100 others
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 4,766
- 16,191
Hakuna cheo cha heshima kwa kaka jambaziKama movie vile.Hivi kwanini inapotumika neno jambazi inatamkwa "li" au "hayo"
Mfano; Jambazi hilo sugu alikamatwa....
Au
Majambazi hayo yalitokomea....
Kwanini sio jambazi huyo au hao? 😀
Majambazi bongo ukwamishwq na miundombinuResponse ya Mlinzi ilikua very fast, kilichomsaidia ni kuwa at the right place with right tools and Right Mind, najaribu kuimagine hawa walinzi Bongo Darisalaam unamkuta kabeba kirungu, filimbi na smartphone kubwa anaangalia tiktok tungetoboa kweli ?
Jambazi Teja lishe duni,gun skills hana unategemea nini.Askari yuko njema aisee, katumia medani za kijeshi.
Jambalika hata halijilindi linaenda kindezi as if linadeal na mtoto mdogo asie na siraha, movie zimemuharibu.
Hawa dada zetu tipwatipwa tunaowakuta kama walinzi benki wanaweza hizi mbanga au nchi yetu ni ya amani wao kazi yao ni kama watu wa reception tu!!
Angeweza ila alikosa mipango thabiti hasa akiingia ndani afanye nini.Jambazi Teja lishe duni,gun skills hana unategemea nini.
Bank haivamiwi na jambazi mmoja ni kuanzia watano wote wameshiba na wana AK.
Ni wizi wa kujinga, hivi unatokaje hapo unaweza kumaliza walinzi wote na mji mzima?Kumbe wizi wa bank kwa kutumia silaha bado upo.!
Brazili ni moja ya nchi hatari sanaCCTV Crime News
View attachment 2951527
Mwisho wa Video ya pili utamuona namna alivyoingia benki kama mlemavu vile.
View attachment 2951544
................
Hii ilikuwa San Mateo, huko Maranhao, Brazil na huyu ndiye mhusika lakini alikufa.
Jina ni: Nilton César Silva Aguiar.
View attachment 2951517
....
Hapa aliingia Benki kama mlemavu
View attachment 2951556
.....
Hili hapa pigo la kwanza, askari alipigwa risasi ya kifua, bahati nzuri askari alikua amevalia bulletproof ya kuzuia risasi, hivyo haikumpiga
View attachment 2951561
....
Pigo la pili, askari alirudisha mapigo na kumpiga jambazi sehemu ya kifua.
View attachment 2951574
................
Baada ya jambazi kupigwa ya kifua akainama kisha akapigwa nyingine ya shingo
View attachment 2951596
........
Jambazi kipindi anapiga alikua akimsogelea askari, ndipo askari akainama chini ya meza ili afanye counter kumzungukia kwa nyuma, lakini jambazi lilisogea hadi usawa wa meza na likampiga askari risasi ya uti wa mgongo ili kumpa-paralysis. Ambapo hata hivyo haikumpata ila ilimchubua mkono wa kushoto.
View attachment 2951627
Jambazi alifia mlangoni kwa kuvuja damu shingoni. Baada ya jambazi kudondoka utawaona wahudumu wa benk wakikimbilia ndani na mlinzi akirudi ulingoni. Kwa hivyo Hakufa wala kujeruhika mtu, ispokua mlinzi ilimchuna mkono wa kushoto.
....
Jambazi alifanikiwa kukwepa hatua za usalama za benki kwa kutumia sahani ya chuma kwenye mguu wake kama mlemavu wa mguu wa kushoto ili kuweza kuingia ndani na bunduki bila kulazimika kupitia mlango mkuu wa ukaguzi.
Hilo jambazi linaonesha lilitumia madawa makali ya kulevya, maana kachapwa risasi lakini hakuhisi maumivu.CCTV Crime News
View attachment 2951527
Mwisho wa Video ya pili utamuona namna alivyoingia benki kama mlemavu vile.
View attachment 2951544
................
Hii ilikuwa San Mateo, huko Maranhao, Brazil na huyu ndiye mhusika lakini alikufa.
Jina ni: Nilton César Silva Aguiar.
View attachment 2951517
....
Hapa aliingia Benki kama mlemavu
View attachment 2951556
.....
Hili hapa pigo la kwanza, askari alipigwa risasi ya kifua, bahati nzuri askari alikua amevalia bulletproof ya kuzuia risasi, hivyo haikumpiga
View attachment 2951561
....
Pigo la pili, askari alirudisha mapigo na kumpiga jambazi sehemu ya kifua.
View attachment 2951574
................
Baada ya jambazi kupigwa ya kifua akainama kisha akapigwa nyingine ya shingo
View attachment 2951596
........
Jambazi kipindi anapiga alikua akimsogelea askari, ndipo askari akainama chini ya meza ili afanye counter kumzungukia kwa nyuma, lakini jambazi lilisogea hadi usawa wa meza na likampiga askari risasi ya uti wa mgongo ili kumpa-paralysis. Ambapo hata hivyo haikumpata ila ilimchubua mkono wa kushoto.
