Deejay nasmile
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 5,794
- 5,352
Kikojoleo chake ndio kiko wapi hapo??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kikojoleo chake ndio kiko wapi hapo??
EditingWataalamu WA IT watujuze hiyo Video ina-editing au ni tukio la kweli
Labda kijukuu cha nguvaWakuu!
Mwanzoni niliziona Kama hadithi tuu za kizamani lakini baada ya kuiona video hii mtazamo wangu umeanza kubadilika.
Ingawaje bado sijapata uhakika wa moja Kwa moja kuhusu video hii kama imeghushiwa au laa.
View attachment 2179190
Nilishawahi kumuona nguva akitangazwa kuonekana maeneo flani visiwani akiwa amejiegesha juu ya mwamba. Habari iliripotiwa BBC miaka ya 2000 kama nakumbuka vizuri.Siku ukiona habari kama hii Aljazeer, CNN, Sky, RT ianzishie na wewe habari.
Ungekuta walishamchukua mmoja kumhifadhi kule Germany zoological society kama yule mjusi wetu wa kusiniVideo zenye utata miaka yote zinakua low quality na fupi. Hata videos za UFO,aliens na hao nguva. Dunia inavitu very interesting sana angalia NAT GEO World utajua.
Viumbe kama hao wangekuapo kweli tungepata uhakika was kitu kinachoeleweka sio Kila siku video Kama hizo,watu wamemzunguka na video imekua fupi hivo kwanini asingechukua Kila kitu,kwanini watu hawaongei?Kwanini mtu mmoja tu ndio ana Simu?
Kwani Baharini Kuna saluni?Ulitaka awe na upara ?😀
KabisaTuliza mteru bro hii clip imeditiwa tena kishamba sana, mathalani ukitazama kwa makini utagundua nguva kavaa wigi na hicho kiwiliwili chake cha juu hata hakiendani na cha chini
Saluni kunanyolewa upara.Kwani Baharini Kuna saluni?
Wangekagonga tuWakuu!
Mwanzoni niliziona Kama hadithi tuu za kizamani lakini baada ya kuiona video hii mtazamo wangu umeanza kubadilika.
Ingawaje bado sijapata uhakika wa moja Kwa moja kuhusu video hii kama imeghushiwa au laa.
View attachment 2179190
Mkuu; kama wewe mleta uzi huna uhakika na tukio hili ss wasomaji wako tuweje au tukueleweje?Wakuu!
Mwanzoni niliziona Kama hadithi tuu za kizamani lakini baada ya kuiona video hii mtazamo wangu umeanza kubadilika.
Ingawaje bado sijapata uhakika wa moja Kwa moja kuhusu video hii kama imeghushiwa au laa.
View attachment 2179190
Wataalam wa Nchi gani unawazungumzia kaka? Usikute ni hawa wabongo!! Ndege kubwa ilitua uwanja mdogo wa Arusha WATAALAM wetu wakasema ili ndege iweze kuruka tena lazima uwanja ujengwe kuongeza urefu vinginevyo itabakia hapo milele, wakaja wenye ndege yao ndege ikaruka nusu uwanja.Wataalamu WA IT watujuze hiyo Video ina-editing au ni tukio la kweli