Video ya mchawi/mwanga aliyekamatwa akiwanga ina ukweli?

Believe me, wewe hapo ulipo tuchukulie nikupe ndawa ya kuwaona wangaa,huwezi waonona wakiyeyuka tena maana hapo inakuwa ni live,
Tuanze na wewe, umewahi kutumia dawa ya kuwaona hao wanga??

Na kama uliwahi kuitumia uliajuaje kwamba ni ya ukweli na sio kilevi cha kukufanya uone kile akili inachotaka kuona??
 
Hiyo video imerekodiwa na simu wakati jamaa ana kagua matukio (video preview) ya picha kwenye camera alizofunga hapo ndipo atakutana na hilo tukio.

Kwa kifupi hizo ni video mbili kwa nyakati tofauti mfano "mtu anaangalia mpira kwenye TV halafu anachukua simu na kurekodi kipande cha tukio la mpira kama sehemu ya kumbukumbu ama kubishana na wenzake, hapo lazima kutakuwepo na sauti zingine nje ya sauti halisi ya TV, hata kama mtu akitukana itasikika tu na haitamaanisha hilo tukio sio la kweli eti kisa kuna sauti zisizohusika na tukio ama kucheza kwa picha hakutomaanisha hilo tukio sio la kweli maana atakuwa ameshika simu kwa mikono.

Hilo tukio ni la kweli na nijuavyo mimi Tekinolojia huwa haisemi uongo.
Ogopa sana tekinolojia popote pale ilipo na wewe ukawepo.
 
Hakuna kitu kama hicho. Ni uongo wa wazi na ujinga.

Hapo wauza CCTV Camera wametengeneza tukio wapige hela.

Kwanza Hakuna uchawi wala ulogi, ni ujinga tu wa watu.
 
Nimeiona hii video ya tukio lililotplea tarehe 4 ikimuonesha mchawi akiwanga, pia anaonekana live anapotea

teknolojia ya ku edit nayo imekuwa sana siwezi kuamini moja kwa moja
Editing, tena imefanywa na layman tu.

Angalia hapo mahala mchawi anapotokea, kuna kama layer hivi inaziba na inacheza cheza then ndio anatokea. Halafu kuna effect kabisa ya kutokea japo wakati anaondoka wametoa tu frame bila kurudia ile effect.

Pili hio monitor bei yake mbaya sidhani kama kuna mtu anatumia kwa ajili ya display ya camera, hiyo ni monitor ya mtu anae edit video.
 
Khaaak...[emoji23]

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Kama Chief umenena ni nani wa kukubishia mkuu!
 
Mshanaaaa Jr
 
Familia iliyorekodi tukio IPO na imenithibitishia tukio hilo kuwa lipo kweli na hiyo kumbukumbu IPO kwenye Camera zao. Ni Tabata Kisukuru
 
Wangapi wenu washaona cctv camera inayotoa sauti yani inarecord audio na video????

Halafu huyu mchawi mbona kavaa nguo nyeupe wakati tunajua fika anatakiwa awe uchi au ajifunike na matambala meusi na mekundu!!!
 
Kwenye Uislamu uchawi hauruhusiwi jpo kua wapo waislamu wanofanya ayo mambo ila jirekebishe kuita uchawi wa kiislamu
 
Wangapi wenu washaona cctv camera inayotoa sauti yani inarecord audio na video????

Halafu huyu mchawi mbona kavaa nguo nyeupe wakati tunajua fika anatakiwa awe uchi au ajifunike na matambala meusi na mekundu!!!
Alitakiwa aseme mwanga na si mchawi tofauti yao ya haraka mmoja hufanya shughuli zake akiwa na nguo na mwingine hufanya akiwa mtupu

Sent from my SM-N920P using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…