Kiufupi watu wa CCTV wametupiga na kitu kizito kichwani😂Nimeifatilia kwa umakini Sana hii video,lakini sioni uhalisia wake kwa kutumia vigezo vifuatavyo:-
1. Uchawi una kanuni na mashariti mengi sana,moja yawo ya mashariti ya uchawi ni kuwanga huku ukiwa uchi/ nusu uchi hii ikiwa ni Dhana ya kwamba
Tuanze na wewe, umewahi kutumia dawa ya kuwaona hao wanga??Believe me, wewe hapo ulipo tuchukulie nikupe ndawa ya kuwaona wangaa,huwezi waonona wakiyeyuka tena maana hapo inakuwa ni live,
Nenda Mbeya utapata wachawi wa kikristo wamejaa tele au geita kuna sehemu inaitwa gamboshi kuna wachawi wa kikristo kibao,, mana huko hakuna anaejua kitu kinachoitwa uislamPemba kule ndani ndani ili nipate walau hata uchawi wa kiislamu, lakini hakuna nilichopata.
Hiyo video imerekodiwa na simu wakati jamaa ana kagua matukio (video preview) ya picha kwenye camera alizofunga hapo ndipo atakutana na hilo tukio.
Achana na hizo TECNO na Infinix, jaribu kutumia Samsung na iPhone utanishukuru badaeHilo tatizo na Mimi ninalo pia
Editing, tena imefanywa na layman tu.Nimeiona hii video ya tukio lililotplea tarehe 4 ikimuonesha mchawi akiwanga, pia anaonekana live anapotea
teknolojia ya ku edit nayo imekuwa sana siwezi kuamini moja kwa moja
Khaaak...[emoji23]Kwakweli mimi nawahitaji sana wachawi na uchawi wao!
Niliwahi kwenda mpaka Pemba kule ndani ndani ili nipate walau hata uchawi wa kiislamu, lakini hakuna nilichopata.
Nikamtafuta mshana jr, badala anipe mwongozo wa kuupata huo uchawi, akawa ananiletea stori za kusema "mara ooh uchawi ni utumwa, mara hivi, mara vile"
Kwa ufupi akawa analeta uswahili.
Mpaka sasa nimeamua kutulia tu kama namba moja.
Nimepoteza matumaini ya kupata uchawi.
Nb, mimi ni mtu wa kigoma.
Kama Chief umenena ni nani wa kukubishia mkuu!Editing, tena imefanywa na layman tu.
Angalia hapo mahala mchawi anapotokea, kuna kama layer hivi inaziba na inacheza cheza then ndio anatokea. Halafu kuna effect kabisa ya kutokea japo wakati anaondoka wametoa tu frame bila kurudia ile effect.
Pili hio monitor bei yake mbaya sidhani kama kuna mtu anatumia kwa ajili ya display ya camera, hiyo ni monitor ya mtu anae edit video.
Japo umescreenshot lakini huoni huyo mtu amerekodi kwa simu toka kwenye surveillance screen!? what if hizo sauti ni wakati anachukua video kwa simu..
Mshanaaaa JrNimeiona hii video ya tukio lililotplea tarehe 4 ikimuonesha mchawi akiwanga, pia anaonekana live anapotea
teknolojia ya ku edit nayo imekuwa sana siwezi kuamini moja kwa moja
Najua uchawi upo maana nimewahi kukaa mitaa ambayo ikifika usiku kuna fujo zao zinafanya wengi walale kw wasiwasi ikiwemo kukimbia juu ya dari, mchanga kumwagwa kwenye bati, n,k. nilikosa ujasiri niliacha kodi.
uchawi upo lakin hii video ni kweli au?
Mshana Jr
hadi sasa nimewaza vitu kadhaa ila bado havina uzito
- kamera kucheza cheza - cctv hua haitikisiki lakini katika hii video inatikisika ni kwasababu imerekodiwa kwenye kioo cha computer kwa kutumia simu.
- muda ni saa 11 jioni lakini kuna giza - muda huo wa kwenye cctv unaweza ukawa haujasetiwa kuendana na muda halisi, huenda hakupatikana mtaalam anaejua kuseti muda, licha ya hivyo bado haizuii cctv kurekodi video, huenda muda halisi ni usiku wa manane na hata taa tumezoa kuwasha usiku na sio jioni.
View attachment 2009151
Kwenye Uislamu uchawi hauruhusiwi jpo kua wapo waislamu wanofanya ayo mambo ila jirekebishe kuita uchawi wa kiislamuKwakweli mimi nawahitaji sana wachawi na uchawi wao!
Niliwahi kwenda mpaka Pemba kule ndani ndani ili nipate walau hata uchawi wa kiislamu, lakini hakuna nilichopata.
Nikamtafuta mshana jr, badala anipe mwongozo wa kuupata huo uchawi, akawa ananiletea stori za kusema "mara ooh uchawi ni utumwa, mara hivi, mara vile"
Kwa ufupi akawa analeta uswahili.
Mpaka sasa nimeamua kutulia tu kama namba moja.
Nimepoteza matumaini ya kupata uchawi.
Nb, mimi ni mtu wa kigoma.
Alitakiwa aseme mwanga na si mchawi tofauti yao ya haraka mmoja hufanya shughuli zake akiwa na nguo na mwingine hufanya akiwa mtupuWangapi wenu washaona cctv camera inayotoa sauti yani inarecord audio na video????
Halafu huyu mchawi mbona kavaa nguo nyeupe wakati tunajua fika anatakiwa awe uchi au ajifunike na matambala meusi na mekundu!!!