😀😀😀
Mkuu Mimi Kwa kweli kwenye mambo ya Teknolojia ya Photoshop sio Mtabe,
Hilo niwe muwazi,
Na Kama nikisema ni editing au sio editing nitakuwa naongopa tuu ndio maana nimeileta humu ili Wale Wataalamu WA ishu hizo watasema.
Najua kuna Wafuata mkumbo ambao watasema Editing pasipo na Facts zozote na Hilo ndilo Mimi linanishinda,
Maelezo yako mengine upo sahihi, hata Mimi ndio maana nashangaa Kama wewe.
Ila ninashindwa kufika hitimisho Kwa sababu ya Falsafa yangu kuwa; Duniani lolote linawezekana"