View attachment 2951627
Jambazi alifia mlangoni kwa kuvuja damu shingoni. Baada ya jambazi kudondoka utawaona wahudumu wa benk wakikimbilia ndani na mlinzi akirudi ulingoni. Kwa hivyo Hakufa wala kujeruhika mtu, ispokua mlinzi ilimchuna mkono wa kushoto.
....
Jambazi alifanikiwa kukwepa hatua za usalama za benki kwa kutumia sahani ya chuma kwenye mguu wake kama mlemavu wa mguu wa kushoto ili kuweza kuingia ndani na bunduki bila kulazimika kupitia mlango mkuu wa ukaguzi.
Hyo ni style mpya ya kujiua, sio hadi mtu ajinyonge.Ni wizi wa kujinga, hivi unatokaje hapo unaweza kumaliza walinzi wote na mji mzima?
kuna kazi zinahitaji kua jasiri kupindukia, makini zaidi, usitegee wala kuzembea au kua mvivu na mwenye huruma hata sekunde moja 🐒CCTV Crime News
View attachment 2951527
Mwisho wa Video ya pili utamuona namna alivyoingia benki kama mlemavu vile.
View attachment 2951544
................
Hii ilikuwa San Mateo, huko Maranhao, Brazil na huyu ndiye mhusika lakini alikufa.
Jina ni: Nilton César Silva Aguiar.
View attachment 2951517
....
Hapa aliingia Benki kama mlemavu
View attachment 2951556
.....
Hili hapa pigo la kwanza, askari alipigwa risasi ya kifua, bahati nzuri askari alikua amevalia bulletproof ya kuzuia risasi, hivyo haikumpiga
View attachment 2951561
....
Pigo la pili, askari alirudisha mapigo na kumpiga jambazi sehemu ya kifua.
View attachment 2951574
................
Baada ya jambazi kupigwa ya kifua akainama kisha akapigwa nyingine ya shingo
View attachment 2951596
........
Jambazi kipindi anapiga alikua akimsogelea askari, ndipo askari akainama chini ya meza ili afanye counter kumzungukia kwa nyuma, lakini jambazi lilisogea hadi usawa wa meza na likampiga askari risasi ya uti wa mgongo ili kumpa-paralysis. Ambapo hata hivyo haikumpata ila ilimchubua mkono wa kushoto.
View attachment 2951627
Jambazi alifia mlangoni kwa kuvuja damu shingoni. Baada ya jambazi kudondoka utawaona wahudumu wa benk wakikimbilia ndani na mlinzi akirudi ulingoni. Kwa hivyo Hakufa wala kujeruhika mtu, ispokua mlinzi ilimchuna mkono wa kushoto.
....
Jambazi alifanikiwa kukwepa hatua za usalama za benki kwa kutumia sahani ya chuma kwenye mguu wake kama mlemavu wa mguu wa kushoto ili kuweza kuingia ndani na bunduki bila kulazimika kupitia mlango mkuu wa ukaguzi.
SA Durban ikionekana Ile gari ya kusafirisha hela hapo ujue umetangaza vita mtaa utafungwa zitatembea risasi hatari Cha msingi ionekane tu
Askari alikua so sharp aisee!!CCTV Crime News
View attachment 2951527
Mwisho wa Video ya pili utamuona namna alivyoingia benki kama mlemavu vile.
View attachment 2951544
................
Hii ilikuwa San Mateo, huko Maranhao, Brazil na huyu ndiye mhusika lakini alikufa.
Jina ni: Nilton César Silva Aguiar.
View attachment 2951517
....
Hapa aliingia Benki kama mlemavu
View attachment 2951556
.....
Hili hapa pigo la kwanza, askari alipigwa risasi ya kifua, bahati nzuri askari alikua amevalia bulletproof ya kuzuia risasi, hivyo haikumpiga
View attachment 2951561
....
Pigo la pili, askari alirudisha mapigo na kumpiga jambazi sehemu ya kifua.
View attachment 2951574
................
Baada ya jambazi kupigwa ya kifua akainama kisha akapigwa nyingine ya shingo
View attachment 2951596
........
Jambazi kipindi anapiga alikua akimsogelea askari, ndipo askari akainama chini ya meza ili afanye counter kumzungukia kwa nyuma, lakini jambazi lilisogea hadi usawa wa meza na likampiga askari risasi ya uti wa mgongo ili kumpa-paralysis. Ambapo hata hivyo haikumpata ila ilimchubua mkono wa kushoto.
View attachment 2951627
Jambazi alifia mlangoni kwa kuvuja damu shingoni. Baada ya jambazi kudondoka utawaona wahudumu wa benk wakikimbilia ndani na mlinzi akirudi ulingoni. Kwa hivyo Hakufa wala kujeruhika mtu, ispokua mlinzi ilimchuna mkono wa kushoto.
....
Jambazi alifanikiwa kukwepa hatua za usalama za benki kwa kutumia sahani ya chuma kwenye mguu wake kama mlemavu wa mguu wa kushoto ili kuweza kuingia ndani na bunduki bila kulazimika kupitia mlango mkuu wa ukaguzi.