alifia mlangoni kwa kuvuja damu shingoni. Baada ya jambazi kudondoka utawaona wahudumu wa benk wakikimbilia ndani na mlinzi akirudi ulingoni. Kwa hivyo Hakufa wala kujeruhika mtu, ispokua mlinzi ilimchuna mkono wa kushoto.
....
Jambazi alifanikiwa kukwepa hatua za usalama za benki kwa kutumia sahani ya chuma kwenye mguu wake kama mlemavu wa mguu wa kushoto ili kuweza kuingia ndani na bunduki bila kulazimika kupitia mlango mkuu wa ukaguzi.
Brazili ni moja ya nchi hatari sana
 
CCTV Crime News

View attachment 2951527

Mwisho wa Video ya pili utamuona namna alivyoingia benki kama mlemavu vile.

View attachment 2951544
................

Hii ilikuwa San Mateo, huko Maranhao, Brazil na huyu ndiye mhusika lakini alikufa.
Jina ni: Nilton César Silva Aguiar.

View attachment 2951517
....
Hapa aliingia Benki kama mlemavu

View attachment 2951556
.....
Hili hapa pigo la kwanza, askari alipigwa risasi ya kifua, bahati nzuri askari alikua amevalia bulletproof ya kuzuia risasi, hivyo haikumpiga

View attachment 2951561
....
Pigo la pili, askari alirudisha mapigo na kumpiga jambazi sehemu ya kifua.

View attachment 2951574
................
Baada ya jambazi kupigwa ya kifua akainama kisha akapigwa nyingine ya shingo

View attachment 2951596
........
Jambazi kipindi anapiga alikua akimsogelea askari, ndipo askari akainama chini ya meza ili afanye counter kumzungukia kwa nyuma, lakini jambazi lilisogea hadi usawa wa meza na likampiga askari risasi ya uti wa mgongo ili kumpa-paralysis. Ambapo hata hivyo haikumpata ila ilimchubua mkono wa kushoto.

View attachment 2951627

Jambazi alifia mlangoni kwa kuvuja damu shingoni. Baada ya jambazi kudondoka utawaona wahudumu wa benk wakikimbilia ndani na mlinzi akirudi ulingoni. Kwa hivyo Hakufa wala kujeruhika mtu, ispokua mlinzi ilimchuna mkono wa kushoto.
....
Jambazi alifanikiwa kukwepa hatua za usalama za benki kwa kutumia sahani ya chuma kwenye mguu wake kama mlemavu wa mguu wa kushoto ili kuweza kuingia ndani na bunduki bila kulazimika kupitia mlango mkuu wa ukaguzi.
Hilo jambazi linaonesha lilitumia madawa makali ya kulevya, maana kachapwa risasi lakini hakuhisi maumivu.
 
CCTV Crime News

View attachment 2951527

Mwisho wa Video ya pili utamuona namna alivyoingia benki kama mlemavu vile.

View attachment 2951544
................

Hii ilikuwa San Mateo, huko Maranhao, Brazil na huyu ndiye mhusika lakini alikufa.
Jina ni: Nilton César Silva Aguiar.

View attachment 2951517
....
Hapa aliingia Benki kama mlemavu

View attachment 2951556
.....
Hili hapa pigo la kwanza, askari alipigwa risasi ya kifua, bahati nzuri askari alikua amevalia bulletproof ya kuzuia risasi, hivyo haikumpiga

View attachment 2951561
....
Pigo la pili, askari alirudisha mapigo na kumpiga jambazi sehemu ya kifua.

View attachment 2951574
................
Baada ya jambazi kupigwa ya kifua akainama kisha akapigwa nyingine ya shingo

View attachment 2951596
........
Jambazi kipindi anapiga alikua akimsogelea askari, ndipo askari akainama chini ya meza ili afanye counter kumzungukia kwa nyuma, lakini jambazi lilisogea hadi usawa wa meza na likampiga askari risasi ya uti wa mgongo ili kumpa-paralysis. Ambapo hata hivyo haikumpata ila ilimchubua mkono wa kushoto.

View attachment 2951627

Jambazi alifia mlangoni kwa kuvuja damu shingoni. Baada ya jambazi kudondoka utawaona wahudumu wa benk wakikimbilia ndani na mlinzi akirudi ulingoni. Kwa hivyo Hakufa wala kujeruhika mtu, ispokua mlinzi ilimchuna mkono wa kushoto.
....
Jambazi alifanikiwa kukwepa hatua za usalama za benki kwa kutumia sahani ya chuma kwenye mguu wake kama mlemavu wa mguu wa kushoto ili kuweza kuingia ndani na bunduki bila kulazimika kupitia mlango mkuu wa ukaguzi.
kuna kazi zinahitaji kua jasiri kupindukia, makini zaidi, usitegee wala kuzembea au kua mvivu na mwenye huruma hata sekunde moja 🐒
 
CCTV Crime News

View attachment 2951527

Mwisho wa Video ya pili utamuona namna alivyoingia benki kama mlemavu vile.

View attachment 2951544
................

Hii ilikuwa San Mateo, huko Maranhao, Brazil na huyu ndiye mhusika lakini alikufa.
Jina ni: Nilton César Silva Aguiar.

View attachment 2951517
....
Hapa aliingia Benki kama mlemavu

View attachment 2951556
.....
Hili hapa pigo la kwanza, askari alipigwa risasi ya kifua, bahati nzuri askari alikua amevalia bulletproof ya kuzuia risasi, hivyo haikumpiga

View attachment 2951561
....
Pigo la pili, askari alirudisha mapigo na kumpiga jambazi sehemu ya kifua.

View attachment 2951574
................
Baada ya jambazi kupigwa ya kifua akainama kisha akapigwa nyingine ya shingo

View attachment 2951596
........
Jambazi kipindi anapiga alikua akimsogelea askari, ndipo askari akainama chini ya meza ili afanye counter kumzungukia kwa nyuma, lakini jambazi lilisogea hadi usawa wa meza na likampiga askari risasi ya uti wa mgongo ili kumpa-paralysis. Ambapo hata hivyo haikumpata ila ilimchubua mkono wa kushoto.

View attachment 2951627

Jambazi alifia mlangoni kwa kuvuja damu shingoni. Baada ya jambazi kudondoka utawaona wahudumu wa benk wakikimbilia ndani na mlinzi akirudi ulingoni. Kwa hivyo Hakufa wala kujeruhika mtu, ispokua mlinzi ilimchuna mkono wa kushoto.
....
Jambazi alifanikiwa kukwepa hatua za usalama za benki kwa kutumia sahani ya chuma kwenye mguu wake kama mlemavu wa mguu wa kushoto ili kuweza kuingia ndani na bunduki bila kulazimika kupitia mlango mkuu wa ukaguzi.
Askari alikua so sharp aisee!!
 
Back
Top Bottom