charenger
Senior Member
- Mar 16, 2023
- 181
- 261
njoo nikuunge jib2Ahsante kwa comments za huko juu nimepata kujua Nini kinaendelea kwa video😂😂maana hizi mb mzozo🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
njoo nikuunge jib2Ahsante kwa comments za huko juu nimepata kujua Nini kinaendelea kwa video😂😂maana hizi mb mzozo🤣🤣🤣
😂me tooAhsante kwa comments za huko juu nimepata kujua Nini kinaendelea kwa video😂😂maana hizi mb mzozo🤣🤣🤣
Sio peke yako hata mimi ninacho kifurushi kama hiko ila sitaki show off..nimeiangalia tu kwa sababu nina kifurushi kikubwa, otherwise usingenikamata..
View attachment 2556582
Wanazoeshwa ndonga mapema.Atleast wangekua na safety gears hasa kulinda vichwa vyao.
Kamemfua mtoto wa mleta mada 😬Hako kenye nguo nyeupe kanajua aisee
Ndo maana mleta mada kama halalamiki lakini ndio analalamikaKamemfua mtoto wa mleta mada 😬
Small small just download itMb15
Ya kitambo sana hii halafu ni sehemu ya michezo na kuvumbua vipaji
Tatizo sio show off mkuuSio peke yako hata mimi ninacho kifurushi kama hiko ila sitaki show off..
Si sawa kabisaa..
Mtandao gani huu Mkuunimeiangalia tu kwa sababu nina kifurushi kikubwa, otherwise usingenikamata..
View attachment 2556582
Tigo..Mtandao gani huu Mkuu
Waeleze. The dawg who is training them should be arrested.Hizo ngumu sio poa kabisa. Hakuna cha kipaji ni kuumizana tu. Ukiangalia mazingira ni uswahilini kabisa hapo hawana hata mtetezi wakiumia zaidi ya kulia tu
Nashangaa mrembo kama wewe kukosa GB kadhaa kwenye laini yako.Ahsante kwa comments za huko juu nimepata kujua Nini kinaendelea kwa video😂😂maana hizi mb mzozo🤣🤣🤣
Ndo uamini uchawi upo bro🤣🤣Nashangaa mrembo kama wewe kukosa GB kadhaa kwenye laini yako.
Kwakweli nimesikitika sana
Dah! Kemea kwa kilugha chenuNdo uamini uchawi upo bro🤣🤣
Mesahau etiDah! Kemea kwa kilugha chenu