Video ya kuogofya: Jambazi alivyopigwa risasi shingoni wakati alipovamia benki.

Video ya kuogofya: Jambazi alivyopigwa risasi shingoni wakati alipovamia benki.

Kaka jambazi alikuwa na poor plan, hakuna namna angeweza ku acomplish mission yake hata kama angefanikiwa kuzipata pesa.

Kifaa alichokitumia sidhani kama kinahifadhi risasi 30 which means alikuwa na kazi kubwa ya kufanya kuhakikisha anatoka salama.

Labda kama alikuwa ni serious mental illness akaamua kujilipua kwa style hiyo.
 
CCTV Crime News

View attachment 2951527

Mwisho wa Video ya pili utamuona namna alivyoingia benki kama mlemavu vile.

View attachment 2951544
................

Hii ilikuwa San Mateo, huko Maranhao, Brazil na huyu ndiye mhusika lakini alikufa.
Jina ni: Nilton César Silva Aguiar.

View attachment 2951517
....
Hapa aliingia Benki kama mlemavu

View attachment 2951556
.....
Hili hapa pigo la kwanza, askari alipigwa risasi ya kifua, bahati nzuri askari alikua amevalia bulletproof ya kuzuia risasi, hivyo haikumpiga

View attachment 2951561
....
Pigo la pili, askari alirudisha mapigo na kumpiga jambazi sehemu ya kifua.

View attachment 2951574
................
Baada ya jambazi kupigwa ya kifua akainama kisha akapigwa nyingine ya shingo

View attachment 2951596
........
Jambazi kipindi anapiga alikua akimsogelea askari, ndipo askari akainama chini ya meza ili afanye counter kumzungukia kwa nyuma, lakini jambazi lilisogea hadi usawa wa meza na likampiga askari risasi ya uti wa mgongo ili kumpa-paralysis. Ambapo hata hivyo haikumpata ila ilimchubua mkono wa kushoto.

View attachment 2951627

Jambazi alifia mlangoni kwa kuvuja damu shingoni. Baada ya jambazi kudondoka utawaona wahudumu wa benk wakikimbilia ndani na mlinzi akirudi ulingoni. Kwa hivyo Hakufa wala kujeruhika mtu, ispokua mlinzi ilimchuna mkono wa kushoto.
....
Jambazi alifanikiwa kukwepa hatua za usalama za benki kwa kutumia sahani ya chuma kwenye mguu wake kama mlemavu wa mguu wa kushoto ili kuweza kuingia ndani na bunduki bila kulazimika kupitia mlango mkuu wa ukaguzi.
Ina takribani miaka miwili hii video, siyo ya jana wala leo
 
CCTV Crime News

View attachment 2951527

Mwisho wa Video ya pili utamuona namna alivyoingia benki kama mlemavu vile.

View attachment 2951544
................

Hii ilikuwa San Mateo, huko Maranhao, Brazil na huyu ndiye mhusika lakini alikufa.
Jina ni: Nilton César Silva Aguiar.

View attachment 2951517
....
Hapa aliingia Benki kama mlemavu

View attachment 2951556
.....
Hili hapa pigo la kwanza, askari alipigwa risasi ya kifua, bahati nzuri askari alikua amevalia bulletproof ya kuzuia risasi, hivyo haikumpiga

View attachment 2951561
....
Pigo la pili, askari alirudisha mapigo na kumpiga jambazi sehemu ya kifua.

View attachment 2951574
................
Baada ya jambazi kupigwa ya kifua akainama kisha akapigwa nyingine ya shingo

View attachment 2951596
........
Jambazi kipindi anapiga alikua akimsogelea askari, ndipo askari akainama chini ya meza ili afanye counter kumzungukia kwa nyuma, lakini jambazi lilisogea hadi usawa wa meza na likampiga askari risasi ya uti wa mgongo ili kumpa-paralysis. Ambapo hata hivyo haikumpata ila ilimchubua mkono wa kushoto.

View attachment 2951627

Jambazi alifia mlangoni kwa kuvuja damu shingoni. Baada ya jambazi kudondoka utawaona wahudumu wa benk wakikimbilia ndani na mlinzi akirudi ulingoni. Kwa hivyo Hakufa wala kujeruhika mtu, ispokua mlinzi ilimchuna mkono wa kushoto.
....
Jambazi alifanikiwa kukwepa hatua za usalama za benki kwa kutumia sahani ya chuma kwenye mguu wake kama mlemavu wa mguu wa kushoto ili kuweza kuingia ndani na bunduki bila kulazimika kupitia mlango mkuu wa ukaguzi.
Hatari fire , Brazil hiyo
Majitu yana roho ngumu huko balaa
 
Hyo ni style mpya ya kujiua, sio hadi mtu ajinyonge.
Si nilisikia wametengeneza mashine ya kujiua huku ukuienjoy? Ya nini kupata tabu?
IMG-20240328-WA0004.jpg
 
Bank haivamiwi kichwa kichwa hivi! Lazima wawe zaidi ya 6 tena proffessionals wenye ujuzi mkubwa mf. wanajeshi wazoefu au wastaafu wenye skills za kutumia silaha tena silaha nzito nzito! unakuta kuna mastermind wa kuchora mchoro mahali safe ilipo, jinsi ya kufika, umbali, muda, kiasi cha pesa kilichopo kwa wakati specific n.k unakuta tukio linapigwa ndani ya 10 minutes haoo washasepa na mzigo! Na wanajua what's next aftermath.

Sasa huyo kajikuta kijogoo kashika kishort gun kashajikuta Rambo 😀😀😀
Umeandika vizuri lkn ukiambiwa upractise hujui. Pengine hata bastola kuikamata hujui
 
Response ya Mlinzi ilikua very fast,
kilichomsaidia ni kuwa at the right place with right tools and Right Mind, najaribu kuimagine hawa walinzi Bongo Darisalaam unamkuta kabeba kirungu, filimbi na smartphone kubwa anaangalia tiktok tungetoboa kweli ?
Walinzi gani wa hapo Dar wanaolinda benki na kirungu? Ila jamaa kamlipua na damu zimemwagika sana. Aiseeee
 
Walinzi gani wa hapo Dar wanaolinda benki na kirungu? Ila jamaa kamlipua na damu zimemwagika sana. Aiseeee
Bank Nyingi sana walinzi waliopo ndani wanatumia virungu, Polisi ndio wanatumia Silaha ila wao wanakua nje ya Bank na sio ndani.
 
Kuna Mwanamke hapo nadhani ni mhudumu alikuwa anaelekea kule ndani yaani ni kama vile hajajua kinachoendelea maana sijamuona akishtuka wala kukimbia bali ameendelea na safari yake kwa mwendo ule ule wa awali! Lakini kuna kidume kachomoka na speed 180

Halafu kuna mhudumu alitaka kusimama akimbilie ndani huyu askari akamvuta kumrudisha kwenye zile meza muhudumu akatulia. Sasa kitendo kile cha askari kufanya vile sijui ni katika harakati za ukombozi wa raia au kujinusuru yeye! Bila shaka alikuwa anamnusuru yule mhudumu maana huenda angechapwa risasi
 
Back
Top Bottom