Video ya Rais wa Sudan Kusini akitokwa na haja ndogo yazua maswali kuhusu afya za viongozi

... sasa huyu ndio ka-demonstrate lively and vividly; sio Lowassa alisingiziwa na wabaya wake!
 
Nimeshindwa kuangalia video mara mbili. Ni fedheha kubwa sana, alipojiangalia sasa. Nami najiuliza hilo swali aliondokaje?
Ama walinzi walimzingira, kama kumficha?
... kwa jinsi ubongo wake ulivyokosa connection na viungo vingine including vya haja, the first sign aliyohisi ni joto kuongezeka miguuni ghafla ndio akawa anajitazama kuna nini. Hakujua lile joto limetoka mwilini mwake mwenyewe.
 
Hio video ilitakiwa kudhibitiwa haraka iwezekanavyo kutoka kwenye eneo la tukio ili kumtunzia mhusika heshima yake.
Na yeyote ambaye alithubutu kuisambaza video hyo alitakiwa kuchukuliwa hatua Kali za kisheria ili iwe funzo kwa wengine.

Ila hii fedheha nayo Ni mojawapo ya madhara ya tamaa za Madaraka na mamlaka.
 
Umri sio hoja sana kama katiba inaruhusu, na hii sio hapa Tanzania tu hata kwenye nchi zilizoendelea wapo viongozi wenye umri wa zaidi ya miaka 70, hoja ni afya njema.
 
Siyo mambo ya vipapai kweli??? Maana hata yeye kashangaa
 
... kwa jinsi ubongo wake ulivyokosa connection na viungo vingine including vya haja, the first sign aliyohisi ni joto kuongezeka miguuni ghafla ndio akawa anajitazama kuna nini. Hakujua lile joto limetoka mwilini mwake mwenyewe.
Alihisi kamwagiwa maji ya moto....
Hivi si wanavaaga ....kifuani wamesahau.......wamvalishe pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…