Video ya Rais wa Sudan Kusini akitokwa na haja ndogo yazua maswali kuhusu afya za viongozi

Huo unabii amepewa na nani? na ushahidi kuwa hiyo jumuiyya imeanziwa kwa amri ya allah uko wapi?.
 
Yaani sijui tunabishania nini, anyway haya.


Wewe unasema hali ya huyo Rais kitokwa na mkojo hadharani kwamba kadhalilika, mimi nasema hivi; kudhalilika kunategemea na mazingira, huyo Rais ni mgonjwa na ugonjwa huo ni maarufu sana hivyo jambo likimtokea mgonjwa kwa Sababu ya huo ugonjwa hapo hakuna udhalilifu kwasababu ni Ugonjwa ndio umesababisha jambo hilo, udhalilifu unakuja katika mazingira yasiyokuwa ya Ugonjwa mfano nikakupa kwamba kama huyo Raisi angekuwa kanywa pombe na mkojo ukamtoka kwa bahati mbaya au kwa kusudi au akajiharishia hapo ndipo lugha ya udhalilifu inaingia, chukua mfano huu; kama badala ya kujikojolea aangeanguka kifafa na kutokwa povu mdomoni je hapo ungesema kadhalilika??

Usichanganye kati ya kudhalilika kwa kutokwa na haja (uchafu) hadharani kwa sababu ya kujitakia na hali hiyo itokee kwa bahati mbaya kutokana na ugonjwa ambao kila mtu anaweza kuupata.
 
Kwa wanaojua presidential directives za mamlaka kama hapa Tz, Ni Nini kinapaswa kifanyike hapo baada ya AIBU hio ? Atabadirishwa Nguo na kuendelea ama zoezi lilokua linaendelea litakomea hapo? Kivyovyote vile hawezi kuachwa hivyo
Yule minister wa kwetu alipewa huduma gani?
 
Kisukari!!
 
Daah tezi dume noma. Mtoto wa mjini aliliwahi lisimletee madhara
Mtoto wa mjini mshamba tu
Mtu kama ruto ndiyo mtoto mjini sasa
Mumpe mda mje kuangalia mzee wa fursa hata akija kuwapiga nyie mnabarikia mnaona poa tu
Mtoto wenu wa mjini kwa sasa anayofanya kwa asilimia kubwa amejifunza kwa msukuma sasa mtoto wa mjini gani wote viazi tu
 
Suti nyeusi ingesaidia nini?...kojo linatiririka mpaka linatengeneza bwawa hapo chini unafikiri mchezo...usifananishe na ile kitu ya kila mwezi aisee...
Magonjwa yapo muhimu ni kukubali yaishe...hatusemi kwa ubaya ila watu waache ving'ang'anizi...angalia sasa..
 
Hawakumtengenezea sponji flani ya kunyonya mkoja hapo kwa chini?
 
Watu wazima hao pengine ana tezi dume.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…