Video: Yadaiwa Samaki Mtu (Nguva) aonekana ufukweni

Video: Yadaiwa Samaki Mtu (Nguva) aonekana ufukweni

Wakuu!

Mwanzoni niliziona Kama hadithi tuu za kizamani lakini baada ya kuiona video hii mtazamo wangu umeanza kubadilika.

Ingawaje bado sijapata uhakika wa moja Kwa moja kuhusu video hii kama imeghushiwa au laa.

Naomba mwenye utaalamu wa kuipakua video iliyopo Instagram aipakue alafu atuwekee hapa

Link ni hii>>Samaki Mtu " Nguva' Adaiwa kuonekana ufukweni. Zamani ilikuwa hadithi Ila sasa Kama inakuwa kweli See this Instagram video by @:
Me nishawai kusikia kua hao ni makini . Na wanasura mbaya san

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Inawezekana imeeditiwa kwa maana teknolojia ilipofika ni mbali...

Mtu anaweza kukaa hata masaa Matano kwenye laptop akiedit video ya sekunde 10 kusudi tu apate Reel yenye viewers Milioni 5

Kwa Video editing apps leo hii sishangai nikiona video kama hii na ukaambiwa ni kweli...

Kwa wale wanaotembelea Tiktok watanielewa

Na sijajua Kwa nini wamerusha kipande kifupi Sana cha video. Hii itakuwa ni drama tuu
 
Back
Top Bottom